Kwa hii aibu niliyopata, naenda kujifunza Kiingereza

Wewe na mama mkwe wako mtauzaje famasi bila vyeti hamukumaliza form four na kusoma chuo cha afya.....mgejua angalau kiingereza cha kuanzia.
 
Wala sio aibu na usijione wewe ndio mwenye jukumu la kujua kiingereza, hata huyo mzungu naye inabidi ajifunze kiswahili mbona wenzake nyomi huku street wanaongea hadi kinyakyusa??
Usipotoshe mwezio, bila kujua kiingereza katika hi nchi masikini kama Tz, utakua unajinyima fursa zingine, wazungu hawaitaji kiswahili kwa vyovyote lbda kwa utalii tu.
 
Mtu upo JF hujui English?..kweli jamani hata cha kuombea maji??..

Kidding.

Kama una muda jifunze..Dunia hii ni kujifunza new staffs ambazo zinaweza kurahisisha maisha yako
*stuffs
 
basi wewe ni kilaza mkuu, unashindwaje kuzungumza kiingereza na huku unasema unakijua balaa
 
Nimefurahi ulivyoongea ukweli, yes, no, yah boos..haha
 
Mi nazani ni suala tu la umasikini wetu ndo linasababisha tuangaike kujua lugha nying ila mbona wezetu Wachina Wahindi wamexico na wa hispania wengi hawajui kiingereza ila biashara wanafanya na maisha yanaenda.

Mzungu kaja Tz ajifunze kiswahili au atafte mkaliman sio ww Mtz ujifunze kingereza kuongea na mzungu
Ni maoni yangu tu
 
Mwalimu wa kiingereza kwa madaraja yote yaani

1. Beginner’s Level
2. Intermediate Level
3. Advanced Level

Wasiliana 0743123946 WhatsApp
0684436954 Call/SMS
 
Nyie kimombo hakipandi kwa kimbelembele chenu mnaweka duka la madawa kwenye njia wanazopita wadhungu! Ondoeni huko uswazi kwenu zipo flemu nyingi tu za kupanga.
 
Ndiyo shida ya kujimwambafy, hadi mama mkwe akadhani unajua ung'eng'e kumbe wapi. Ukabaki yes yes mzungu kala mafenesi.Mkuu acha hizo!
 
Ze,ze waters zilikuwa nyingiii,jifunze mkuu,hiyo lugha ya malkia muhimu kujiua...
 
Hapa bila shaka alimuogopa Mama mkwe zaidi kuliko huyo mzungu,angekua mzungu peke yake isingekua shida.
 
Pole sana msweden Ila wewe siyo kiazi aicee basi tu hizi lugha zilizokuja na majahazi mda mwingine inabid uwe unajitahidi kujua hata cha kunywea maji ili kukwepa hizi aibu ndogo ndogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…