Kwa hii Kauli ya Kidharau niliyomsikia nayo huyu Mtangazaji wa Kike wa TBC1 Janet Leonard leo Asubuhi kwa Atakayemtongoza awe na Gari ya MERCEDES BENZ

Kwa hii Kauli ya Kidharau niliyomsikia nayo huyu Mtangazaji wa Kike wa TBC1 Janet Leonard leo Asubuhi kwa Atakayemtongoza awe na Gari ya MERCEDES BENZ

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tusipotezeane sana muda kwani bado nina HASIRA KALI ya Timu yangu ya WAPUMBAVU SC a.k.a Kisingizio cha bado TUNATENGENEZA Kikosi kufungwa tena Wiki iliyopita na kuendeleza ule msemo kuwa Mke huwa hana Ubishi wa Mume.

"Kuna Clip moja niliiona Tembo akinyanyua Kigari cha ki IST hadi nikaogopa" amesema Mtangazaji wa TBC1 Janet Leonard leo katika Kipindi chao cha Asubuhi. Hivi ni kwani Duniani kuna Magari mengi tu lakini Gari ambalo Linadhaurika sana ( japo ndiyo hutumiwa na Watanzania wengi wa Kawaida na Kati ) ni la IST tu?

Mbona Mimi GENTAMYCINE mwenye usafiri wangu tu huu wa Baiskeli ya Phoenex sidharauliki kama wenye Gari za IST?
 
Tusipotezeane sana muda kwani bado nina HASIRA KALI ya Timu yangu ya WAPUMBAVU SC a.k.a Kisingizio cha bado TUNATENGENEZA Kikosi kufungwa tena Wiki iliyopita na kuendeleza ule msemo kuwa Mke huwa hana Ubishi wa Mume.

"Kuna Clip moja niliiona Tembo akinyanyua Kigari cha ki IST hadi nikaogopa" amesema Mtangazaji wa TBC1 Janet Leonard leo katika Kipindi chao cha Asubuhi. Hivi ni kwani Duniani kuna Magari mengi tu lakini Gari ambalo Linadhaurika sana ( japo ndiyo hutumiwa na Watanzania wengi wa Kawaida na Kati ) ni la IST tu?

Mbona Mimi GENTAMYCINE mwenye usafiri wangu tu huu wa Baiskeli ya Phoenex sidharauliki kama wenye Gari za IST?
Unajua Mimi namiliki Corolla Ila naheshimika sana mtaani maana ni gari za matajiri wazamani Ila Sasa ist ni gari iliyoyengenezwa rasmi kwaajili ya masikini ndiyo maana mafuta kananusa na pia hata ukiwa na buku Jero haukosi spea yake
 
Tusipotezeane sana muda kwani bado nina HASIRA KALI ya Timu yangu ya WAPUMBAVU SC a.k.a Kisingizio cha bado TUNATENGENEZA Kikosi kufungwa tena Wiki iliyopita na kuendeleza ule msemo kuwa Mke huwa hana Ubishi wa Mume.

"Kuna Clip moja niliiona Tembo akinyanyua Kigari cha ki IST hadi nikaogopa" amesema Mtangazaji wa TBC1 Janet Leonard leo katika Kipindi chao cha Asubuhi. Hivi ni kwani Duniani kuna Magari mengi tu lakini Gari ambalo Linadhaurika sana ( japo ndiyo hutumiwa na Watanzania wengi wa Kawaida na Kati ) ni la IST tu?

Mbona Mimi GENTAMYCINE mwenye usafiri wangu tu huu wa Baiskeli ya Phoenex sidharauliki kama wenye Gari za IST?
mtu yeyote mwenye akili timamu huwezi msikia akiropoka namna hiyo
 
Unajua Mimi namiliki Corolla Ila naheshimika sana mtaani maana ni gari za matajiri wazamani Ila Sasa ist ni gari iliyoyengenezwa rasmi kwaajili ya masikini ndiyo maana mafuta kananusa na pia hata ukiwa na buku Jero haukosi spea yake
Kwahiyo nawe unaungana kabisa na Mtangazaji huyo wa Kike wa TBC1 Janet Leonard kuiita IST ki IST akimaanisha anaidharau au?
 
binadamu tunadharau vitu ambavyo ni rahisi kupata

kuvimiliki hakutupi cheo flani(status)

ndo kama simu za infinix zinavyoonekana
 
Nakuelewa kabisa Mtani. Haka Kabinti kamesomea Chuo Kikuu gani na kana kaa wapi huko Bongo? Vipi kameshaolewa au?
 
Kama ni yule mwenye miwani na huvaa kilemba ni kawaida yake ana ego flani mbaya
NB:
Jana coastal wakomae kidogo tu Simba alikuwa anakufa mbili pure
 
Kuna IST, Passo na simu za Infinix aseeh kama uko na hzo vitu sjui unaonekanaje.

Siku moja nlkuwa TRA pale Mwanza dada akaiona simu yangu akaropoka wewe kaka ndio unatumia Infinix ooh nlichoka
 
Sasa mbona unampangia..kila mtu ana standards zake, huna Mercedes watakuja wenye nayo
 
Kwani akiolewa hatongozwi?
Mkuu wapo wale wanafungua milango imeandikwa closed,,,
 
Tusipotezeane sana muda kwani bado nina HASIRA KALI ya Timu yangu ya WAPUMBAVU SC a.k.a Kisingizio cha bado TUNATENGENEZA Kikosi kufungwa tena Wiki iliyopita na kuendeleza ule msemo kuwa Mke huwa hana Ubishi wa Mume.

"Kuna Clip moja niliiona Tembo akinyanyua Kigari cha ki IST hadi nikaogopa" amesema Mtangazaji wa TBC1 Janet Leonard leo katika Kipindi chao cha Asubuhi. Hivi ni kwani Duniani kuna Magari mengi tu lakini Gari ambalo Linadhaurika sana ( japo ndiyo hutumiwa na Watanzania wengi wa Kawaida na Kati ) ni la IST tu?

Mbona Mimi GENTAMYCINE mwenye usafiri wangu tu huu wa Baiskeli ya Phoenex sidharauliki kama wenye Gari za IST?
Bado tunatengeneza kikosi...hahaha
 
Unajua Mimi namiliki Corolla Ila naheshimika sana mtaani maana ni gari za matajiri wazamani Ila Sasa ist ni gari iliyoyengenezwa rasmi kwaajili ya masikini ndiyo maana mafuta kananusa na pia hata ukiwa na buku Jero haukosi spea yake
Ndo maana sahivi natafuta Carina Ti
 
Back
Top Bottom