Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,727
- 8,918
- Thread starter
- #41
Haaaaahaaa kiddo hapa sio FB kwamba unaleta article za kinazi ukadhani watu watakenua meno kwanza uandishi wako mbovu alafu unaleta utoto wa kua umeandika articles 300 ukidhani ita-justify utaalam wako.
Hapa nna ku-quote kwa mara ya mwisho maana ni kupoteza muda.
Nadhan unataman sana siku moja kua kama Mimi , huto kaa uweze kamwe , Nachofurahi ni kwamba walioko kwenye taaluma ya mpira hasa uchambuz wa mpira walinipokea na wanaheshim sana kaz zangu .
na sio hvyo tu hata ukiangalia wachangiaj humu ndani , wewe tu ndie unae ruka ruka ,,,wivu wa kijingaaaa
Pia kuna article zangu nyng tuu humu ,tafuta hii ' Nategemea kuiona Southampton ile ile , sura mpya miguu ya zamani "