Salam humu.
Hizi noti zinasumbua Sana mtaani kwenye mzunguko wa pesa hasa kwenye biashara.Nahisi zimekuwa nyingi idadi tofauti na noti nyingine.
Sasa hivi ukienda kwenye ATM hawatoi kabisa noti za elfu tano.Yaani wanakwambia kabisa tunatoa mafungu ya kumi kumi tu.Na hata ukienda ndani ya benki idadi kubwa inayopatinaka no misimbazi tu.
Hebu wataalam wa fedha jaribuni kuangalia hii hali ikoje.Haya manoti inawezekana yako mengi mtaani kuliko noti zingine na yanaeumbua.
Benki nazo zijaribu kuangalia hii hali inaendaje hivi hakuna utaalamu wa kuchagua kwenye ATM kutoa noti nyingine..yaani magwiji wanafeli wapi kwenye hizi atm tunapata noti ya aina moja tu.Wazungu utaalam wao umeishia kutoa hela tu wanafeli wapi.!!??
Hizi noti zinasumbua Sana mtaani kwenye mzunguko wa pesa hasa kwenye biashara.Nahisi zimekuwa nyingi idadi tofauti na noti nyingine.
Sasa hivi ukienda kwenye ATM hawatoi kabisa noti za elfu tano.Yaani wanakwambia kabisa tunatoa mafungu ya kumi kumi tu.Na hata ukienda ndani ya benki idadi kubwa inayopatinaka no misimbazi tu.
Hebu wataalam wa fedha jaribuni kuangalia hii hali ikoje.Haya manoti inawezekana yako mengi mtaani kuliko noti zingine na yanaeumbua.
Benki nazo zijaribu kuangalia hii hali inaendaje hivi hakuna utaalamu wa kuchagua kwenye ATM kutoa noti nyingine..yaani magwiji wanafeli wapi kwenye hizi atm tunapata noti ya aina moja tu.Wazungu utaalam wao umeishia kutoa hela tu wanafeli wapi.!!??