Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuishiwa akiliDunia inakabiliwa na changamoto kuu mbili sasa;
1. Uharibifu wa Mazingira
2. Kujenga uchumi imara katika mazingira magumu
Kwa kuangalia kuanzia mwaka 2030 sioni mwanasiasa mwenye upeo wa kuiongoza Tanzania kupita kwenye changamoto hizi na kushinda zaidi ya January Makamba.
Kwanini January Makamba
1. Akiwa Waziri wa Mazingira alifanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kusimamia sera ya kuondosha mifuko ya plastiki ambayo ilikuwa kikwazo kikubwa katika usafi wa Mazingira hapa Tanzania. Akiwa chini ya Rais wa sasa ambaye alikuwa Makamu wa Rais na Msimamizi wa Masuala ya Mazingira January Makamba alifanikiwa kwa asilimia zaidi ya 90 kufanikisha hili. Tanzania ilikuwa safi na ilifanikiwa kuondokana na mifuko ya plastiki chini yake
2. Sasa akiwa Waziri wa Nishati ameanzisha movement ya kuhamasisha nishati mbadala ya Gesi ili kuliokoa Taifa hili ambalo sasa linatishwa kiuchumi kutokana na ukataji mkubwa na uharibifu mkubwa wa misitu unaotokana na matumizi ya kuni na mkaa katika kupikia.
Kwa mambo haya napenda kusema mimi Lord Denning namuunga mkono January Makamba for presidency coming 2030.
Lord Denning
Mwanza
Hasa ikisababishwa na muwasho ambao mkunaji analiwa na funzaDepression mbaya mkuu.
kwani aya mabadiliko yameanza lini ?Acha kukata miti na panda miti zaidi. Mvua zitanyesha na mabwawa ya umeme yatajaa
Jamaa ameshakufa! We bado una makasiriko aaah! bhana acha hizo😅.Hasa ikisababishwa na muwasho ambao mkunaji analiwa na funza
Akaongoze tz ya nani 2030, ya mzee Makamba ,CCM au ya Mungu? hakuna nafasi hiyo tena , Kitabu kimeisha fungwa ,mtashangaa Sana , no Ccm any more from 2025 , utaki hulazimishwi,Dunia inakabiliwa na changamoto kuu mbili sasa;
1. Uharibifu wa Mazingira
2. Kujenga uchumi imara katika mazingira magumu
Kwa kuangalia kuanzia mwaka 2030 sioni mwanasiasa mwenye upeo wa kuiongoza Tanzania kupita kwenye changamoto hizi na kushinda zaidi ya January Makamba.
Kwanini January Makamba
1. Akiwa Waziri wa Mazingira alifanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kusimamia sera ya kuondosha mifuko ya plastiki ambayo ilikuwa kikwazo kikubwa katika usafi wa Mazingira hapa Tanzania. Akiwa chini ya Rais wa sasa ambaye alikuwa Makamu wa Rais na Msimamizi wa Masuala ya Mazingira January Makamba alifanikiwa kwa asilimia zaidi ya 90 kufanikisha hili. Tanzania ilikuwa safi na ilifanikiwa kuondokana na mifuko ya plastiki chini yake
2. Sasa akiwa Waziri wa Nishati ameanzisha movement ya kuhamasisha nishati mbadala ya Gesi ili kuliokoa Taifa hili ambalo sasa linatishwa kiuchumi kutokana na ukataji mkubwa na uharibifu mkubwa wa misitu unaotokana na matumizi ya kuni na mkaa katika kupikia.
Kwa mambo haya napenda kusema mimi Lord Denning namuunga mkono January Makamba for presidency coming 2030.
