GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Tayari kuna Mto Mmoja mkubwa na maarufu uko eneo fulani unaanza Kufurika na najua hadi Saa 10 Alasiri nitaitwa kwenda kusaidia Uokozi.
Na kuna Demu Mmoja ameninyima Nyama Tamu yake Chumba chake kipo Jirani na Kingo za huo Mto na kuna Uwezekano Chumba kikaondoka hivyo ngoja nijisogeze karibu kujifanya Namfariji na Chumba chake Kikiondoka na Mafuriko ya hii Mvua Kubwa aje Ghettoni ili nami nifanye marudio ya Goli Saba Bila ( 7 - 0 ) za Simba SC dhidi ya Horoya FC jana kwa Mkapa.
Na kuna Demu Mmoja ameninyima Nyama Tamu yake Chumba chake kipo Jirani na Kingo za huo Mto na kuna Uwezekano Chumba kikaondoka hivyo ngoja nijisogeze karibu kujifanya Namfariji na Chumba chake Kikiondoka na Mafuriko ya hii Mvua Kubwa aje Ghettoni ili nami nifanye marudio ya Goli Saba Bila ( 7 - 0 ) za Simba SC dhidi ya Horoya FC jana kwa Mkapa.