Daaaah we jamaa banaaaaaaMuonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.
Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.
Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.
Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
AhsanteKwahiyo hata cha kuombea maji hujui???
Okay, ngoja nikupe njia rahisi ya kujifunza kingereza, tafuta story book zile za chekechea na pembeni uwe na dictionary jitahidi kusoma vingi uwezavyo alafu jitahidi uwe unaongea na anayejua Kama yupo karibu (sio mpaka uende darasani)
Mzungu ilibidi aondoke maana hakuelewa kilichokuwa kinaongelewa!😁😁Kwahiyo mzungu alipata huduma au alikosa[emoji28]
Mzungu ilibidi aondoke maana hakuelewa kilichokuwa kinaongelewa![emoji16][emoji16]
Tangia nianze kuingia jf miaka yangu yote wewe ndo kiumbe wa kwanza kunifanya nicheke kwa sauti hadi watu wakanigeukiaMuonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.
Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.
Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.
Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
[emoji2]Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.
Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.
Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.
Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wala sio aibu na usijione wewe ndio mwenye jukumu la kujua kiingereza, hata huyo mzungu naye inabidi ajifunze kiswahili mbona wenzake nyomi huku street wanaongea hadi kinyakyusa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo shida ya kujimwambafy, hadi mama mkwe akadhani unajua ung'eng'e kumbe wapi. Ukabaki yes yes mzungu kala mafenesi.Mkuu acha hizo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kufuga madevu km waarabu, huta aibika tenaHayo Mambo yananikutaga sana Mimi (Ni muisilam)
Wajihi wangu ni Mweupe (Brown) Niko na ndevu halafu zile ndefu za kiustadhi kabisa, na huwa navaaga na Baraka Shia (kofia). Watu wamezoea kuniita Mpemba ilhali ni Mnyamwezi Pure wa Tabora.
kwahio huwa nikihudhuria Shughuli za Dini (Misiba /Maulidi) hawakawii kusema Shekh hapo tunaomba Duwa. Hapo ndio shida hutokea sijui kusoma wala kuomba Duwa, Mara nyingi huwa ni kwa kiarabu.
Kiukweli naibikaga sana, uzuri natumiaga mbinu ya kudanganya kifua au Sauti haitoki.
Kujua, haujui ni karama waliyopewa watu wachache Sana Duniani.... Wanaoukubali ukweli kwamba wanachangamoto inayo wakabili na kutafuta namna ya kuikabili.Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.
Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.
Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.
Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi
Daah!nimejikuta nacheka sna chief...kwamba ukajiona tayar umekwisha...haujamalizia nini kilicho endelea...Muonekano wangu umekaa kishua mtu akiniona tu anajua nina hela halafu naongea Kiingereza balaa.
Jana kuna mzungu kaja pharmacy ya mama mkwe kununua dawa sasa mama mkwe Kingereza akipandi akamtuma mtoto aje kuniita, nimefika dukani ile kumuona mzungu tu kimoyo moyo nikajisemea nimekwisha.
Kilichofata najua Mimi na Mungu wangu yes no, yes boss, yaah yaah ndio zilitamalaki hadi mama mkwe akaanza kucheka.
Hii aibu nzito sana. Kweli Mimi ni kiazi