Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha kukurupuka wewe, Internet siyo huduma ya kisisasa, au kama umeme wa Tanesco, wala sio huduma ya Taifa fulani. Internet ni huduma ya kidunia, inayotolewa na ma ISP wakubwa duniani kuiunganisha dunia yote kuwa moja kimawasiliano ya kimtandao kupitia miundomibinu yao inayounganisha mabara yote, bara moja na lingine kupitia baharini hivyo kunapotokea na hitlafu yoyote katika miundominu hiyo basi watumiaji hawawezi pata huduma za kimtandao duniani(Internet). Wewe unataka huyo Nape afanye nini, Unafikiri SEACOM na EASSY ni watanzania?Nchi ni siku ya tatu leo watu wapo na mkwamo wa internet waziri yupo tu karelax
Anafanya nini ofisini?Kwani asijiuzulu haraka huyu mtu?
Nape anafaa kuwajibishwa!! Kwanza yeye kwa maksudi ndo aliwapiga vita StarLink kwasababu tu na yeye ni mnufaika wa makampuni ya simu
Huyu jamaa amekua anapokea mishahara mitano hadi sasa
Mshahara wa kwanza ni kutokana na cheo chake serikali
Pia amekua akilipwa na Tigo kila mwezi
Analipwa na Vodacom kila mwezi
Analipwa na Halotel kila mwezi
Analipwa na Airtel kila mwezi
Analipwa ma Tigo kila mwezi
Kwa maksudi na turufu yake aliondoa watu watatu pale tcra kwa kukataa kufata matakwa yake na kuhakikisha wanaingia watu wa team yake ili ulaji wake uendelee kuwepo
Huyu waziri hatufai!! Nape ajiuzulu
Hizi kampuni ana share zake au rushwa?.Pia amekua akilipwa na Tigo kila mwezi
Analipwa na Vodacom kila mwezi
Analipwa na Halotel kila mwezi
Analipwa na Airtel kila mwezi
Analipwa ma Tigo kila mwezi
NakaziaAongezee na tofauti ya kampuni ya Tigo na hao Ma tigo.
Nape anatakiwa aingize ushindani kwenye soko la Internet ,pamoja na kutumia njia ya bahari,sasa ni muda wa kuleta pia njia ya angaa!!Wacha kukurupuka wewe, Internet siyo huduma ya kisisasa, au kama umeme wa Tanesco, wala sio huduma ya Taifa fulani. Internet ni huduma ya kidunia, inayotolewa na ma ISP wakubwa duniani kuiunganisha dunia yote kuwa moja kimawasiliano ya kimtandao kupitia miundomibinu yao inayounganisha mabara yote, bara moja na lingine kupitia baharini hivyo kunapotokea na hitlafu yoyote katika miundominu hiyo basi watumiaji hawawezi pata huduma za kimtandao duniani(Internet). Wewe unataka huyo Nape afanye nini, Unafikiri SEACOM na EASSY ni watanzania?
Mkuu acha uongo na rudi darasani ujifunze tena haya mambo.Wacha kukurupuka wewe, Internet siyo huduma ya kisisasa, au kama umeme wa Tanesco, wala sio huduma ya Taifa fulani. Internet ni huduma ya kidunia, inayotolewa na ma ISP wakubwa duniani kuiunganisha dunia yote kuwa moja kimawasiliano ya kimtandao kupitia miundomibinu yao inayounganisha mabara yote, bara moja na lingine kupitia baharini hivyo kunapotokea na hitlafu yoyote katika miundominu hiyo basi watumiaji hawawezi pata huduma za kimtandao duniani(Internet). Wewe unataka huyo Nape afanye nini, Unafikiri SEACOM na EASSY ni watanzania?
Ila wabongo kwa ujuaji na uongo, tunatisha sana. Dah mkuu nmecheka sana hizi facts zako na umezipa na namba kabisa dah 😂 kweli mshamba hachekwiMnalilia starlink lakini hamjui Ina gharama kuliko hawa watoa huduma wa hapa;
1. Ni ghali. Kule Kenya kununua vifaa ni Ksh 88k~Tsh 1.76m, na unalipia Ksh 6.5k~Tsh 130k kwa mwezi.
Japo kina muda walipunguza bei kwa 55% ila bado ghali, ndo maana mpaka sasa inatumika na wakenya karibia 3000 tu
2. Inasumbua kwenye mvua kama visimbuzi
3. Kuna muda kunakuwa na watumiaji wengi kwa wakati mmoja, ile high traffic inafanya mtandao kupungua kasi
4. Inabidi dish liwekwe sehemu ya wazi (sio karibu sana na miti au milima) lasivyo inasumbua
Tuwe na alternative unless kuwe na collusionLeo kuna shida kubwa sana ya mitandao yote ya simu tangu saa nne.
Nimejikuta nayakumbuka madishi ya Elon Musk ya Starlink.
NDUGU ZANGU TOA USHAURI USITUKANE
====
Pia soma:
Akina nape na akili za kiccm watakuambia internet ikiwa cheap vijana watatumia kuangalia porn hivyo basi ibakie ghaliMpaka leo sielewi kwanini statlink waliwekewa figisu, inastaajabisha sana nchi hii, kuna wataalamu kibao wa mambo haya ila wamekaa kimya bila kulisemea hili, mpaka unajiuliza tupo kwenye ulimwengu upi na karne ipi.
Vijana wengi wanazalishwa kutoka vyuoni, fursa ya cheap Internet ingewezesha vijana kujiajiri sana, inaumiza sana nchi haina huruma kwa vijana, ajira matatizo, hata hili la fursa kwa vijana kujiajiri bado serikali inaweka uzio. So pain.
Nchi imefuga watu wachache na wengi wakiumia, imefikia hatua mbunge anahoji bumu kwa wanafunzi akiwatuhumu kwa ulevi na uhuni, je pale bungeni hakuna walezi na wahuni na wanapokea posho kibao? Yani mbunge anawaza minority anasahau majority? Kweli huyu ana sifa za kuwasemea wananchi? Hebu angalia nchi zenye cheap Internet na utaona kila siku wanaibuka watu na mawazo mapya ya kuboresha maisha yao na ulimwengu kwa ujumla. So shame kwa viongozi wa namna hii.
Huelewi kitu wewe kaa kimya..Mkuu acha uongo na rudi darasani ujifunze tena haya mambo.
Weka bundleNIme restart simu yangu zaidi ya mara nne kumbe tatizo lipo kwa wote
Elekshen thievesWho this 😁🤣
Kwa kipindi hiki teknolojia ya Faiba hutumika kwaajili ya mawasiliano masafa marefu, ndio teknolojia iliyo bora zaidi. Faiba haiwezi pitishwa angani bara hadi bara, hupitishwa baharini.Nape anatakiwa aingize ushindani kwenye soko la Internet ,pamoja na kutumia njia ya bahari,sasa ni muda wa kuleta pia njia ya angaa!!
GPRS hiyo ya WAP kipindii kilee Cha 2G viswaswaduTumerudi 2008 kipindi natumia Moderm ya Voda ikiwa na mwanga wa njano tuu ndio speed yake hii ya internet
View attachment 2989621
Kweli ogopa combination ya confidence na ujinga. Pole sana chief, ushauri tu usipende kuongelea mambo ambayo huna uelewa nayo.Huelewi kitu wewe kaa kimya..