GSM Shop sio mali ya Klabu.Muulize kama 300m ni mapato ya duka akuonyeshe Na mapato ya maduka mengine kuanzia gsm msaasani gsm nyerere road gsm salamanda nk kwenye hiyo Report?
Akikujibu nitag mkuu
Msikilize mwenyewe hapa Rais wenu anasema bilioni 9.1
Yanga wajanja sana.Njia za mapato si zilikwisha ainishwa mwanzoni mwa mkataba?
Kama mkataba ulisema 1,300 kwa kila jezi, kwanini ripoti ya mauzo ya mwaka iseme 330M ni mauzo ya duka?
Huoni kusema 330M ni mauzo ya duka maana yake unakubali kuwa mauzo yaliyofanyika nje ya duka umeya exclude?
Wakati mkataba unasema kila jezi unachukua 1,300 bila kujali kuwa ni nje au ndani ya duka as long as ni jezi ya Yanga?
Asante sana kwa swali lako ila mimi nakujibu kwa references ya video kabisa inayomuonesha Raisi wa Club akitamka Bilion 9.1
Wanamkamua kwenye media kuwaaminisha watu ila kwenye vikokotoo GSM ndio mafia.Yanga wajanja sana.
Wanamkamua GSM Bilioni 2.18 kila msimu.
Wakaona bado,
Wakamkamua pia buku 1,300/ kwenye kila jezi.
Wakaona haitoshi tena wakajifanya nao ni "WAFANYA BIASHARA''. Wakanunua jezi hizo hizo kwa mzabuni kwa bei ya wholesale then wakkapeleka mzigo kwenye Club Shop yao iliyoko HQ. Mzigo ukasukumwa msimu mzima, dukaa hilo hilo moja likaingiza milioni 300.
Watu wanabaki.kushangaa.
Hersi ni Genius.
View attachment 2669597
Umewashika pabaya [emoji16][emoji16][emoji16]Asante sana kwa swali lako ila mimi nakujibu kwa references ya video kabisa inayomuonesha Raisi wa Club akitamka Bilion 9.1
View attachment 2669598
mauzo toka duka la yanga?Hayo ni mauzo yaliyotoka kwenye duka la klabu jangwani siyo kama unavyofikiri wewe
Ahsante sana mkuu, siku zote hoja hujibiwa kwa hoja na sio viloja big up Sana kwako kolo Mimi ni Yanga bingwa WA NBC na makombe mengine .Asante sana kwa swali lako ila mimi nakujibu kwa references ya video kabisa inayomuonesha Raisi wa Club akitamka Bilion 9.1
View attachment 2669598
Package ya Uzabuni ina conditions 2.Asante sana kwa swali lako ila mimi nakujibu kwa references ya video kabisa inayomuonesha Raisi wa Club akitamka Bilion 9.1
View attachment 2669598
9.1 + 1.8 = 10.9Ahsante sana mkuu, siku zote hoja hujibiwa kwa hoja na sio viloja big up Sana kwako kolo Mimi ni Yanga bingwa WA NBC na makombe mengine .
Haya sasa zamu yako sasa demigod hiyo B10 wewe uliitoa wapi? Tunaona hapo mheshimiwa Raisi anasema ni B9 ufafanuzi wako tafadhari.
Hivi umeelewa hata kilichoandikwa hapo pichani?
Lete taarifa ya fedha ya klabu ya Yanga tuone kwenye mapato yake kama hizo pesa zimeonekanaSIMBA SC:
Tarehe 20.03.2023 Simba SC waliingia mkataba na VUNJABEI wenye thamani ya Bilioni 2 tu kwa muda wa Miaka miwili (Yaani Misimu Miwili)
VUNJABEI alitengeneza jezi kwa misimu miwili yaani
2021/22 na
2022/23
Katika kipindi hiko cha misimu miwili Simba wataingiza Bilioni 2 Tu.
Tarehe 16/6/2023 Simba SC waliingia mkataba na SANDALAND wenye thamani ya Bilioni 4 tu kwa muda wa Miaka miwili (Yaani Misimu Miwili). Ikimaanisha kila msimu wataingiza Bilioni 2
SANDALAND atatengeneza jezi kwa misimu miwili yaani
2023/24 na
2024/25
Katika kipindi hiko cha misimu miwili Simba wataingiza Bilioni 4 Tu.
HIVYO BASI SIMBA WATAINGIZA JUMLA YA BILIONI 6 KATIKA MISIMU 4.
YANGA SC:
Tarehe 12/02022 YANGA SC waliingia mkataba na GSM wenye Jumla ya thamani ya Bilioni 10.9 tu kwa muda wa Miaka mitano (Yaani Misimu mitano)
Kwa maana ya msimu wa:-
2022/23, 2023/24, 2024/25, 2025/26, 2026/27.
Kwa hesabu ya haraka haraka Bilion 10.9 ukiigawa kwa kila msimu unapata Bilion 2.18. Hivyo ulichukua misimu minne tu ya kwanza yaani
2022/23,
2023/24,
2024/25,
2025/26,
Ni sawa na 2.18 Bilioni X 4 = Bilioni 8.72. Kimsingi kwenye misimu minne tu ya mikataba ya jezi kwa upande wa Simba & Yanga,
Yanga SC wanatengeneza Bilion 8.72
Simba SC wanatengeneza Bilion 6.00.
YANGA SC WAMEWAZIDI BILIONI 2.72 WENZAO KWENYE DILI LA JEZI.
HAPO HATUJAHESABIA ILE 1,300/= YA KWENYE MAUZO YA KILA JEZI YA KLABU KUTOKA KWA GSM.
View attachment 2669393View attachment 2669392View attachment 2669395
Hahaha [emoji23][emoji23] kwahiyo mali za klabu ziuzwe na mtu mwingine halafu pesa isiende klabuGSM Shop sio mali ya Klabu.
Club Shop ni mali ya klabu.
Hatuwezi kuhesabu mapata ya maaduka ambayo sio mali ya klabu.
Ifahamike GSM Shops ni mali za mzabuni?
Nakutag kabisa
adakiss23
Mkataba wa Yanga na GSM kwenyw jezi uko hivi:-Hahaha [emoji23][emoji23] kwahiyo mali za klabu ziuzwe na mtu mwingine halafu pesa isiende klabu
Hakika bangi ni mbaya