naomba nionyeshe hiyo 2.18b ilipoonyeshwa kwenye Report hii iliyosomwa juzi.Mkataba wa Yanga na GSM kwenyw jezi uko hivi:-
Jukumu la kuzalisha, kisambaza jezi yenye nembo ya Yanga ni la GSM.
IN RETURNS wanaipa Yanga SC bil 2.18 kila msimu.
Its a win win situation.
Haitofautiani na Simba vs SANDALAND.
Simba hana. Jukumu la. Kuuza Jezi, SANDALLAAND yuko na haki halali za kuuza jezi za klabu in returnes Simba inapata bilion 2 kwa msimu.
Sidhani kama umeelewa! [emoji23]
Mapato ya wadhamini ni Bilioni 8Lete taarifa ya fedha ya klabu ya Yanga tuone kwenye mapato yake kama hizo pesa zimeonekana
Hawalijui hilo ndugu wanatupiga kamba tu hapaMapato ya wadhamini ni Bilioni 8
Azam ndiye hutoa 2.4bil
Anafuata Haier 1.5Bil
Anafuata Sportpesa 4bil
Hadi hapo unaona kabisa ni 7.9 au zaidi
Swali ni je hizo wanazosema za jezi, na maandishi ya gsm ziko sehemu gani?
Maana kama wangekuwa wanalipwa hizo pesa walizotaka kwenye jezi lazima mapato ya wadhamini yangezidi bilioni 10
Mkisema GSM anatoa 300mil kwa msimu
Na Jezi anatoa Bilioni 2.4 kwa msimu maana yake Yanga kwenye wadhamini walitakiwa wapate Bilioni 11 na point.
Ipo ndani ya mapato ya spon
Siku zote mtu akitaka kukudanganya/kukuficha jambo anakupatia hesabu ya jumla. Ukichambua kwa kina ndipo unapojua udanganyifu wake.Ipo ndani ya mapato ya sponsorshipView attachment 2669899
GCCb bGSM Shop sio mali ya Klabu.
Club Shop ni mali ya klabu.
Hatuwezi kuhesabu mapata ya maaduka ambayo sio mali ya klabu.
Ifahamike GSM Shops ni mali za mzabuni?
Nakutag kabisa
adakiss23
Yanga walikurupuka na kwenye Jezi huo ndo UhalisiaSiku zote mtu akitaka kukudanganya/kukuficha jambo anakupatia hesabu ya jumla. Ukichambua kwa kina ndipo unapojua udanganyifu wake.
Kumbukumbu zilizopo ni hizi juu ya wadhamini wa Yanga
Sport pesa- TZS Bil 4
Azam bil.2.4
Haier - bil 1.5
Jumla kwa wadhamini hao watatu pekee ni Bi. 7.9
Bil. 8.1-7.9= Mil 200+
Haya tuambie hizo hesabu zenu ziko wapi hapo
Ndio hivyo lakini hawataki kuukubali ukweli.Yanga walikurupuka na kwenye Jezi huo ndo Uhalisia
Huo Mkopo haijulikani walitoa wapi.
Bora Simba walitangaza kabisa kuwa msimu huu bajeti yao ni Bilioni 13 mapato yao ni Bilioni 9.5, MO anawakopesha Bilioni 3.5
Walitamka mapema sana
Kapotea jamaa.wanalishwa matango poriπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mapato ya wadhamini ni Bilioni 8
Azam ndiye hutoa 2.4bil
Anafuata Haier 1.5Bil
Anafuata Sportpesa 4bil
Hadi hapo unaona kabisa ni 7.9 au zaidi
Swali ni je hizo wanazosema za jezi, na maandishi ya gsm ziko sehemu gani?
Maana kama wangekuwa wanalipwa hizo pesa walizotaka kwenye jezi lazima mapato ya wadhamini yangezidi bilioni 10
Mkisema GSM anatoa 300mil kwa msimu
Na Jezi anatoa Bilioni 2.4 kwa msimu maana yake Yanga kwenye wadhamini walitakiwa wapate Bilioni 11 na point.
Maelezo mengi sanaKapotea jamaa.wanalishwa matango pori[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
bado kuna udhamini wa maji ya afya, wa taifa gas, wa jembe energy drink, wa gsm lile tangazo juu mgongoni karibu na shingo...... hao ni wanne lakini haijulikani wanatoa sh ngapMapato ya wadhamini ni Bilioni 8
Azam ndiye hutoa 2.4bil
Anafuata Haier 1.5Bil
Anafuata Sportpesa 4bil
Hadi hapo unaona kabisa ni 7.9 au zaidi
Swali ni je hizo wanazosema za jezi, na maandishi ya gsm ziko sehemu gani?
Maana kama wangekuwa wanalipwa hizo pesa walizotaka kwenye jezi lazima mapato ya wadhamini yangezidi bilioni 10
Mkisema GSM anatoa 300mil kwa msimu
Na Jezi anatoa Bilioni 2.4 kwa msimu maana yake Yanga kwenye wadhamini walitakiwa wapate Bilioni 11 na point.
Na hakuna hesabubado kuna udhamini wa maji ya afya, wa taifa gas, wa jembe energy drink, wa gsm lile tangazo juu mgongoni karibu na shingo...... hao ni wanne lakini haijulikani wanatoa sh ngap
hawa jamaa wahuni aiseee[emoji3][emoji3][emoji3]
Una akili ndogo sanaπ·ππ π πππππ ππ ππππ’π π ππππππ£π πππππππ πππππ πππππ π’π πππππππππ
Hizi habari ulizisikia kwenye media au ulisoma contract papers??