Ogop sana mwanamke anayepiga picha huku kaweka sign ya vidole viwiliAhahahaha , hapa akilingishia gari aliyozawadiwa kwa birthday ya mamilioni na mume wake.
Kweli katu usimwamini mwanamke anayevaa culture
View attachment 2377142
Ndomana kagame aliwachana mapema....Ile dini ina mazwa mazwa wengi wengine wapo kwa mwamposa wanagombea mafuta huko sisi watu kama hao tunachapa fimbo
Nyie huyu mama mchungaji hiyo mikono ya kushika koki ya katibu ndio anabarikia watu [emoji2]Mama mchungaji akigawa baraka kwa muumini
View attachment 2377009
Ni sahihi hivyo inabidi tujitathimini kama Taifa!Mi nadhani suala la imani ni suala gumu kidogo.Unaweza kuta wewe unashangaa waumini wa masanja kwakuwa unamfahamu masanja.Hii dunia kuna watu wanafanya mambo ya ajabu sana ila kwakuwa huna ukaribu nao /huwajui vizuri..unaweza ukawa unawaheshimu.
Hujawahi sikia hii kauli “nilikuwa namuheshimu sana,ila toka jana/siku ile .. etc” What i mean wachunguze vizur hata viongozi wako wa dini unaweza ukashangaa kwanini umewaamini wakuongoze kiroho[emoji38][emoji38].
Nimekupa like umeiona mkuu?Tatizo we unamjua Masanja ndo maana unashangaa...umgewajua vizuri Viongozi wengine wa dini na siasa umgezubaa mara mbili
Mi nadhani suala la imani ni suala gumu kidogo.Unaweza kuta wewe unashangaa waumini wa masanja kwakuwa unamfahamu masanja.Hii dunia kuna watu wanafanya mambo ya ajabu sana ila kwakuwa huna ukaribu nao /huwajui vizuri..unaweza ukawa unawaheshimu.
Hujawahi sikia hii kauli “nilikuwa namuheshimu sana,ila toka jana/siku ile .. etc” What i mean wachunguze vizur hata viongozi wako wa dini unaweza ukashangaa kwanini umewaamini wakuongoze kiroho[emoji38][emoji38].
Una umri gan wewe maana nisije nikaku overdose..[emoji1][emoji1] Hapo jamaa anapewa pongezi Za kuMkaza vizuri night
25yrs.Una umri gan wewe maana nisije nikaku overdose..
Point hiyoKwani watanzania wote wanasali kwenye hilo kanisa la Masanja mpaka useme "Nitakua wa mwisho kuamini watanzania tuna akili timamu"
Naomba ulete na picha ya kanisa la Mchungaji Pilipili[emoji56]Mama mchungaji akigawa baraka kwa muumini
View attachment 2377009
AhahahahaNaomba ulete na picha ya kanisa la Mchungaji Pilipili[emoji56]
Nao wanaigiza!!!Hivi kweli wafuasi wa kanisa la Masanja wapo sawa kabisa kichwani?
Tatizo tumepewa uhuru uliopitiliza kwenye dini, ifike mahali serikali iweke standards zinazokubalika kwa mtu anaetaka kufungua kanisa maana kwa hapa tulipofika watu wanachukulia kanisa kama kijiwe cha kufanyia uhuni na kula pesa za wauminiWote tunamfahamu Masanja vizuri alivyojilea na kujikuza. Ni mchekeshaji na ndiyo kazi iliyomtangaza. Lakini pia tunamfahamu kuwa ni mropokaji asiye na adabu mbele ya watu na ana matusi na mizaha isiyo na mipaka.
Sasa mtu kama huyu anaanzisha kanisa la kumwabudu Mungu halafu watu wanamfuata na kumuamini. Hivi kweli wafuasi wa kanisa la Masanja wapo sawa kabisa kichwani? Au kuna namna watu wanaendeleza mizaha hadi kwenye mambo ya imani?
Hakika nakuunga mkono. Hakuna mchungaji pale ila ni mpigaji tu kupitia jina la Mungu na Mungu wetu hadhihakiwi. Atajibu kwa wakati ufaao.Wote tunamfahamu Masanja vizuri alivyojilea na kujikuza. Ni mchekeshaji na ndiyo kazi iliyomtangaza. Lakini pia tunamfahamu kuwa ni mropokaji asiye na adabu mbele ya watu na ana matusi na mizaha isiyo na mipaka.
Sasa mtu kama huyu anaanzisha kanisa la kumwabudu Mungu halafu watu wanamfuata na kumuamini. Hivi kweli wafuasi wa kanisa la Masanja wapo sawa kabisa kichwani? Au kuna namna watu wanaendeleza mizaha hadi kwenye mambo ya imani?
Nitajie imani yako nikuoneshe mizaha yakeWote tunamfahamu Masanja vizuri alivyojilea na kujikuza. Ni mchekeshaji na ndiyo kazi iliyomtangaza. Lakini pia tunamfahamu kuwa ni mropokaji asiye na adabu mbele ya watu na ana matusi na mizaha isiyo na mipaka.
Sasa mtu kama huyu anaanzisha kanisa la kumwabudu Mungu halafu watu wanamfuata na kumuamini. Hivi kweli wafuasi wa kanisa la Masanja wapo sawa kabisa kichwani? Au kuna namna watu wanaendeleza mizaha hadi kwenye mambo ya imani?
Kwani hao 50 ni Wanyarwanda? Mbona manabii na mitume feki wako kibao Tanzania na wana wafuasi pia???Huyu jamaa yeye ndo hana akili timamu
Yani kanisa lenye watu hamsini ndo utumie kuhukumu watanzania zaidi ya milioni 60?
Ndio uamini tuna tatizo kama taifa. Hatuna hata vigezo vya kueleweka. Bora hata Kagame, huna digrii ya theolojia, biashara ya kanisa haikuhusu.Na bado serikali ikalisajiri kanisa lake! Serikali inayoongoza Watanzania zaidi ya milioni 60!
Na wewe ni muumini wa Masanja, eenh! Pole aisee!Mtoa mada ni mbumbumbu wa mambo ya kiroho ndio maana unahukumu watu.