Lord Denning
Mwanza
Nimesikiliza hotuba za wachangiaji lakini nimesikia wakituhimiza matumizi ya imported gas yaani LPG,sikusikia gesi yetu rahisi gesi asilia ambayo Kenya na Uganda wanaisaka kwa udi na uvumba.Kwa hii movement nahisi bei ya gesi itashuka sana hapa Tanzania
Naunga mkono hoja, January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best PresidentDunia inakabiliwa na changamoto kuu mbili sasa;
1. Uharibifu wa Mazingira
2. Kujenga uchumi imara katika mazingira magumu
Kwa kuangalia kuanzia mwaka 2030 sioni mwanasiasa mwenye upeo wa kuiongoza Tanzania kupita kwenye changamoto hizi na kushinda zaidi ya January Makamba.
Kwanini January Makamba
1. Akiwa Waziri wa Mazingira alifanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kusimamia sera ya kuondosha mifuko ya plastiki ambayo ilikuwa kikwazo kikubwa katika usafi wa Mazingira hapa Tanzania. Akiwa chini ya Rais wa sasa ambaye alikuwa Makamu wa Rais na Msimamizi wa Masuala ya Mazingira January Makamba alifanikiwa kwa asilimia zaidi ya 90 kufanikisha hili. Tanzania ilikuwa safi na ilifanikiwa kuondokana na mifuko ya plastiki chini yake
2. Sasa akiwa Waziri wa Nishati ameanzisha movement ya kuhamasisha nishati mbadala ya Gesi ili kuliokoa Taifa hili ambalo sasa linatishwa kiuchumi kutokana na ukataji mkubwa na uharibifu mkubwa wa misitu unaotokana na matumizi ya kuni na mkaa katika kupikia.
Kwa mambo haya napenda kusema mimi Lord Denning namuunga mkono January Makamba for presidency coming 2030.
Lord Denning
Mwanza
Taifa lote litakuwa giza kama akiwa Waziri ndiyo umeme unakatika hivi je akiwa Rais itakuwaje?Dunia inakabiliwa na changamoto kuu mbili sasa;
1. Uharibifu wa Mazingira
2. Kujenga uchumi imara katika mazingira magumu
Kwa kuangalia kuanzia mwaka 2030 sioni mwanasiasa mwenye upeo wa kuiongoza Tanzania kupita kwenye changamoto hizi na kushinda zaidi ya January Makamba.
Kwanini January Makamba
1. Akiwa Waziri wa Mazingira alifanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kusimamia sera ya kuondosha mifuko ya plastiki ambayo ilikuwa kikwazo kikubwa katika usafi wa Mazingira hapa Tanzania. Akiwa chini ya Rais wa sasa ambaye alikuwa Makamu wa Rais na Msimamizi wa Masuala ya Mazingira January Makamba alifanikiwa kwa asilimia zaidi ya 90 kufanikisha hili. Tanzania ilikuwa safi na ilifanikiwa kuondokana na mifuko ya plastiki chini yake
2. Sasa akiwa Waziri wa Nishati ameanzisha movement ya kuhamasisha nishati mbadala ya Gesi ili kuliokoa Taifa hili ambalo sasa linatishwa kiuchumi kutokana na ukataji mkubwa na uharibifu mkubwa wa misitu unaotokana na matumizi ya kuni na mkaa katika kupikia.
Kwa mambo haya napenda kusema mimi Lord Denning namuunga mkono January Makamba for presidency coming 2030.
Lord Denning
Mwanza
Nikikuita mathako Melo ananipiga ban but ndo hivyo hilo jina linakufaa. Melo sikuogopi umenipiga ban karibu platform zote bila sababu za msingi zingine ni permanent ban Kuwajibu vibaraka kama hawa. Bora nipigwe ban ya maisha nisikutane na ujinga kama huu.Dunia inakabiliwa na changamoto kuu mbili sasa;
1. Uharibifu wa Mazingira
2. Kujenga uchumi imara katika mazingira magumu
Kwa kuangalia kuanzia mwaka 2030 sioni mwanasiasa mwenye upeo wa kuiongoza Tanzania kupita kwenye changamoto hizi na kushinda zaidi ya January Makamba.
