Huyu jamaa yeye ndo hana akili timamuKwani watanzania wote wanasali kwenye hilo kanisa la Masanja mpaka useme "Nitakua wa mwisho kuamini watanzania tuna akili timamu"
Kwa sababu wako wengi kama Masanja wameanzisha makanisa ya namna hii na wanapata wafuasi wengi tu!Kwani watanzania wote wanasali kwenye hilo kanisa la Masanja mpaka useme "Nitakua wa mwisho kuamini watanzania tuna akili timamu"
Na bado serikali ikalisajiri kanisa lake! Serikali inayoongoza Watanzania zaidi ya milioni 60!Huyu jamaa yeye ndo hana akili timamu
Yani kanisa lenye watu hamsini ndo utumie kuhukumu watanzania zaidi ya milioni 60?
😄😄 Hapo jamaa anapewa pongezi Za kuMkaza vizuri nightMama mchungaji akigawa baraka kwa muumini
View attachment 2377009
Ahahahaha , hapa akilingishia gari aliyozawadiwa kwa birthday ya mamilioni na mume wake.😄😄 Hapo jamaa anapewa pongezi Za kuMkaza vizuri night
Wote ni walewale, wafuasi wa Paulo na wafuasi wa Magaidi hakuna wenye akili timamu.Wafuasi wa paulo hawana akili timamu wengi wao . Hata mcheza picha za ngono akifungua kanisa watamfuata
🤣🤣🤣🤣Wote tunamfahamu Masanja vizuri alivyojilea na kujikuza. Ni mchekeshaji na ndiyo kazi iliyomtangaza. Lakini pia tunamfahamu kuwa ni mropokaji asiye na adabu mbele ya watu na ana matusi na mizaha isiyo na mipaka.
Sasa mtu kama huyu anaanzisha kanisa la kumwabudu Mungu halafu watu wanamfuata na kumuamini. Hivi kweli wafuasi wa kanisa la Masanja wapo sawa kabisa kichwani? Au kuna namna watu wanaendeleza mizaha hadi kwenye mambo ya imani?
Hahahah blaza hii hapana[emoji23]Kikubwa imani
Kwan huyo ndio marehemu ? Daah Ila ukiwaangalia hao raia walivyopendeza ukikutana nao barabaran huwez dhani kama wanatoka kanisani kwa MasanjaMama mchungaji akigawa baraka kwa muumini
View attachment 2377009