Kwa hawa Marefa ni upuuzi kuangalia NBC Premier League

Kwa hawa Marefa ni upuuzi kuangalia NBC Premier League

Mechi za kuangalia matokeo , highlights na kipyenga cha mwisho ni za Simba tu maana zinaboa mno hakuna haki katika maamuzi Simba inabebwa mno. Mechi zingine angalia Mkuu upate burudani. Mi nishaacha kuangalia makolo wakicheza. Mechi yao ya jana vs Dodoma Jiji sikuangalia na niko poa tu nasubiri Othman Kazi Thursday night.
Wewe kutoiangalia simba itaipunguzia nini simba na zaid haitakuondolea ufukara ulionao.
 
Kufunga VAR sio swala dogo kama ikiwezekana hiyo hela wakaongeze academy za watoto. Then ligi ikianza kuingiza hela na wadhamini wengi ndio waanze kufunga polepole.
 
Mafukara ndio mnafilisika ..kabla hujazaliwa mo alikua tajiri, utakufa mo bado atakua tajiri zaidi
Fukara anafirisika vipi, ndio mangungu anawafundisha hivyo kua anaefirisika ni fukara. Fukara hafirisiki mzee anaefirisika ni yule alienacho/tajiri... Utapoteza vipi kitu ambacho huna jombaa.

Kubali kataa msimu huu tajiri wenu atakuja kupanga hapa kigogo kwenye nyumba yetu ya urithi dadeki.
 
Utopwax mnapiga mayowe Sana. Kuna hali mbaya mshastukia inakuja. Juzi Tu game na Kengold mmenufaika na maamzi mabovu ya refa
 
Kaa nyumbani na mkeo.... Acha sisi tuangalie boli.....

Watu msiojua soka.... Kelele nyiiingi...
 
Jombaa masikini anafirisika vipi na hana kitu??

Uchumi ulisomea wapi wewe??
Mimi nimesomea uhandisi, lakini kuna point hufika mtu au taasisi inayokua au inayofirisika haiitaji kusomea uchumi. With technology, the globe is now tiny, raarifa za Forbes zinatosha
 
Kufunga VAR sio swala dogo kama ikiwezekana hiyo hela wakaongeze academy za watoto. Then ligi ikianza kuingiza hela na wadhamini wengi ndio waanze kufunga polepole.
Basi marefa wa review kupitia Azam TV
 
Màkosa ya waamuzi yanashusha sana hadhi ya ligi yetu ila cha kushangaza zaidi makosa haya huwa yanazifaidisha simba na yanga tu!
Hii nchi ina mambo sana ndio maana mi nilishaacha kufuatilia ligi hii nimebaki nasoma post tu za michezo na kutazama nje
 
Mechi za Simba/Yanga zina maelekezo ndio maana hizo Timu zikifungwa inaonekana ajabu sana yaani hizo timu zikipata refa achezeshe mechi ya haki kwa haki sijui kama zitatoboa.karia kaferi anataka watu wajivunje huku mashine za VAR kazifungia kaferi kweli huyu mwananchi kwa nini zisifungwe hizo chache kwenye baadhi ya viwanja tu..
 
Mimi nimesomea uhandisi, lakini kuna point hufika mtu au taasisi inayokua au inayofirisika haiitaji kusomea uchumi. With technology, the globe is now tiny, raarifa za Forbes zinatosha
Masikini hafirisiki.
Weka hiyo akilini
 
prison fc vs fountain gate. penalty ya uongo kabisa.

the story continues. KARIA amelala tu. VAR kaifungia gheto, aitumie na mkewe
 
Mechi za Simba/Yanga zina maelekezo ndio maana hizo Timu zikifungwa inaonekana ajabu sana yaani hizo timu zikipata refa achezeshe mechi ya haki kwa haki sijui kama zitatoboa.karia kaferi anataka watu wajivunje huku mashine za VAR kazifungia kaferi kweli huyu mwananchi kwa nini zisifungwe hizo chache kwenye baadhi ya viwanja tu..
sana. today simba vs coastal union was shameful.
the referee came with results In his pocket.
 
Back
Top Bottom