Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #61
Ingekuwa historia kweli asingetokea mtu aliyetelekeza miradi ya Gesi kwa chuki zake tuKweli wewe ni mjinga na mpumbavu si mlijitapa kuwa uzinduzi wa gesi Mtwara kukatika kwa umeme Tanzania itakuwa ni historia acheni upumbavu.
Kinachotushangaza kila mtu anakuja na tambo zake ila mwisho wa yote ni bla bla.Ingekuwa historia kweli asingetokea mtu aliyetelekeza miradi ya Gesi kwa chuki zake tu
kama hakufikishwa mahakamani na kushtakiwa hizi ni ngonjera kama ngonjera nyingine tu
Sio tambo miradi inahitaji consistency sio huyu anafanya hili anakuja yule anafanya vileKinachotushangaza kila mtu anakuja na tambo zake ila mwisho wa yote ni bla bla.
Hili ndio BOMUkukatika katika kwa umeme nchi nzima
Ukiwa wewe chawa unadhani wengine wote ni chawa kama weweHii ndio motive behind ya ule uzi wako wa jana, we chawa una matatizo sana.
Hilo jina sijui kwanini huwa hulipendi wakati ndio ukweli, wewe ni sawa na kibaka, lakini akiitwa mwizi anakasirika.Ukiwa wewe chawa unadhani wengine wote ni chawa kama wewe
kama wewe umeunga kwa laki 9 ni juu yako watu tumeunga umeme kwa elfu 27 tu nguzo bure 2020-21 . na kama unabisha ushaidi upoMimi niliunganisha umeme kwenye moja ya nyumba yangu mwaka 2018 na nililipa laki 9. Wewe unaesema kuunga umeme ilikuwa bei rahisi sijui mwaka huo 2018 Rais alikuwa nani?
Kama kukatika pia umeme haujawahi kuacha kukatika nchi hii
Mavi mavi kabisa. MfyuuuuuuDunia inakabiliwa na changamoto kuu mbili sasa;
1. Uharibifu wa Mazingira
2. Kujenga uchumi imara katika mazingira magumu
Kwa kuangalia kuanzia mwaka 2030 sioni mwanasiasa mwenye upeo wa kuiongoza Tanzania kupita kwenye changamoto hizi na kushinda zaidi ya January Makamba.
Kwanini January Makamba
1. Akiwa Waziri wa Mazingira alifanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kusimamia sera ya kuondosha mifuko ya plastiki ambayo ilikuwa kikwazo kikubwa katika usafi wa Mazingira hapa Tanzania. Akiwa chini ya Rais wa sasa ambaye alikuwa Makamu wa Rais na Msimamizi wa Masuala ya Mazingira January Makamba alifanikiwa kwa asilimia zaidi ya 90 kufanikisha hili. Tanzania ilikuwa safi na ilifanikiwa kuondokana na mifuko ya plastiki chini yake
2. Sasa akiwa Waziri wa Nishati ameanzisha movement ya kuhamasisha nishati mbadala ya Gesi ili kuliokoa Taifa hili ambalo sasa linatishwa kiuchumi kutokana na ukataji mkubwa na uharibifu mkubwa wa misitu unaotokana na matumizi ya kuni na mkaa katika kupikia.
Kwa mambo haya napenda kusema mimi Lord Denning namuunga mkono January Makamba for presidency coming 2030.
Lord Denning
Mwanza
Kwanza anayo familia tujue uwezo wake.January Makamba huyuhuyu? Nani kama idhini ya kuanza kampeni mapema hivi?