Kwa haya ya Baltazar, kuna nyaya kwenye maisha hupaswi kuzikanyaga na pia privacy kwenye mambo ya familia ni muhimu

Ufanye A.I uweke sura za wakuu wa Taasisi wakuchekee sio? Mpaka mmoja wao kajinyonga wewe bado unaona ni A.I tu?

Zile clips ni kweli jamaa kala ile mizigo
Yaan watu wengine sijui huwa wanawaza kwa kutumia nn mkuu hawajui Dunia ni tambala bov hakuna fake hapo hata wakijayaona ya wachungaji wao ya nyuma ya pazia hawata amini
 
Inawezekana vipi wake za waheshimiwa karibia wote aliowagonga wanaangalia na kufurahi kurekodiwa wakati jamaa ana set Camera? Siamini kama wake wote wa vigogo ni malaya wanaolipwa kwa ponograph maana hata mademu wa kawaida hawakubali kurekodiwa ndo maana asilimia kubwa ya video zinazovuja huwa camera zinafichwa ila ya hii jamaa wote wanafurahia camera
 
Ai ndo iweke sura tofauti tofauti za wake za watu?
Halafu kipi kigumu kuamini hao michepuko 400 plus?
Huyu jamaa anatuonaje sijui? Eti ai na machine learning...kwamba ndio tushituke ama? Kwa mwanaume mwenye pesa na madaraka halafu mpenda wanawake mbona hata 1000 ni idadi ndogo tu. Mwanaume haendi hedhi useme ashindwe kusex baadhi ya siku. Na kwa siku mwanaume anaweza lala na wanawake zaidi ya mmoja. Sasa 400 ni kitu gani.
 
Unazungumziaje na hii ya Mahakama kupokea ushahidi wa AI?
 
Kwamba wewe ndo una access ya A.I detector tools ila yeye, mawakili wake, marafiki zake, wale wanawake & waume zao hawana access wala hawaijui hiyo A.I detector tools ili iwatoe kwenye hiyo aibu?

Yaani serikali ichukue uamuzi wa kufukuza wale wanawake wote serikalini na wanajua kua hizo ni A.I maana they have all the tools at their disposal?

Haya yatakua ni maajabu.
 
Zile video za huyo mwamba zimerekodiwa kwa simu yenye camera yenye viwango...video hazina giza giza ...sura za watu wote zinaonekana ka kwenye muvi vile...hakuna editing wala nini.
Huyu jamaa anataka kujifanya tech geek ati ai , machine learning tf
 
Ni reputation.

Natamani kusikia kwanini unasema Sio AI! Do you think tulipofika unaweza kuitambua AI kwa macho 😹😹😹?

Unatumia tool gani kusema sio AI ? Au umejiongeza Mkuu… huyu kajiua hawa hawajakana therefore , sio AI ?
Utetezi mwepesi huu ndio ulikuwa unawatetea kina nyundo kwa binti wa yombo eti video ni feki. Kwa power structure ya Guinea na ilivo concentrated kwa familia ya rais ambaye yu madarakani kwa miaka 40 sasa ambaye nae aliuchukua urais toka kwa mjomba wake, mtoto wake ndio makamu wa rais na rais mtarajiwa, aanze kuhangaika na ai for what wakati neno moja tu lake ni sheria. After all huyo bwege kesi ya ngono ni nothing compared to kesi ya grandtheft anayokabiliana nayo
 

Halafu jamaa anakwambia yeye ana tools za kulipia, kama yeye anaweza lipia je kuhusu serikali yenye resources mara dufu zaidi yake. Na whole bunch of wataalamu. Hoja yake ni dhaifu sana
 
Dah..!
Ujue umeongea kitu kilinifikirisha pia..! Jamaa hakuwahi kum record mkewe, means alikua ana mheshimu...!

Wale Wanawake wengine aliwa record japo wengine ni wake za Watu, means aliwachukulia kama Malaya tu.
Hapo umesema kweli,mke wa mtu anapotembea nje ya ndoa,yule mwanaume humchukulia kama malaya tu,unaweza ukadhani ni mapenzi lakini moyoni mwake anajua anachofanya,use and abuse.Niliwahi kufanya taasisi moja,mwanamke mmoja mke wa mtu alikuwa anatembea na moja ya staff pale ndani,yani yule jamaa kuna wakati akiingia pale ofisi anamkumbatia yule mama,saa nyingine anamchezea kiuno au mabega na kumtekenya mbele yetu....
 
Mtoa mada una hoja, Mimi nilijihoji hivyo vyombo vya uchunguzi viko low kiasi Gani, kuweka ushaidi hadharani Hata kabla kesi ya haijaanza. Nikawaza hawana tofauti na wale wanausalama mtu anapeleka taarifa ya Siri, baada ya masaa 24 mtu anakufata nasikia umenichoma sehemu.

Kwa kuweka hadharani walitakiwa wajue wanaenda kuathiri waume na Jamii nzima ya hao wanawake, ambao wengine ni viongozi wa juu. Chombo Gani serious kingefanya hivyo? Hii niambu ya nchi siyo tu hao wamama Malaya tu.

Hivyo basi kuna mtu aliitaka nafasi, au kitengo cha oga Bartazar kilikuwa kuchunguza nyendo zake, kumbuka jamaa ni boss wa kitengo cha kufatilia fedha haramu(utakatishaji) ni huku ndio utawakuta madon wa madawa, rushwa, nyara, n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…