Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hello
Mkurugenzi mkuu wa Tcra ameshatoa tayari ufafanuzi .kuwa kuna changamoto ya internet kutokana na mkongo wa internet uliopitishwa baharini kupata changamoto.kwa hiyo wanaendelea kufuatilia kujuwa tatizo ni nini. Kwa maelezo zaidi waweza soma gazeti la Mwananchi la leo jumapili.
Mkurugenzi mkuu wa Tcra ameshatoa tayari ufafanuzi .kuwa kuna changamoto ya internet kutokana na mkongo wa internet uliopitishwa baharini kupata changamoto.kwa hiyo wanaendelea kufuatilia kujuwa tatizo ni nini. Kwa maelezo zaidi waweza soma gazeti la Mwananchi la leo jumapili.
Nchi za kishenzi ,zinazoongozwa na majambazi na maharamia siku zote zinahofia internet na communications .Leo kuna shida kubwa sana ya mitandao yote ya simu.
Tangu saa nne.
Nimejikuta nayakumbuka madishi ya Elon Musk ya Starlink.
MbinguniTuliokuwa kanisani tunacomment wapi
Mmmm aje kufanya nini ? Kwa maisha kitanzania wachache mno wataweza $ 350 karinia 1mil mwezi .....nani ataweza ..? Bundle za buku per day tunachemsha......mlo wa jioni hatuna uhakika....kumbuka mkongo wa baharini unapitisha kila kitu kinachotoka Tanzania.....hiyo satelink ni ajili nyumbani kwako tu au very small office.....sio kama nchiLeo kuna shida kubwa sana ya mitandao yote ya simu.
Tangu saa nne.
Nimejikuta nayakumbuka madishi ya Elon Musk ya Starlink.
Usiwalaumu TCRA wala makampuni ya simu mkuu,there is nothing they can do.Infact Mungu aepushie mbali,hata Grid ya Taifa inaweza kuathirika.Leo kuna shida kubwa sana ya mitandao yote ya simu.
Tangu saa nne.
Nimejikuta nayakumbuka madishi ya Elon Musk ya Starlink.
We jamaa hivi huwa unajifunza vitu vipya? Yaani mtu aweke satellite angani kwaajili ya matumizi ya nyumbani tu. Kwa kumbukumbu zangu Starlink alikua network provider Ukraine wakati inapigana na Urusi baada ya Urusi kuharibu mawasiliano ya Ukraine.Yaje kufanya nini ? Bundle za buku tu shida $350 ķila mwezi nani ataweza ? Speed kinyonga ?
Mmmm aje kufanya nini ? Kwa maisha kitanzania wachache mno wataweza $ 350 karinia 1mil mwezi .....nani ataweza ..? Bundle za buku per day tunachemsha......mlo wa jioni hatuna uhakika....kumbuka mkongo wa baharini unapitisha kila kitu kinachotoka Tanzania.....hiyo satelink ni ajili nyumbani kwako tu au very small office.....sio kama nchi
Usiwalaumu TCRA wala makampuni ya simu mkuu,there is nothing they can do.Infact Mungu aepushie mbali,hata Grid ya Taifa inaweza kuathirika.Leo kuna shida kubwa sana ya mitandao yote ya simu.
Tangu saa nne.
Nimejikuta nayakumbuka madishi ya Elon Musk ya Starlink.
Usiwalaumu TCRA wala makampuni ya simu mkuu,there is nothing they can do.Infact Mungu aepushie mbali,hata Grid ya Taifa inaweza kuathirika.Leo kuna shida kubwa sana ya mitandao yote ya simu.
Tangu saa nne.
Nimejikuta nayakumbuka madishi ya Elon Musk ya Starlink.
Hauna hata haja ya kutumia starlink hata Żuku wanatumia satellite kusambaza mtandao its 3-in oneLeo kuna shida kubwa sana ya mitandao yote ya simu.
Tangu saa nne.
Nimejikuta nayakumbuka madishi ya Elon Musk ya Starlink.
Ya kwako Luka hata ikifa poa tu! Ili usipost utumbo humu! Maana najua hata laptop huna!Nikafikiri ni mimi peke yangu ndio simu yangu inasumbua.
Nape kahongwa na mafisadi ili awazuie na wait waendelee kutukamua. CCM ni genge la wahalifuLeo kuna shida kubwa sana ya mitandao yote ya simu.
Tangu saa nne.
Nimejikuta nayakumbuka madishi ya Elon Musk ya Starlink.
Kisa tu watu wamekosa udaku kwa masaa kadhaa!Leo kuna shida kubwa sana ya mitandao yote ya simu.
Tangu saa nne.
Nimejikuta nayakumbuka madishi ya Elon Musk ya Starlink.
Hivi kwa uelewa wako unaweza kuamini hii taarifa yaani mikonga wa internet upate hitilafu halafu baadhi ya website unafingua na nyingine hufungui.Mkurugenzi mkuu wa Tcra ameshatoa tayari ufafanuzi .kuwa kuna changamoto ya internet kutokana na mkongo wa internet uliopitishwa baharini kupata changamoto.kwa hiyo wanaendelea kufuatilia kujuwa tatizo ni nini. Kwa maelezo zaidi waweza soma gazeti la Mwananchi la leo jumapili.
Mbona mm natiririka na Internet ya tigo au shida ipo kwenye nini?Leo kuna shida kubwa sana ya mitandao yote ya simu.
Tangu saa nne.
Nimejikuta nayakumbuka madishi ya Elon Musk ya Starlink.