Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana hata bei za vifurushi zinapaa sababu ya hao wenye hisa. Wanaminya sana wananchi wao aise.Hisa za watu zitayumba, strar link itayumbisha mashirika
Waulize huu muda mtandao unasumbua je vipi waliojiunga vifurushi vyao vya siku nani atawafidia muda huu unaopotea bure?Mkurugenzi mkuu wa Tcra ameshatoa tayari ufafanuzi .kuwa kuna changamoto ya internet kutokana na mkongo wa internet uliopitishwa baharini kupata changamoto.kwa hiyo wanaendelea kufuatilia kujuwa tatizo ni nini. Kwa maelezo zaidi waweza soma gazeti la Mwananchi la leo jumapili.
Hahaha tupo wengiNIme restart simu yangu zaidi ya mara nne kumbe tatizo lipo kwa wote
Naona hujamwelewa mtoa mada.... issue ni kwamba wamezuia watoa huduma kama Starlink, na leo tuko down, hakuna alternatives. Hayo maelezo ya TCRA hayasaidiiMkurugenzi mkuu wa Tcra ameshatoa tayari ufafanuzi .kuwa kuna changamoto ya internet kutokana na mkongo wa internet uliopitishwa baharini kupata changamoto.kwa hiyo wanaendelea kufuatilia kujuwa tatizo ni nini. Kwa maelezo zaidi waweza soma gazeti la Mwananchi la leo jumapili.
Mtandao uliyumba lakini voda wao wananyonya Tu mbWaulize huu muda mtandao unasumbua je vipi waliojiunga vifurushi vyao vya siku nani atawafidia muda huu unaopotea bure?
Au hujaelewa swali limekaa kitalaam sana.
Halafu hawasemi, mimi nimenunua vifurushi mara kadhaa, Tigo na Voda vyote hola!Nime restart simu kumbe dishi limeyumba?
Pole Sana..Mimi nimemtumia mama pesa lakini naambiwa pending nimeumia sana
Halafu hawasemi, mimi nimenunua vifurushi mara kadhaa, Tigo na Voda vyote hola!
Ubaya hatuna kiongozi!Ndiyo maana hata bei za vifurushi zinapaa sababu ya hao wenye hisa. Wanaminya sana wananchi wao aise.
Ubaya hatuna kiongozi!Ndiyo maana hata bei za vifurushi zinapaa sababu ya hao wenye hisa. Wanaminya sana wananchi wao aise.
Mbona umesahau kumshukuru mama yenu Samia kwa mtandao kukata maana CHADEMA ndio wameharibu cable huko.Nikafikiri ni mimi peke yangu ndio simu yangu inasumbua.