Kwa hesabu hizi Yanga SC anamzidi Simba SC kimapato mikataba wa Jezi

Kwa hesabu hizi Yanga SC anamzidi Simba SC kimapato mikataba wa Jezi

Lete taarifa ya fedha ya klabu ya Yanga tuone kwenye mapato yake kama hizo pesa zimeonekana
Ipo ndani ya mapato ya sponsorship
20230627_000113.jpg
 
Mkataba wa Yanga na GSM kwenyw jezi uko hivi:-

Jukumu la kuzalisha, kisambaza jezi yenye nembo ya Yanga ni la GSM.

IN RETURNS wanaipa Yanga SC bil 2.18 kila msimu.

Its a win win situation.

Haitofautiani na Simba vs SANDALAND.

Simba hana. Jukumu la. Kuuza Jezi, SANDALLAAND yuko na haki halali za kuuza jezi za klabu in returnes Simba inapata bilion 2 kwa msimu.

Sidhani kama umeelewa! [emoji23]
naomba nionyeshe hiyo 2.18b ilipoonyeshwa kwenye Report hii iliyosomwa juzi.
 
hzo hesabu za jezi za utopolo hazijakaa sawa.hzo bilions haujatuambia wanapewa kwa ajili gani.wakati jezi bado hazijauzwa?hv kweli mtu anaweza kuwapa hela za jezi bila kujua hela zake zitarudi vp?
 
Mfungua uzi bado sijaelewa mantiki yako ya kuanza kuhesabu mkataba wa Simba tangu 2021/2022 afu Yanga 2022/2023... Huu ulingano gani sasa unaleta?
 
Lete taarifa ya fedha ya klabu ya Yanga tuone kwenye mapato yake kama hizo pesa zimeonekana
Mapato ya wadhamini ni Bilioni 8
Azam ndiye hutoa 2.4bil
Anafuata Haier 1.5Bil
Anafuata Sportpesa 4bil
Hadi hapo unaona kabisa ni 7.9 au zaidi

Swali ni je hizo wanazosema za jezi, na maandishi ya gsm ziko sehemu gani?
Maana kama wangekuwa wanalipwa hizo pesa walizotaka kwenye jezi lazima mapato ya wadhamini yangezidi bilioni 10

Mkisema GSM anatoa 300mil kwa msimu
Na Jezi anatoa Bilioni 2.4 kwa msimu maana yake Yanga kwenye wadhamini walitakiwa wapate Bilioni 11 na point.
 
Mapato ya wadhamini ni Bilioni 8
Azam ndiye hutoa 2.4bil
Anafuata Haier 1.5Bil
Anafuata Sportpesa 4bil
Hadi hapo unaona kabisa ni 7.9 au zaidi

Swali ni je hizo wanazosema za jezi, na maandishi ya gsm ziko sehemu gani?
Maana kama wangekuwa wanalipwa hizo pesa walizotaka kwenye jezi lazima mapato ya wadhamini yangezidi bilioni 10

Mkisema GSM anatoa 300mil kwa msimu
Na Jezi anatoa Bilioni 2.4 kwa msimu maana yake Yanga kwenye wadhamini walitakiwa wapate Bilioni 11 na point.
Hawalijui hilo ndugu wanatupiga kamba tu hapa
 
Ipo ndani ya mapato ya spon

Ipo ndani ya mapato ya sponsorshipView attachment 2669899
Siku zote mtu akitaka kukudanganya/kukuficha jambo anakupatia hesabu ya jumla. Ukichambua kwa kina ndipo unapojua udanganyifu wake.
Kumbukumbu zilizopo ni hizi juu ya wadhamini wa Yanga
Sport pesa- TZS Bil 4
Azam bil.2.4
Haier - bil 1.5
Jumla kwa wadhamini hao watatu pekee ni Bi. 7.9
Bil. 8.1-7.9= Mil 200+
Haya tuambie hizo hesabu zenu ziko wapi hapo
 
Siku zote mtu akitaka kukudanganya/kukuficha jambo anakupatia hesabu ya jumla. Ukichambua kwa kina ndipo unapojua udanganyifu wake.
Kumbukumbu zilizopo ni hizi juu ya wadhamini wa Yanga
Sport pesa- TZS Bil 4
Azam bil.2.4
Haier - bil 1.5
Jumla kwa wadhamini hao watatu pekee ni Bi. 7.9
Bil. 8.1-7.9= Mil 200+
Haya tuambie hizo hesabu zenu ziko wapi hapo
Yanga walikurupuka na kwenye Jezi huo ndo Uhalisia

Huo Mkopo haijulikani walitoa wapi.

