Kwa hatua ilipofikia Young Africans ni dhahiri haiwezi kusonga

Kwa hatua ilipofikia Young Africans ni dhahiri haiwezi kusonga

Hichilema

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2016
Posts
1,608
Reaction score
1,687
Kwa hatua ilipofikia Young Africans ni dhahiri haiwezi kusonga mbele tena kombe la shirikisho Africa msimu huu. Japo Mallumo Galants wanasuasua kwenye ligi yao ila ubora wa mbinu na ushindani wa ligi wa South Africa utawabeba. Mechi ya kwanza kwa Mkapa italeta hofu kubwa kwa Wanayanga.
Natabiri na msimu ujao utakuwa mbaya kwa Yanga ndani na nje ya nchi kwa sababu:
1. Tajiri upepo unakata (mkwanja )
2. Timu za nje zimemjua Yanga na zitajiandaa kumkabili
3. Simba atakuwa bora zaidi
4. Baadhi ya wachezaji wataondoka
4. Baadhi ya wachezaji wake wameanza kuchoka(Aucho,Djuma na Bangala ni mfano
5. Nabi ataondoka.
6. Hujuma wakati wa kupata
muwekezaji. Watajitokeza wengi na watakaonyimwa timu wataihujumu
7. Haya mabonanza yanayochezwa uchwao na wachezaji wa Yanga yanawakosesha muda wa kupumzika wakati wa likizo ikichukuliwa kwamba timu imecheza CACC final muda umeenda

N.B: Ubingwa wa msimu huu umeamuliwa na makosa ya kibinadamu zaidi kuliko ubora
 
Kwa hatua ilipofikia Young Africans ni dhahiri haiwezi kusonga mbele tena kombe la shirikisho Africa msimu huu. Japo Mallumo Galants wanasuasua kwenye ligi yao ila ubora wa mbinu na ushindani wa ligi wa South Africa utawabeba. Mechi ya kwanza kwa Mkapa italeta hofu kubwa kwa Wanayanga.
Natabiri na msimu ujao utakuwa mbaya kwa Yanga ndani na nje ya nchi kwa sababu:
1. Tajiri upepo unakata (mkwanja )
2. Timu za nje zimemjua Yanga na zitajiandaa kumkabili
3. Simba atakuwa bora zaidi
4. Baadhi ya wachezaji wataondoka
4. Baadhi ya wachezaji wake wameanza kuchoka(Aucho,Djuma na Bangala ni mfano)

N.B: Ubingwa wa msimu huu umeamuliwa na makosa ya kibinasamu zaidi kuliko ubora
Kufa kiume FC....mmechanganyikiwa[emoji33][emoji849]
 
Kwa hatua ilipofikia Young Africans ni dhahiri haiwezi kusonga mbele tena kombe la shirikisho Africa msimu huu. Japo Mallumo Galants wanasuasua kwenye ligi yao ila ubora wa mbinu na ushindani wa ligi wa South Africa utawabeba. Mechi ya kwanza kwa Mkapa italeta hofu kubwa kwa Wanayanga.
Natabiri na msimu ujao utakuwa mbaya kwa Yanga ndani na nje ya nchi kwa sababu:
1. Tajiri upepo unakata (mkwanja )
2. Timu za nje zimemjua Yanga na zitajiandaa kumkabili
3. Simba atakuwa bora zaidi
4. Baadhi ya wachezaji wataondoka
4. Baadhi ya wachezaji wake wameanza kuchoka(Aucho,Djuma na Bangala ni mfano)

N.B: Ubingwa wa msimu huu umeamuliwa na makosa ya kibinasamu zaidi kuliko ubora
Okwi Boban Sunzu una ID ngapi kwani?
 
Hivi Ile siku ya mechi ya marudiano dhidi ya Rivers Mzee manji ulimuona? Ulipata ujumbe gani? Yanga ingefeli vibaya Sana Kama Magufuli angeendelea kuwa Rais.

Lakini kwasasa hata GSM akitoka saa sita usiku saa nane anatangazwa mwingine.
 
Naunga mkonyo hoja. Marumo atawakanda wana jwangwani nje ndani, hilo lipo wazi
 
Kwa hatua ilipofikia Young Africans ni dhahiri haiwezi kusonga mbele tena kombe la shirikisho Africa msimu huu. Japo Mallumo Galants wanasuasua kwenye ligi yao ila ubora wa mbinu na ushindani wa ligi wa South Africa utawabeba. Mechi ya kwanza kwa Mkapa italeta hofu kubwa kwa Wanayanga.
Natabiri na msimu ujao utakuwa mbaya kwa Yanga ndani na nje ya nchi kwa sababu:
1. Tajiri upepo unakata (mkwanja )
2. Timu za nje zimemjua Yanga na zitajiandaa kumkabili
3. Simba atakuwa bora zaidi
4. Baadhi ya wachezaji wataondoka
4. Baadhi ya wachezaji wake wameanza kuchoka(Aucho,Djuma na Bangala ni mfano)