Kwanini January Makamba
1. Akiwa Waziri wa Mazingira alifanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kusimamia sera ya kuondosha mifuko ya plastiki ambayo ilikuwa kikwazo kikubwa katika usafi wa Mazingira hapa Tanzania. Akiwa chini ya Rais wa sasa ambaye alikuwa Makamu wa Rais na Msimamizi wa Masuala ya Mazingira January Makamba alifanikiwa kwa asilimia zaidi ya 90 kufanikisha hili. Tanzania ilikuwa safi na ilifanikiwa kuondokana na mifuko ya plastiki chini yake
2. Sasa akiwa Waziri wa Nishati ameanzisha movement ya kuhamasisha nishati mbadala ya Gesi ili kuliokoa Taifa hili ambalo sasa linatishwa kiuchumi kutokana na ukataji mkubwa na uharibifu mkubwa wa misitu unaotokana na matumizi ya kuni na mkaa katika kupikia.
Kwa mambo haya napenda kusema mimi Lord Denning namuunga mkono January Makamba for presidency coming 2030.
Lord Denning
Mwanza
Polee sana unaweza kujibu kwa hoja na sio viroja. kwa mwendo huo ban zitakuhusu sanaNikikuita mathako Melo ananipiga ban but ndo hivyo hilo jina linakufaa. Melo sikuogopi umenipiga ban karibu platform zote bila sababu za msingi zingine ni permanent ban Kuwajibu vibaraka kama hawa. Bora nipigwe ban ya maisha nisikutane na ujinga kama huu.
Yeye ndo anayekata umeme au tabia zenu za hovyo za kukata miti na kuteketeza mapori ndo zinasababisha mvua zisinyeshe hivyo mabwawa kukosa maji ya kuzalisha umeme?Taifa lote litakuwa giza kama akiwa Waziri ndiyo umeme unakatika hivi je akiwa Rais itakuwaje?
Nilisikia kongamano ni siku 2. Nategemea hizo hoja zako zitatolewa maelezo keshoNimesikiliza hotuba za wachangiaji lakini nimesikia wakituhimiza matumizi ya imported gas yaani LPG,sikusikia gesi yetu rahisi gesi asilia ambayo Kenya na Uganda wanaisaka kwa udi na uvumba.
Kama haitoshi sikusikia matumizi ya umeme kutokea Bwawa la Nyerere kwa matumizi ya kupikia au umeme wake utakuwa haushikiki.
Pia mipango inayoendelea ya kuunganisha grid ya umeme rahisi kutokea Zambia nayo sikuisikia.
Kama haitoshi zijasikia mchakato wa kusambasa umeme kwa wingi kutoka solar kama wafanyavyo Morocco hadi wanauzia Ulaya.Natamani Mwalimu Nyerere angekuwa hai leo akapima akili zetu za kujikwamua,R.I.P Mwalimu Nyerere.
Mimi niliunganisha umeme kwenye moja ya nyumba yangu mwaka 2018 na nililipa laki 9. Wewe unaesema kuunga umeme ilikuwa bei rahisi sijui mwaka huo 2018 Rais alikuwa nani?kwani aya mabadiliko yameanza lini ?
mbna kipindi cha mwenda zake umeme ulikuwa wa uhakika 24 hours sio kwenye matumizi mpaka uungaji umeme kuunga ulikuwa bei rahisi ambayo kila mtanzania anaiweza
Kwa mipango hii nauhakika vitaondoka tuPumbavu,apambane kuondoa koroboi kwanza .....
View attachment 2404162
Kweli wewe ni mjinga na mpumbavu si mlijitapa kuwa uzinduzi wa gesi Mtwara kukatika kwa umeme Tanzania itakuwa ni historia acheni upumbavu.Yeye ndo anayekata umeme au tabia zenu za hovyo za kukata miti na kuteketeza mapori ndo zinasababisha mvua zisinyeshe hivyo mabwawa kukosa maji ya kuzalisha umeme?