Lerionka ole saidimu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 296
- 278
simjui huyo labda unikumbushe nyimbo zakeTifa umemsahau au umjui
121.
kwani bado wanafanya muziki?Zay B
Sister P...
hahah witness wa kawaida kuanzia flow hadi rymsUmemsahau yule kibonge mwepesi alikua kund moja na marehem Langa, na Shaa yule demu ndio mkali kuzid wote hao
unamjua stoshi mkuu ?hapo
1-Rosa Ree
2-Frida Amani
3-Tammy
stoshi simpati kiongozi..unamjua stoshi mkuu ?
kama mpenzi wa hiphop fatilia huyu manzi kazi zake naiman utaenjoystoshi simpati kiongozi..
Kundi linaitwa WAKILISHAUmemsahau yule kibonge mwepesi alikua kund moja na marehem Langa, na Shaa yule demu ndio mkali kuzid wote hao
Ochu ndio kaoa lile lidemu?Anaitwa Whitness mke wa Ochu