N.B: Ubingwa wa msimu huu umeamuliwa na makosa ya kibinasamu zaidi kuliko ubora
Ume andika mashudu tupu[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Kwa hatua ilipofikia Young Africans ni dhahiri haiwezi kusonga mbele tena kombe la shirikisho Africa msimu huu. Japo Mallumo Galants wanasuasua kwenye ligi yao ila ubora wa mbinu na ushindani wa ligi wa South Africa utawabeba. Mechi ya kwanza kwa Mkapa italeta hofu kubwa kwa Wanayanga.
Natabiri na msimu ujao utakuwa mbaya kwa Yanga ndani na nje ya nchi kwa sababu:
1. Tajiri upepo unakata (mkwanja )
2. Timu za nje zimemjua Yanga na zitajiandaa kumkabili
3. Simba atakuwa bora zaidi
4. Baadhi ya wachezaji wataondoka
4. Baadhi ya wachezaji wake wameanza kuchoka(Aucho,Djuma na Bangala ni mfano)

N.B: Ubingwa wa msimu huu umeamuliwa na makosa ya kibinasamu zaidi kuliko ubora
Km ulikikuwa kwenye kichwa changu. Nilitaka tu nipate nafsi nishushe hii nondo. Tena mimi natabiri msimu ujao Yanga inaweza kukosa kombe lolote ktk soka. NBC list itakuwa hivi:
1. Simba
2. Azam
3. Yanga/Geita Gold

Singinda Big Star wasipoangalia watacheza Play-off msimu ujao au kushuka daraja kabisa.
 
Kwa hatua ilipofikia Young Africans ni dhahiri haiwezi kusonga mbele tena kombe la shirikisho Africa msimu huu. Japo Mallumo Galants wanasuasua kwenye ligi yao ila ubora wa mbinu na ushindani wa ligi wa South Africa utawabeba. Mechi ya kwanza kwa Mkapa italeta hofu kubwa kwa Wanayanga.
Natabiri na msimu ujao utakuwa mbaya kwa Yanga ndani na nje ya nchi kwa sababu:
1. Tajiri upepo unakata (mkwanja )
2. Timu za nje zimemjua Yanga na zitajiandaa kumkabili
3. Simba atakuwa bora zaidi
4. Baadhi ya wachezaji wataondoka
4. Baadhi ya wachezaji wake wameanza kuchoka(Aucho,Djuma na Bangala ni mfano)

N.B: Ubingwa wa msimu huu umeamuliwa na makosa ya kibinasamu zaidi kuliko ubora
Mikia bado mnaumia sana
 
Km ulikikuwa kwenye kichwa changu. Nilitaka tu nipate nafsi nishushe hii nondo. Tena mimi natabiri msimu ujao Yanga inaweza kukosa kombe lolote ktk soka. NBC list itakuwa hivi:
1. Simba
2. Azam
3. Yanga/Geita Gold

Singinda Big Star wasipoangalia watacheza Play-off msimu ujao au kushuka daraja kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au sio
 
Kwa hatua ilipofikia Young Africans ni dhahiri haiwezi kusonga mbele tena kombe la shirikisho Africa msimu huu. Japo Mallumo Galants wanasuasua kwenye ligi yao ila ubora wa mbinu na ushindani wa ligi wa South Africa utawabeba. Mechi ya kwanza kwa Mkapa italeta hofu kubwa kwa Wanayanga.
Natabiri na msimu ujao utakuwa mbaya kwa Yanga ndani na nje ya nchi kwa sababu:
1. Tajiri upepo unakata (mkwanja )
2. Timu za nje zimemjua Yanga na zitajiandaa kumkabili
3. Simba atakuwa bora zaidi
4. Baadhi ya wachezaji wataondoka
4. Baadhi ya wachezaji wake wameanza kuchoka(Aucho,Djuma na Bangala ni mfano)

N.B: Ubingwa wa msimu huu umeamuliwa na makosa ya kibinasamu zaidi kuliko ubora
Weka na jedwali basi la kusindikizia hili shairi lako.
 
Km ulikikuwa kwenye kichwa changu. Nilitaka tu nipate nafsi nishushe hii nondo. Tena mimi natabiri msimu ujao Yanga inaweza kukosa kombe lolote ktk soka. NBC list itakuwa hivi:
1. Simba
2. Azam
3. Yanga/Geita Gold

Singinda Big Star wasipoangalia watacheza Play-off msimu ujao au kushuka daraja kabisa.
Mtateseka sana. Na huu ni mwanzo tu.
 
Mnyonge myongeni haki yake mpeni mimi simba ila yanga atafika mbali kwa sababu ya nidhamu ya uwanjan hasa kwenye mashindano ya kimataifa na uwezo binafsi wa wakina mayele, simba tuna la kujifunza kwao. Hivyo basi siungi hoja mkono.
Upo sawa kabisa. Soka la bongo watu wanaweka ushabiki zaidi hata wachambuzi wengi wajinga wa ushabiki
 
Back
Top Bottom