Mu7
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 1,624
- 1,934
Pole kwa kumuamini nabii feki!mada inapoanzishwa na mwendawazimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kwa kumuamini nabii feki!mada inapoanzishwa na mwendawazimu.
Lini tutaacha upopoma?.Wote tunamfahamu Masanja vizuri alivyojilea na kujikuza. Ni mchekeshaji na ndiyo kazi iliyomtangaza. Lakini pia tunamfahamu kuwa ni mropokaji asiye na adabu mbele ya watu na ana matusi na mizaha isiyo na mipaka.
Sasa mtu kama huyu anaanzisha kanisa la kumwabudu Mungu halafu watu wanamfuata na kumuamini. Hivi kweli wafuasi wa kanisa la Masanja wapo sawa kabisa kichwani? Au kuna namna watu wanaendeleza mizaha hadi kwenye mambo ya imani?
Kuna muumini kanyoa kiduku hapo 🤣🤣🤣🤣🤣Mama mchungaji akigawa baraka kwa muumini
View attachment 2377009
Mtume kuna muujiza hukuKuna muumini kanyoa kiduku hapo 🤣🤣🤣🤣🤣
UmemalizaKARMA IPO NA INAFANYA KAZI
Nashangaa[emoji848]Kwani watanzania wote wanasali kwenye hilo kanisa la Masanja mpaka useme "Nitakua wa mwisho kuamini watanzania tuna akili timamu"
Kwahiyo we unawapangia watu namna ya kuishi na kusali?Kwa sababu wako wengi kama Masanja wameanzisha makanisa ya namna hii na wanapata wafuasi wengi tu!
HakikaTatizo we unamjua Masanja ndo maana unashangaa...umgewajua vizuri Viongozi wengine wa dini na siasa umgezubaa mara mbili
Mbona hao wenye degree ya theology ukiyajua ya kwao ndo ushenzi mtupu?Ndio uamini tuna tatizo kama taifa. Hatuna hata vigezo vya kueleweka. Bora hata Kagame, huna digrii ya theolojia, biashara ya kanisa haikuhusu.
Acha wajae hao fake hakuna jipyaKwani hao 50 ni Wanyarwanda? Mbona manabii na mitume feki wako kibao Tanzania na wana wafuasi pia???
[emoji1787][emoji1787] nimechekaLini tutaacha upopoma?.
Wanamuziki wa dini zao hadi wanajenga misikiti, ndio hao hao wanaoimba ichome, ichomoe, ilengeshe, iteleze.
Kuna ajabu gani Masanja akiwa komedian na akawa na imani yake?
Komedian hawaruhusiwi kuwa wacha Mungu?
Uchekeshaji ni kazi na dini ni imani...acheni uzuzu
hao hao wachache wanaosali katika hilo kanisa ndio wanawakilisha akili za watanzania,sababu makanisa kama ya kina Masanja yapo Tanzania nzimaKwani watanzania wote wanasali kwenye hilo kanisa la Masanja mpaka useme "Nitakua wa mwisho kuamini watanzania tuna akili timamu"
Ndio maana Mungu kaonyesha wazi kuwa aibu aipate ya wazi Katibu amtomb€€ mke wake Masanja, sbb anafanyia biashara jina la Mungu, imagine kuanzisha kanisa ni kunajisi imani ya kikristo kabisa.Wote tunamfahamu Masanja vizuri alivyojilea na kujikuza. Ni mchekeshaji na ndiyo kazi iliyomtangaza. Lakini pia tunamfahamu kuwa ni mropokaji asiye na adabu mbele ya watu na ana matusi na mizaha isiyo na mipaka.
Sasa mtu kama huyu anaanzisha kanisa la kumwabudu Mungu halafu watu wanamfuata na kumuamini. Hivi kweli wafuasi wa kanisa la Masanja wapo sawa kabisa kichwani? Au kuna namna watu wanaendeleza mizaha hadi kwenye mambo ya imani?
Hii inafikirisha SanaTatizo we unamjua Masanja ndo maana unashangaa...umgewajua vizuri Viongozi wengine wa dini na siasa umgezubaa mara mbili
Hao wanaosali huko ni asilimia mgapi ya population ya watanzania?hao hao wachache wanaosali katika hilo kanisa ndio wanawakilisha akili za watanzania,sababu makanisa kama ya kina Masanja yapo Tanzania nzima
Siyo suala la asilimia, tujadili janga la afya ya akili inayowakabili baadhi yetu wanaodhulumiwa kwa sadaka kwenda kwa mapasta feki!Hao wanaosali huko ni asilimia mgapi ya population ya watanzania?