Kwa Hayati Magufuli hela anazotumia Tundu Lissu kuzurura zingetumika kujenga zahanati nchi nzima

Kwa Hayati Magufuli hela anazotumia Tundu Lissu kuzurura zingetumika kujenga zahanati nchi nzima

Mafisadi na mabeberu mpaka leo wanajiuliza Hayati Magufuli alikuwa anatoa wapi hela na kujenga miradi mingi sana kwa wakati mmoja, kila kijiji, kata, wilaya nchini Tanzania ilikuwa na mradi wa Magufuli, zahanati na hospitali ziliota kama uyoga.

Jibu ni kwamba Magufuli alikuwa anatoa hela kwa mafisadi, mfano sasa hivi Chadema wamelamba asali na kukubali kupokea mabilioni ya pesa za walipa kodi kutoka kwa Rais Samia, hela ambayo kwa sasa wanaitumia kuzunguka nchi nzima wakitukana viongozi na kuhamasisha maasi nchini.

Hela ambayo ilitakiwa ielekezwe kutatua huduma za kijamii wanapewa Chadema ili waitumie kuruka na helkopita kufanya umalaya na kuhujumu miradi ya maendeleo.
Pumbavu sana wewe hivi Leo CCM inafikisha miaka 60 ikiwa madarakani, je kwa nini mpaka leo haijayafanya hayo unayoyalalamikia?
 
Ndio waliuawa na nani ushahidi please?
Unaomba ushahidi barabarani? Bwana luqman molotov mwandishi kutoka mwananchi amefungua case ipo mahakamani .ni case dhidi ya IGP kushindwa kuwatafuta hawa watu. Wewe kaa kwa kutulia! Japo hata hukumu ikitoka mtapinga kama ile ya ASSAD TU.
Jamaa menu lilikuwa haliheshimu haki za watu. Alitawala kama nyapara
 
Mafisadi na mabeberu mpaka leo wanajiuliza Hayati Magufuli alikuwa anatoa wapi hela na kujenga miradi mingi sana kwa wakati mmoja, kila kijiji, kata, wilaya nchini Tanzania ilikuwa na mradi wa Magufuli, zahanati na hospitali ziliota kama uyoga.

Jibu ni kwamba Magufuli alikuwa anatoa hela kwa mafisadi, mfano sasa hivi Chadema wamelamba asali na kukubali kupokea mabilioni ya pesa za walipa kodi kutoka kwa Rais Samia, hela ambayo kwa sasa wanaitumia kuzunguka nchi nzima wakitukana viongozi na kuhamasisha maasi nchini.

Hela ambayo ilitakiwa ielekezwe kutatua huduma za kijamii wanapewa Chadema ili waitumie kuruka na helkopita kufanya umalaya na kuhujumu miradi ya maendeleo.
Mungu ni mwema anabariki kila mwanadamu anayemnyenyekea na anayejifanya ni Mungu humwadhibu bila kujali cheo,umaarufu au pesa zake.
 
Ipo wapi 1.5 T
Nenda ubungo, Nnda kimara mail Moja,Nenda pale station Central, nenda rufiji kwenye bwawa la umeme, Nenda airport, Nenda mwanza ziwani kunameli kubwa ya abiria na mizigo, kama siomageni mjini nenda pale Agakhan hospital ulizia Tanzanite bridge, nenda mitaani huko kijichi na maeneo mengine ukiona lami na taaza barabarani uswahilini, Nenda kwenu msoga chalinze wami ukikuta daraja lakisasa mto wami simama hapo utazionaizo 1.5 T.
 
Nenda ubungo, Nnda kimara mail Moja,Nenda pale station Central, nenda rufiji kwenye bwawa la umeme, Nenda airport, Nenda mwanza ziwani kunameli kubwa ya abiria na mizigo, kama siomageni mjini nenda pale Agakhan hospital ulizia Tanzanite bridge, nenda mitaani huko kijichi na maeneo mengine ukiona lami na taaza barabarani uswahilini, Nenda kwenu msoga chalinze wami ukikuta daraja lakisasa mto wami simama hapo utazionaizo 1.5 T.
Kwa hiyo Report ya CAG ilikosea kutoa taarifa?
 
Mkuu ni kweli ulikuwa haujui magufuli alikuwa anatoa wapi pesa? Really? Like seriously??

