Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Mtu upo JF hujui English?..kweli jamani hata cha kuombea maji??..
Kidding.
Kama una muda jifunze..Dunia hii ni kujifunza new staffs ambazo zinaweza kurahisisha maisha yako
Afadhali umekuwa kiazi, ungekuwa bamia ungekomaMuonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.
Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama
CCM wamejazana humu hawajuiMtu upo JF hujui English?..kweli jamani hata cha kuombea maji??..
Kidding.
Kama una muda jifunze..Dunia hii ni kujifunza new staffs ambazo zinaweza kurahisisha maisha yako
UmemalizaWala sio aibu na usijione wewe ndio mwenye jukumu la kujua kiingereza, hata huyo mzungu naye inabidi ajifunze kiswahili mbona wenzake nyomi huku street wanaongea hadi kinyakyusa??
Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.
Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.
Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.
Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
Kwahiyo hata cha kuombea maji hujui???Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.
Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.
Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.
Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
Umeshakosa point tatu muhimu kwa mama mkwe.....[emoji3][emoji3]Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.
Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.
Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.
Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi