Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Waah ni uchafu gani tena huuNaona wanafananisha na WAAH[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waah ni uchafu gani tena huuNaona wanafananisha na WAAH[emoji23][emoji23][emoji23]
Wivu mubaya sanaRudi baada ya wiki utanielewa. Wimbo mpaka sasa hivi haujaingia trending.
Sasa mimi ndio mwenye roho mbaya au watanzania? watanzania washamtema harmonize kama unabisha nimekwambia subiri baada ya wiki utaprove. Mimi sina uwezo wa kushawishi watanzania wampotezee konde mimi nazungumzia hali halisi ila kama utaki kukubali uhalisia utapata maumivu ya bure. Harmonize is done!Wivu mubaya sana
Kutwa kuwaombea wezenu mabaya, mna roho za chuki sana. Kuna muda unajiuliza mbona sifanikiwi kumbe ni roho yako mbaya ndiyo inakuponza
Sema kwakuwa nyinyi sio wagawa ridhiki hakiharibiki kitu
Toka hapa haujui mizikiUkijituma wanadai unashindana nao.... VIBAYA.
Sasa Mimi na wewe Nani chawa...?Uchawa nao NI KAZI kama KAZI nyingine.
UHESHIMIWE
Sasa wewe mwenyewe umemshusha vyeo eti DOGO[emoji23][emoji23][emoji23]Dogo katisha asa hii ngoma utaifananisha na ile ya boss wenu ngoma zima kutaja majina tu[emoji1787][emoji1787]
Utopolo tu huoTuache unafiki ngoma ni nzuri
We jamaa coment zako bana........[emoji3][emoji3]sasa hii sijui tuite ni chuki wivu ulimbukeni ujinga maradhi ama niniSasa Kama mtu unaweka wait masaa 2 unategemea Nini... [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama anajiamini angetoa tu from no where sio waiting za kijinga
Timu wachafu naona wamekutuma kuandika upuuzi huuNimejaribu kuutafakari, kuifuatilia na kuusikiliza WIMBO huu mpya wa Harmonize Ila kusema ukweli hamna kitu hapa tumepigwa.
Dogo aendelee kujifunza mbinu kutoka kwa Mwalimu wake mkuu Diamond Platnumz.
Pia, kijana anapapala sana maana kakurupuka na mixing Ni mbovu sana yaani makelele tu.
WAAH ya diamond platinumz Ni masterpiece kweli WIMBO umetulia, mixing on point na beat iko pahala pake.
DIAMOND PLATNUMZ NAANDAA ALBUM OF THE CENTURY SOUTH AFRICA