Kwa hii Shida ya Mitandao ya simu iliyotokea leo, turuhusu Starlink iingie Tanzania

Kwa hii Shida ya Mitandao ya simu iliyotokea leo, turuhusu Starlink iingie Tanzania

Hapo ndipo shida inapo mea zaidi
Jina lake anaitwa nape nauye form four failure
Anasema eti walimpa masharti Elon musk
Yaani wewe form four failure bogus kichwa maji ni wakumpa masharti Elon musk kweli ?
 
Kipindi hiki wabuni alternative nyingine wasitegemee source moja. Ni aibu kubwa kama taifa
 
Hata niliko mimi bado internet inasumbua sana mpaka watu wanabubujikwa na machozi wanapoona muda unakwenda na wanashindwa kufanya chochote mtandaoni,wakati wengine vifurushi vyao vinakwisha muda wake bila kutumia. Mimi nafanya kazi ya kuwatia moyo na kuwapa matumaini tu kuwa wawe wavumilivu na wenye subira wakati serikali yao kupitia Tcra ikiendelea kufuatilia kwa ukaribu sana suala hili.

Nimewaambia kuwa suala hilo halijasababishwa na serikali yao na wala wasiitupie lawama serikali.nashukuru wamenielewa lakini wameomba mamlaka ziangalie namna ya kuwapatia watu MB za bure kama sehemu ya kuwafidia walau kidogo tu kwa wale waliopoteza mabando yao kwa kuisha muda bila kuyatumia. Nimewaambia serikali yao ni Sikivu na watafutwa machozi yao.
 
Ni graduate wa kuunga unga unga mwambie atuonyeshe matokeo yake ya form four
We ni nani alikwambiaga form four ndo inakupangia maisha yako yote mbeleni, na ni nani alikwambia ukifeli form four maisha yote yaliyopita hayakuwa na maana?

Sasa kwa taarifa yako we ndo bogus sasa kama hujui... Wewe uliyefaulu form four uko wapi na una nini cha kumzidi Nape nnauye?

Maafrika ni majitu majinga sana! šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
 
waziri mwenyewe elimu hakuna kabisa na hana kingine zaidi ya kutukana wengine na matusi!
 
We ni nani alikwambiaga form four ndo inakupangia maisha yako yote mbeleni, na ni nani alikwambia ukifeli form four maisha yote yaliyopita hayakuwa na maana?

Sasa kwa taarifa yako we ndo bogus sasa kama hujui... Wewe uliyefaulu form four uko wapi na una nini cha kumzidi Nape nnauye?

Maafrika ni majitu majinga sana! šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
Mkuu mama ako ni mzungu sio?
 
We ni nani alikwambiaga form four ndo inakupangia maisha yako yote mbeleni, na ni nani alikwambia ukifeli form four maisha yote yaliyopita hayakuwa na maana?

Sasa kwa taarifa yako we ndo bogus sasa kama hujui... Wewe uliyefaulu form four uko wapi na una nini cha kumzidi Nape nnauye?

Maafrika ni majitu majinga sana! šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
Ok
 
Hata niliko mimi bado internet inasumbua sana mpaka watu wanabubujikwa na machozi wanapoona muda unakwenda na wanashindwa kufanya chochote mtandaoni,wakati wengine vifurushi vyao vinakwisha muda wake bila kutumia. Mimi nafanya kazi ya kuwatia moyo na kuwapa matumaini tu kuwa wawe wavumilivu na wenye subira wakati serikali yao kupitia Tcra ikiendelea kufuatilia kwa ukaribu sana suala hili.

Nimewaambia kuwa suala hilo halijasababishwa na serikali yao na wala wasiitupie lawama serikali.nashukuru wamenielewa lakini wameomba mamlaka ziangalie namna ya kuwapatia watu MB za bure kama sehemu ya kuwafidia walau kidogo tu kwa wale waliopoteza mabando yao kwa kuisha muda bila kuyatumia. Nimewaambia serikali yao ni Sikivu na watafutwa machozi yao.
Simwamini luka kwenye Hoja hii. Huku Manyara hali ya kasi-mwendo ya mtandao ni tete kabisa.
 
Hata niliko mimi bado internet inasumbua sana mpaka watu wanabubujikwa na machozi wanapoona muda unakwenda na wanashindwa kufanya chochote mtandaoni,wakati wengine vifurushi vyao vinakwisha muda wake bila kutumia. Mimi nafanya kazi ya kuwatia moyo na kuwapa matumaini tu kuwa wawe wavumilivu na wenye subira wakati serikali yao kupitia Tcra ikiendelea kufuatilia kwa ukaribu sana suala hili.

Nimewaambia kuwa suala hilo halijasababishwa na serikali yao na wala wasiitupie lawama serikali.nashukuru wamenielewa lakini wameomba mamlaka ziangalie namna ya kuwapatia watu MB za bure kama sehemu ya kuwafidia walau kidogo tu kwa wale waliopoteza mabando yao kwa kuisha muda bila kuyatumia. Nimewaambia serikali yao ni Sikivu na watafutwa machozi yao.
ukizingiatia na hao watoto wetu mtaani na haka kaajira ya policeccm wanavyohangaika hadi huruma net inazingua sana
 
Leo kuna shida kubwa sana ya mitandao yote ya simu.

Tangu saa nne.

Nimejikuta nayakumbuka madishi ya Elon Musk ya Starlink.
Shida iko kwa viinchi vilivyojaa rushwa! Ukiona ule utopolo wa waziri kilaza kuliko wote Nape Nnauye alivyojitetea kuhusu kutoruhusu star link utacheka ufie mochwari!! Kuna mipango ya kiharamia kutaka kuhujumu mawasiliano hadi uchaguzi trust me kama wewe siyo mshamba!
 
Hata niliko mimi bado internet inasumbua sana mpaka watu wanabubujikwa na machozi wanapoona muda unakwenda na wanashindwa kufanya chochote mtandaoni,wakati wengine vifurushi vyao vinakwisha muda wake bila kutumia. Mimi nafanya kazi ya kuwatia moyo na kuwapa matumaini tu kuwa wawe wavumilivu na wenye subira wakati serikali yao kupitia Tcra ikiendelea kufuatilia kwa ukaribu sana suala hili.

Nimewaambia kuwa suala hilo halijasababishwa na serikali yao na wala wasiitupie lawama serikali.nashukuru wamenielewa lakini wameomba mamlaka ziangalie namna ya kuwapatia watu MB za bure kama sehemu ya kuwafidia walau kidogo tu kwa wale waliopoteza mabando yao kwa kuisha muda bila kuyatumia. Nimewaambia serikali yao ni Sikivu na watafutwa machozi yao.
serikali haikwepi lawama,kwahiyo wamtupie lawama nani au Lisu sababu huchelewi kumtaja
 
Back
Top Bottom