Jamaa hakuwa na sure target ya hiyo league, alikuwa anajua eefect zake baada ya kuandaa mpango huo, kwamba timu zitatangaza kujiunga na hiyo superleague na Perez atatoa nyaraka za kusaini katika umoja huo wa European superleague ili baadae timu Zikianza kujitoa, tayar yeye ana nyaraka za kisheria ili awapige faini zile timu zote zinazojitoaJamaa mpaka anakufa huyo hawezi wasahau waingereza kamwe na waziri wao mkuu walichomfanya kwenye ile super league 😀😀😀😀...
Tutajua vitu vingi sana kutoka kwa kwake katika kipindi hiki ambacho mwamba anamalizia legacy yake ya uongozi pale Real Madrid
ni kama mtu aliyechanganyikiwa na ndani yake akawa na degree ya unafikiTutajua vitu vingi sana kutoka kwa kwake katika kipindi hiki ambacho mwamba anamalizia legacy yake ya uongozi pale Real Madrid
Now you get me brooni kama mtu aliyechanganyikiwa na ndani yake akawa na degree ya unafiki
Aliijali madrid tuJamaa hakuwa na sure target ya hiyo league, alikuwa anajua eefect zake baada ya kuandaa mpango huo, kwamba timu zitatangaza kujiunga na hiyo superleague na Perez atatoa nyaraka za kusaini katika umoja huo wa European superleague ili baadae timu Zikianza kujitoa, tayar yeye ana nyaraka za kisheria ili awapige faini zile timu zote zinazojitoa
Bahati mbaya kwake timu mbalimbali kubwa zilimuunga mkono ila ilibaki process ya mwisho ya kusaini nyaraka za superleague hili ndo lilishindikana baada ya effect zake kuanza kutokea mapema sana bila mategemeo ya Perez
Na lengo la yeye kufanya vile ilikuwa ni mpango wa Kuongeza mapato kwenye klabu yake ambayo Kwasasa pesa mingi imeingia kwenye Kurekebisha uwanja wa Santiago bernabeu hivyo kupelekea timu hiyo kuyumba kidogo na Kushindwa Kuonesha zake katika usajili wa wachezaji kama ilivyo kawaida yake ya kuvunja record yaan The Galacticos
In short Jamaa Anaipenda sana Real Madrid kama shabiki na President wa timu hiyo, utaona namna gani uwanja wa Santiago bernabeu alivyo ufanya kuwa mkubwa na mzuri ili tu mapato yaongezeka kupitia uwanja huo, One of the Greatest mastermind of world footballAliijali madrid tu
Journalist anamfanya Perez kitega uchumi
Kila binadamu ana mapungufu yake mkuu, hata yeye Perez sio Mungu, hivyo basi ana mapungufu yakeMbona aliyoyazungumza mengi yana ukweli, Ni kweli Mourinho ni abnormal na Ronaldo kiburi kinamsumbua
Hamna marefu yasiyo na nchaJamaa aliejulikana kama "The greatest seducer of Men". Rais wa Real Madrid sasa naona ana bonge la kashfa. Audio leaks za mazungumzo yake na mtu aliemrekodi zinaachiwa.
Hadi sasa kawatukana wachezaji walioiletea timu yake sifa zote. Raul na Cassilas kawaita 'fraud'.
Cristiano Ronaldo .. idiot
Morinho .. abnormal..
Na bado audio inaendelea.
Achilia ugomvi wake na Uefa kuhusu . Super ligue na ugomvi wake na Zidane hadi Zidane akatimua.
Bado shida ya hela walizo nazo Hadi wanashindwa kusajili.
Inawezekana huu ndo mwisho wa Florentino Perez?
Duh.,. Namheshimu Sana Vicente del Bosque hapa Perez kanisikitisha