mulwanaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 5,262
- 12,855
Wewe na mama mkwe wako mtauzaje famasi bila vyeti hamukumaliza form four na kusoma chuo cha afya.....mgejua angalau kiingereza cha kuanzia.Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.
Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.
Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.
Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi