mtoto wa mjomba
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 526
- 753
Producer mixing kazingua,AF kam utulivu ulikua mdogo iv .ukiskiliza huku unajibidiisha kuiona kali ndo utaiona kali,lkn fresh acha wapige hela wakat wao ndo huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah umepotea sana jukwaan Joanah yan umepoa sana...Vp una mimba nini??😂😂😂Uzi kuhusu Harmonize umewekwa na Kigoma Independent what do you expect?teh
We jamaa na ile ID yako nyingine ya Innocent huwezi kumsifia Harmonize
Sema nyimbo mbaya
Ila hiki kiingereza jamaniOya pati tude I want tu shode ma hati tude
Dah umepotea sana jukwaan Joanah yan umepoa sana...Vp una mimba nini??😂😂😂
Basi fresh kama uko around .Mimba huwa haipatani na JF eee?🤣
This made my night aseee....mie nipo Date20210317 ,niko humu kila siku
Hata hivyo kupoa si ndio kawaida yangu?🙈
Nyimbo kali wabongo uchawa mwingi. Let's support good musicnimesoma hiki kibandiko nikaingia youtube kuusikiliza huu wimbo husika nimekuta ni tofauti na unavyokosolewa,ni wimbo mzuri na unachezeka ni remix nzuri tu. nimejaribu kuukosoa nimeshindwa tuweke ushabiki pembeni dogo amejitahidi sana tu
Mleta mada naona juzi umepewa crown.
Uchawa unalipa
Ataangukia pua huyo dogo wa mtwaraYe yuko vizuri zaidi kwenye kiki kuliko kazi
Aibu yako Kipara ndezi, [emoji2]Rudi baada ya wiki utanielewa. Wimbo mpaka sasa hivi haujaingia trending.
ahahhaOya pati tude I want tu shode ma hati tude
Sasa Mimi na wewe Nani chawa...?
Oya pati tude I want tu shode ma hati tude
KweliYe yuko vizuri zaidi kwenye kiki kuliko kazi