The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Jamaa aliejulikana kama "The greatest seducer of Men". Rais wa Real Madrid sasa naona ana bonge la kashfa. Audio leaks za mazungumzo yake na mtu aliemrekodi zinaachiwa.
Hadi sasa kawatukana wachezaji walioiletea timu yake sifa zote. Raul na Cassilas kawaita 'fraud'.
Cristiano Ronaldo .. idiot
Morinho .. abnormal..
Na bado audio inaendelea.
Achilia ugomvi wake na Uefa kuhusu . Super ligue na ugomvi wake na Zidane hadi Zidane akatimua.
Bado shida ya hela walizo nazo Hadi wanashindwa kusajili.
Inawezekana huu ndo mwisho wa Florentino Perez?
Hadi sasa kawatukana wachezaji walioiletea timu yake sifa zote. Raul na Cassilas kawaita 'fraud'.
Cristiano Ronaldo .. idiot
Morinho .. abnormal..
Na bado audio inaendelea.
Achilia ugomvi wake na Uefa kuhusu . Super ligue na ugomvi wake na Zidane hadi Zidane akatimua.
Bado shida ya hela walizo nazo Hadi wanashindwa kusajili.
Inawezekana huu ndo mwisho wa Florentino Perez?