Kwa hii Mvua Kubwa ya Dar es Salaam leo nikiambiwa hakuna Madhara Makubwa nitakataa

Kwa hii Mvua Kubwa ya Dar es Salaam leo nikiambiwa hakuna Madhara Makubwa nitakataa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tayari kuna Mto Mmoja mkubwa na maarufu uko eneo fulani unaanza Kufurika na najua hadi Saa 10 Alasiri nitaitwa kwenda kusaidia Uokozi.

Na kuna Demu Mmoja ameninyima Nyama Tamu yake Chumba chake kipo Jirani na Kingo za huo Mto na kuna Uwezekano Chumba kikaondoka hivyo ngoja nijisogeze karibu kujifanya Namfariji na Chumba chake Kikiondoka na Mafuriko ya hii Mvua Kubwa aje Ghettoni ili nami nifanye marudio ya Goli Saba Bila ( 7 - 0 ) za Simba SC dhidi ya Horoya FC jana kwa Mkapa.
 
Jamani hizi thunderstorms ni balaa
Leo kuna kila dalili Chumba cha Demu aliyeninyima Nyama Tamu yake Kikasombwa na Maji kwani Mto sasa unakaribia Kuvunja Kingo zake na Nyumba aliyopanga itaondoka na Maji.

Leo atake asitake anakuja Magetoni.
 
Leo kuna kila dalili Chumba cha Demu aliyeninyima Nyama Tamu yake Kikasombwa na Maji kwani Mto sasa unakaribia Kuvunja Kingo zake na Nyumba aliyopanga itaondoka na Maji.

Leo atake asitake anakuja Magetoni.
😂😂😂na hizi thunderstorms bado unawaza mbususu?
 
Leo kuna kila dalili Chumba cha Demu aliyeninyima Nyama Tamu yake Kikasombwa na Maji kwani Mto sasa unakaribia Kuvunja Kingo zake na Nyumba aliyopanga itaondoka na Maji.

Leo atake asitake anakuja Magetoni.
Badala ukafanye uokozi kwa waumini wa ndugu yako mwamposa,wewe unawaza kula mzigo. Kweli kichwa cha chini kikiamua Hakuna wa kukidhibiti.
 
Back
Top Bottom