GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Leo kuna kila dalili Chumba cha Demu aliyeninyima Nyama Tamu yake Kikasombwa na Maji kwani Mto sasa unakaribia Kuvunja Kingo zake na Nyumba aliyopanga itaondoka na Maji.Jamani hizi thunderstorms ni balaa
๐๐๐na hizi thunderstorms bado unawaza mbususu?Leo kuna kila dalili Chumba cha Demu aliyeninyima Nyama Tamu yake Kikasombwa na Maji kwani Mto sasa unakaribia Kuvunja Kingo zake na Nyumba aliyopanga itaondoka na Maji.
Leo atake asitake anakuja Magetoni.
Bei za vyakula na bidhaa zilizopanda ni laana ya utawala uliolaanika. Najua ccm watachukia.Hii ni neema ya utawala uliotukuka.najua chadema watachukia
Badala ukafanye uokozi kwa waumini wa ndugu yako mwamposa,wewe unawaza kula mzigo. Kweli kichwa cha chini kikiamua Hakuna wa kukidhibiti.Leo kuna kila dalili Chumba cha Demu aliyeninyima Nyama Tamu yake Kikasombwa na Maji kwani Mto sasa unakaribia Kuvunja Kingo zake na Nyumba aliyopanga itaondoka na Maji.
Leo atake asitake anakuja Magetoni.