Kwanza yeye ni Rais wa JMT kila mara yuko Zanzibar kuzindua miradi. Kijiji kidogo hicho mapesa yote ndani ya miaka 3 hela ililipelekwa pale ni nyingi sana. Hii ni kwanza ni aibu na kashfa kwa Rais wa nchi nzima.
Tabia hii alianza Magufuli, kabla ya hapo huu ubaguzi usio na haya haukuwepo. Tanzania mikoa yetu ni masikini bado, havina viwanja unaenda kujenga uwanja mkubwa namna ile kijijini bila hata haya? Hii ni dharau na asije akawa Rais wa kuja kuuvunja huu muungano.
Tunaona Zanzibar uwekezaji uliofanyika ndani ya hii miaka 3 ni shule za maghorofa, haya yanaweza kuwa maandalizi ya kuuvunja muungano. Hii ni miaka 3, je, vipi miaka 6 iliyobaki?
Nenda mkoa wa Manyara pale Mbulu kuna uwanja umetelekezwa, wambulu ndio waliiletea nchi hii sifa katika olympic lakini sahivi wametelekezwa. Nchi inakoelekea itakatwa vipande vipande.
Kuanzia awamu ya 5 ni nchi ya ubaguzi kuanzia Waziri Mkuu. Eti NMB, CRDB ndio imejenga, hayo mabenki yalikuwepo miaka mingi kwa nini sasa? Viongozi wa sasa hivi ni janga la Taifa, hivi nchi ikigawanyika wataeneo na kupona ndani ya hivyo vijiji vyao?
Tabia hii alianza Magufuli, kabla ya hapo huu ubaguzi usio na haya haukuwepo. Tanzania mikoa yetu ni masikini bado, havina viwanja unaenda kujenga uwanja mkubwa namna ile kijijini bila hata haya? Hii ni dharau na asije akawa Rais wa kuja kuuvunja huu muungano.
Tunaona Zanzibar uwekezaji uliofanyika ndani ya hii miaka 3 ni shule za maghorofa, haya yanaweza kuwa maandalizi ya kuuvunja muungano. Hii ni miaka 3, je, vipi miaka 6 iliyobaki?
Nenda mkoa wa Manyara pale Mbulu kuna uwanja umetelekezwa, wambulu ndio waliiletea nchi hii sifa katika olympic lakini sahivi wametelekezwa. Nchi inakoelekea itakatwa vipande vipande.
Kuanzia awamu ya 5 ni nchi ya ubaguzi kuanzia Waziri Mkuu. Eti NMB, CRDB ndio imejenga, hayo mabenki yalikuwepo miaka mingi kwa nini sasa? Viongozi wa sasa hivi ni janga la Taifa, hivi nchi ikigawanyika wataeneo na kupona ndani ya hivyo vijiji vyao?