Bora Simba walitangaza kabisa kuwa msimu huu bajeti yao ni Bilioni 13 mapato yao ni Bilioni 9.5, MO anawakopesha Bilioni 3.5

Walitamka mapema sana
 
Yanga walikurupuka na kwenye Jezi huo ndo Uhalisia

Huo Mkopo haijulikani walitoa wapi.

Bora Simba walitangaza kabisa kuwa msimu huu bajeti yao ni Bilioni 13 mapato yao ni Bilioni 9.5, MO anawakopesha Bilioni 3.5

Walitamka mapema sana
Ndio hivyo lakini hawataki kuukubali ukweli.
 
Mapato ya wadhamini ni Bilioni 8
Azam ndiye hutoa 2.4bil
Anafuata Haier 1.5Bil
Anafuata Sportpesa 4bil
Hadi hapo unaona kabisa ni 7.9 au zaidi

Swali ni je hizo wanazosema za jezi, na maandishi ya gsm ziko sehemu gani?
Maana kama wangekuwa wanalipwa hizo pesa walizotaka kwenye jezi lazima mapato ya wadhamini yangezidi bilioni 10

Mkisema GSM anatoa 300mil kwa msimu
Na Jezi anatoa Bilioni 2.4 kwa msimu maana yake Yanga kwenye wadhamini walitakiwa wapate Bilioni 11 na point.
Kapotea jamaa.wanalishwa matango pori🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mapato ya wadhamini ni Bilioni 8
Azam ndiye hutoa 2.4bil
Anafuata Haier 1.5Bil
Anafuata Sportpesa 4bil
Hadi hapo unaona kabisa ni 7.9 au zaidi

Swali ni je hizo wanazosema za jezi, na maandishi ya gsm ziko sehemu gani?
Maana kama wangekuwa wanalipwa hizo pesa walizotaka kwenye jezi lazima mapato ya wadhamini yangezidi bilioni 10

Mkisema GSM anatoa 300mil kwa msimu
Na Jezi anatoa Bilioni 2.4 kwa msimu maana yake Yanga kwenye wadhamini walitakiwa wapate Bilioni 11 na point.
bado kuna udhamini wa maji ya afya, wa taifa gas, wa jembe energy drink, wa gsm lile tangazo juu mgongoni karibu na shingo...... hao ni wanne lakini haijulikani wanatoa sh ngap

hawa jamaa wahuni aiseee[emoji3][emoji3][emoji3]
 
bado kuna udhamini wa maji ya afya, wa taifa gas, wa jembe energy drink, wa gsm lile tangazo juu mgongoni karibu na shingo...... hao ni wanne lakini haijulikani wanatoa sh ngap

hawa jamaa wahuni aiseee[emoji3][emoji3][emoji3]
Na hakuna hesabu
 
𝙷𝚊𝚠𝚊 𝚂𝚒𝚖𝚋𝚊 𝚜𝚒 𝚗𝚍𝚒𝚢𝚘 𝚠𝚊𝚕𝚒𝚊𝚗𝚣𝚊 𝚔𝚞𝚓𝚒𝚒𝚝𝚊 𝚚𝚞𝚎𝚎𝚗 𝚔𝚊𝚋𝚕𝚊 𝚢𝚊 𝚜𝚊𝚗𝚍𝚊𝚕𝚊𝚗𝚍
Una akili ndogo sana
 
Bei ya jezi za Yanga iko juu kuliko za Simba, fanya utafiti mdogo unapotembea mtaani jezi za timu gani zinavaliwa kwa wingi?
 
Back
Top Bottom