Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
- #81
Kweli kakurupukaKaz kweli hmn jipya happy haieleweki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kakurupukaKaz kweli hmn jipya happy haieleweki
Hamna kitu hapoTukiweka uchawa pembeni wimbo mkali sanaaa.
Hamna kitu acheni kumfarijiKuna mtu amesema haitafika hata trending, ila ajabu ipo number 1 hadi sahizi......
Mungu ndio mtoa ridhiki hakuna nguvu wala makelele yakumzuia Mungu kumpa ridhiki yake kijana....
Hii inaenda kuwa nyimbo kubwa sana, akiweka video nzuri, itafika mbali zaidi.
Acha hizoWe jamaa coment zako bana........[emoji3][emoji3]sasa hii sijui tuite ni chuki wivu ulimbukeni ujinga maradhi ama nini
Kachemka sanaPat tude [emoji1787]inafurahisha kwa kwel
Usela mavi[emoji23][emoji23][emoji23]Sema nini namkubal ni mbishi kinyama
Kweli ila bado hata 10m views ataisikia kwa bombaSiyo mbaya sana na siyo mzuri sana. Mixing haijakaa poa sana.
Naona trend ya mabolingo. Alikiba bora arudi kwa man walter
Acha uzandikiMtoa maada anatoka corridor za wasafi
Acha kukurupuka kijana WCB inatisha kweliTimu wachafu naona wamekutuma kuandika upuuzi huu
Chawa gani Tena...?Bado chawa wenzio wawili hawajafika hapa
Utamu guru sawaNgoma tamu achen mawaa
Kweli laizer ndo mtaalamu wa mixing tuProducer mixing kazingua,AF kam utulivu ulikua mdogo iv .ukiskiliza huku unajibidiisha kuiona kali ndo utaiona kali,lkn fresh acha wapige hela wakat wao ndo huu.
Hamna kitu pale anajitutumua tu kijanaSijui kwann lakini kuna kile kipande alikitoa mwanzo cha hyo video yake .....
It was so good lakini baada ya kusikiliza nyimbo nzima ni kama kaharibu hv....
Sijui kama nitaeleweka lakini ni kama nyimbo ilipoa tofauti na chorus yake ilivochangamka
Nyimbo ingechangamka kama chorus nahisi ingekua hit.....
Sijui lakini anyway
Kwani hiyo patitude inasemaje kwanza?[emoji23]
Kweli wamuachie Rayvanny tuIla hiki kiingereza jamani
Hapo tumepigwa Sana aseeenimesoma hiki kibandiko nikaingia youtube kuusikiliza huu wimbo husika nimekuta ni tofauti na unavyokosolewa,ni wimbo mzuri na unachezeka ni remix nzuri tu. nimejaribu kuukosoa nimeshindwa tuweke ushabiki pembeni dogo amejitahidi sana tu
Usitulazimishe bhanaNyimbo kali wabongo uchawa mwingi. Let's support good music