Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
AaaahaaaaWeka na jedwali basi la kusindikizia hili shairi lako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaaahaaaaWeka na jedwali basi la kusindikizia hili shairi lako.
Unateseka ukiwa wapi😂Naunga mkonyo hoja. Marumo atawakanda wana jwangwani nje ndani, hilo lipo wazi
Kwenye wachezaji kuchoka ongezea saidoo, chama nyoni, Boko, onyango nkKwa hatua ilipofikia Young Africans ni dhahiri haiwezi kusonga mbele tena kombe la shirikisho Africa msimu huu. Japo Mallumo Galants wanasuasua kwenye ligi yao ila ubora wa mbinu na ushindani wa ligi wa South Africa utawabeba. Mechi ya kwanza kwa Mkapa italeta hofu kubwa kwa Wanayanga.
Natabiri na msimu ujao utakuwa mbaya kwa Yanga ndani na nje ya nchi kwa sababu:
1. Tajiri upepo unakata (mkwanja )
2. Timu za nje zimemjua Yanga na zitajiandaa kumkabili
3. Simba atakuwa bora zaidi
4. Baadhi ya wachezaji wataondoka
4. Baadhi ya wachezaji wake wameanza kuchoka(Aucho,Djuma na Bangala ni mfano)
N.B: Ubingwa wa msimu huu umeamuliwa na makosa ya kibinasamu zaidi kuliko ubora
Hahaaa kwa utabiri uchwara wa humu ndani ya jukwaa utakua umefanikiwa sana ila kwenye uhalisia umeongea vitu vya kufikirika mno.Kwa hatua ilipofikia Young Africans ni dhahiri haiwezi kusonga mbele tena kombe la shirikisho Africa msimu huu. Japo Mallumo Galants wanasuasua kwenye ligi yao ila ubora wa mbinu na ushindani wa ligi wa South Africa utawabeba. Mechi ya kwanza kwa Mkapa italeta hofu kubwa kwa Wanayanga.
Natabiri na msimu ujao utakuwa mbaya kwa Yanga ndani na nje ya nchi kwa sababu:
1. Tajiri upepo unakata (mkwanja )
2. Timu za nje zimemjua Yanga na zitajiandaa kumkabili
3. Simba atakuwa bora zaidi
4. Baadhi ya wachezaji wataondoka
4. Baadhi ya wachezaji wake wameanza kuchoka(Aucho,Djuma na Bangala ni mfano)
N.B: Ubingwa wa msimu huu umeamuliwa na makosa ya kibinasamu zaidi kuliko ubora
N.B: Ubingwa wa msimu huu umeamuliwa na makosa ya kibinasamu zaidi kuliko ubora
Ni yeye huyu jamaa na nyuzi zake za mabokoOkwi Boban Sunzu una ID ngapi kwani?
Hakuna cha kujifunza Kwa losers. Yaani formMnyonge myongeni haki yake mpeni mimi simba ila yanga atafika mbali kwa sababu ya nidhamu ya uwanjan hasa kwenye mashindano ya kimataifa na uwezo binafsi wa wakina mayele, simba tuna la kujifunza kwao. Hivyo basi siungi hoja mkono.
Losers huwa wanaishia robo fainali kila mwaka.Hakuna cha kujifunza Kwa losers. Yaani form
. Form six ukajifunze Kwa form One? Wee uliskia waaapi?
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Ushaufyata.[emoji3]
Mzigo wa tajiri kukata ushaanza kuonekana kwa timu ya wanawake. Nabi na baadhi ya wachezaji kuondoka subiri ndani ya mwezi mmoja. Kina Djuma, Bangala n.k kuchoka limeshaonekana dhairi. Kosi limeanza janaUshaufyata.
Ona sasa hii mutu.Kwa hatua ilipofikia Young Africans ni dhahiri haiwezi kusonga mbele tena kombe la shirikisho Africa msimu huu. Japo Mallumo Galants wanasuasua kwenye ligi yao ila ubora wa mbinu na ushindani wa ligi wa South Africa utawabeba. Mechi ya kwanza kwa Mkapa italeta hofu kubwa kwa Wanayanga.
Natabiri na msimu ujao utakuwa mbaya kwa Yanga ndani na nje ya nchi kwa sababu:
1. Tajiri upepo unakata (mkwanja )
2. Timu za nje zimemjua Yanga na zitajiandaa kumkabili
3. Simba atakuwa bora zaidi
4. Baadhi ya wachezaji wataondoka
4. Baadhi ya wachezaji wake wameanza kuchoka(Aucho,Djuma na Bangala ni mfano
5. Nabi ataondoka.
6. Hujuma wakati wa kupata muwekezaji. Watajitokeza wengi na watakaonyimwa timu wataihujumu
N.B: Ubingwa wa msimu huu umeamuliwa na makosa ya kibinadamu zaidi kuliko ubora
Hawa walevi msimu una anza mpka unaisha vilio na majonzi tupuOna sasa hii mutu.