Kwa heshima na Tahadhima tunaiomba Serikali yetu sikivu ya JMT ianze kuipa muundo wa kiutumishi na mshahara Masters/PhD degree

Kwa heshima na Tahadhima tunaiomba Serikali yetu sikivu ya JMT ianze kuipa muundo wa kiutumishi na mshahara Masters/PhD degree

Kilunguru

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2023
Posts
416
Reaction score
544
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.........KAZI IENDELEE 🇹🇿 🇹🇿

Naanza na kuishukuru serikali yetu ya Awamu ya 6 chini ya Dr Samia Suluhu Hassan kwa kutujari Watumishi wa umma, na si Watumishi tu, bali makundi yote yameguswa chanya na serikali yetu, utaona ruzuku zimejaa kila Kona ya nchi, na mikopo pia kila Kona,

Tumeona serikali vile inatilia mkazo swala la Elimu Bora na yenye tija kwa maendeleo ya Taifa letu.

Hivyo basi tunaiomba serikali yetu tukufu endapo bajeti itaruhusu iweke muundo wa
kiutumishi na mshahara kwenye Elimu za masters/PhD, kwenye zile idara ambazo shahada ya pili haitambuliki.

Niwatakie kazi njema tufanye kazi kwa bidii kwa masilahi ya Taifa letu.
 
Hahaha utafanya watu tuanze kujiuliza Nini faida ya kwenda kusoma master na kutoa million zaidi ya 4..wakati ningeridhika tu na elimu na kazi kisha nikawekeza kwa nguvu na akili kufuga ng'ombe,mbuzi,kondoo,pig,kuku,Bata,sungura na njiwa..


Kusoma sana ni uoga wa maisha..kusoma maneno ya ki British ni upuuzi..maarifa gani ya muhimu kwa sasa hayapo online..poleni wasaka vyeo
 
Tunataka tija ya hiyo masters ako na siyo cheti, watumishi wa umma nyie ni wajinga sn, kutwa kujisifia elimu badala ya kufanya kazi mzalishe wananchi wapate unafuu wa maisha nyie ni maigizo ya masters. Haya tangu umemaliza masters umefanya nini cha tofauti na wenye degree? au ulitaka tujue kuwa una masters hapa? Masters yenyewe assignments + research ulifanyiwa ulichofanya ni kutoa hela tu. Shame on you
 
Hahaha utafanya watu tuanze kujiuliza Nini faida ya kwenda kusoma master na kutoa million zaidi ya 4..wakati ningeridhika tu na elimu na kazi kisha nikawekeza kwa nguvu na akili kufuga ng'ombe,mbuzi,kondoo,pig,kuku,Bata,sungura na njiwa..


Kusoma sana ni uoga wa maisha..kusoma maneno ya ki British ni upuuzi..maarifa gani ya muhimu kwa sasa hayapo online..poleni wasaka vyeo
Kutwa wanaloga wawe wakuu wa Idara, ufanisi ni zero hata masters yenyewe ni ya wizi tupu katoa hela
 
Tunataka tija ya hiyo masters ako na siyo cheti, watumishi wa umma nyie ni wajinga sn, kutwa kujisifia elimu badala ya kufanya kazi mzalishe wananchi wapate unafuu wa maisha nyie ni maigizo ya masters. Haya tangu umemaliza masters umefanya nini cha tofauti na wenye degree? au ulitaka tujue kuwa una masters hapa? Masters yenyewe assignments + research ulifanyiwa ulichofanya ni kutoa hela tu. Shame on you
Mkuu pole sana kunywa maji mengi usije ukapata stroke
 
Back
Top Bottom