Wewe na mama mkwe wako mtauzaje famasi bila vyeti hamukumaliza form four na kusoma chuo cha afya.....mgejua angalau kiingereza cha kuanzia.Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.
Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.
Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.
Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
Usipotoshe mwezio, bila kujua kiingereza katika hi nchi masikini kama Tz, utakua unajinyima fursa zingine, wazungu hawaitaji kiswahili kwa vyovyote lbda kwa utalii tu.Wala sio aibu na usijione wewe ndio mwenye jukumu la kujua kiingereza, hata huyo mzungu naye inabidi ajifunze kiswahili mbona wenzake nyomi huku street wanaongea hadi kinyakyusa??
*stuffsMtu upo JF hujui English?..kweli jamani hata cha kuombea maji??..
Kidding.
Kama una muda jifunze..Dunia hii ni kujifunza new staffs ambazo zinaweza kurahisisha maisha yako
basi wewe ni kilaza mkuu, unashindwaje kuzungumza kiingereza na huku unasema unakijua balaaMuonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.
Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.
Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.
Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
[emoji120][emoji120]*stuffs
Nyie kimombo hakipandi kwa kimbelembele chenu mnaweka duka la madawa kwenye njia wanazopita wadhungu! Ondoeni huko uswazi kwenu zipo flemu nyingi tu za kupanga.Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.
Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.
Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.
Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
Ze,ze waters zilikuwa nyingiii,jifunze mkuu,hiyo lugha ya malkia muhimu kujiua...Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.
Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.
Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.
Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
Sasa mtu anakwambia hajui kiingereza na wewe unamuandikia comment hapa kwa kiingereza? akili zingine bhana!You really had a bad day. You must have been really embarrassed!
Hapa bila shaka alimuogopa Mama mkwe zaidi kuliko huyo mzungu,angekua mzungu peke yake isingekua shida."nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha. "
hii inferiority ni mbaya sana
yani unaona aibu kutokujua lugha ambayo sio asili yako
sidhani kama mzungu huko ulaya angeshtuka kukuona tu pharmacy, kwamba angeshindwa kukuongelesha kiswahili
.....stuffs......staffs
Ameshasema hajui kiingereza, we mbona huelewi[emoji1787][emoji1787]You really had a bad day. You must have been really embarrassed!
Anataka kutuonyesha kua yeye anakijua! Mswahili bhana.Ameshasema hajui kiingereza, we mbona huelewi[emoji1787][emoji1787]