Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Kaboronga sana kiukweli bado sana ila ubonge sawaOya pati tude I want tu shode ma hati tude
Mbona akifanyaga good Nampa credit Ila kwa hapa kaboronga sana au wewe unasemaje...??? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uzi kuhusu Harmonize umewekwa na Kigoma Independent what do you expect?teh
We jamaa na ile ID yako nyingine ya Innocent huwezi kumsifia Harmonize
Sema nyimbo mbaya
Fact Ila ndo udomo zegeMWANAMME ANAYEJITAMBUA HAWEZI TUMA PICHA YA DUDU KWA MWANAMKE.
Nyimbo mbayaMbona akifanyaga good Nampa credit Ila kwa hapa kaboronga sana au wewe unasemaje...??? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe unaejitambua unatumaga picha za makalio? Mwanaume Dudu acha upimbiMWANAMME ANAYEJITAMBUA HAWEZI TUMA PICHA YA DUDU KWA MWANAMKE.
Naona wanafananisha na WAAH[emoji23][emoji23][emoji23]Nyimbo mbaya
Haeleweki anaimba nini
Tuliza ball kijanaMleta mada naona juzi umepewa crown.
Uchawa unalipa
Acha uboya nenda kwa huyo kibamia wako[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe unaejitambua unatumaga picha za makalio? Mwanaume Dudu acha upimbi
Acha wivu kijanaSishangai kama aliyetoa thread ni Kigoma independent
Sasa Kama mtu unaweka wait masaa 2 unategemea Nini... [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama anajiamini angetoa tu from no where sio waiting za kijingaNaona wafuasi wa WCB mpo kazini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuache masikhara konde katisha kwenye ngoma ngoma kaliii sana...100k in 44mins sio mchezo kavunja hadi record ya boss wenu[emoji1787][emoji1787]
Toa pumba hapaumetumwa