-Umesahau watu wa Beurre de change walivyporwa fedha nchi nzima?
-Umesahau 1.5T zilizopigwa kwenye report ya CAG?
-Umesahau wafanyabiashara walivyoporwa pesa zao na Kikosi kazi?
-Umesahau ma Tycoon walivyofriziwa accounts zao?
-Umesahau Deni la taifa liliongezeka mara mbili kwenye awamu ya JIWE?
-Umesahau plea bargain walivyokwiba pesa?
-Umesahau mashirika ya umma yalikuwa yanaenda kukopa fedha na kumpa JIWE wakisema ni dividend?
Mbona hawakugoma sasa?
 
Nenda ubungo, Nnda kimara mail Moja,Nenda pale station Central, nenda rufiji kwenye bwawa la umeme, Nenda airport, Nenda mwanza ziwani kunameli kubwa ya abiria na mizigo, kama siomageni mjini nenda pale Agakhan hospital ulizia Tanzanite bridge, nenda mitaani huko kijichi na maeneo mengine ukiona lami na taaza barabarani uswahilini, Nenda kwenu msoga chalinze wami ukikuta daraja lakisasa mto wami simama hapo utazionaizo 1.5 T.
Zile zina hesabu zake usituchanganye ubungo tunapita kila leo hapo sawa tuna ulizia ile 1.5 T haijaonekana imefanyia nn. Hayo maeneo unayotaja pesa zimepigiwa hesabu na bunge linajua wapi zimepatikana. Ulichojibu ni upumbavu
 
Mafisadi na mabeberu mpaka leo wanajiuliza Hayati Magufuli alikuwa anatoa wapi hela na kujenga miradi mingi sana kwa wakati mmoja, kila kijiji, kata, wilaya nchini Tanzania ilikuwa na mradi wa Magufuli, zahanati na hospitali ziliota kama uyoga.

Jibu ni kwamba Magufuli alikuwa anatoa hela kwa mafisadi, mfano sasa hivi Chadema wamelamba asali na kukubali kupokea mabilioni ya pesa za walipa kodi kutoka kwa Rais Samia, hela ambayo kwa sasa wanaitumia kuzunguka nchi nzima wakitukana viongozi na kuhamasisha maasi nchini.

Hela ambayo ilitakiwa ielekezwe kutatua huduma za kijamii wanapewa Chadema ili waitumie kuruka na helkopita kufanya umalaya na kuhujumu miradi ya maendeleo.
Mbona hiyo miradi Bado inajengwa, pesa zinatoka wapi. Tena kwa Sasa imekuwa mingi Sana. Punguza uongo.
 
U
Nenda ubungo, Nnda kimara mail Moja,Nenda pale station Central, nenda rufiji kwenye bwawa la umeme, Nenda airport, Nenda mwanza ziwani kunameli kubwa ya abiria na mizigo, kama siomageni mjini nenda pale Agakhan hospital ulizia Tanzanite bridge, nenda mitaani huko kijichi na maeneo mengine ukiona lami na taaza barabarani uswahilini, Nenda kwenu msoga chalinze wami ukikuta daraja lakisasa mto wami simama hapo utazionaizo 1.5 T.
ULivyo boya hayo unayotaja mengi ni mikopo na hisani daraja la tanzanite na fly over ni hela ya nchi yako au hisani na mikopo. Pumbavu jizi lile
 
Mafisadi na mabeberu mpaka leo wanajiuliza Hayati Magufuli alikuwa anatoa wapi hela na kujenga miradi mingi sana kwa wakati mmoja, kila kijiji, kata, wilaya nchini Tanzania ilikuwa na mradi wa Magufuli, zahanati na hospitali ziliota kama uyoga.

Jibu ni kwamba Magufuli alikuwa anatoa hela kwa mafisadi, mfano sasa hivi Chadema wamelamba asali na kukubali kupokea mabilioni ya pesa za walipa kodi kutoka kwa Rais Samia, hela ambayo kwa sasa wanaitumia kuzunguka nchi nzima wakitukana viongozi na kuhamasisha maasi nchini.

Hela ambayo ilitakiwa ielekezwe kutatua huduma za kijamii wanapewa Chadema ili waitumie kuruka na helkopita kufanya umalaya na kuhujumu miradi ya maendeleo.
Wee mbwa kwani Tundu Lissu ni NGO au serikali ya kutoa fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo?
 
Back
Top Bottom