Kwa hii Simba ya hawa wachezaji, Yanga tusiposhinda Natembea Bila Nguo Kabisa. Babu amehakikisha

Alafu nyinyi Yanga matani mengine ya kibwege muache bana.

Dogo mmoja Mtopolo kaja maskani asubuhi na mapema kaambiwa nipo ndani, kufika ndani eti ananambia paka wao ana siku ya pili aonekani"
Mweusi!!!???
 
Uko mitaa gani mtoa mada? Nataka nikuone tu basi
 
Yanga niachie my wangu nasema niachie simba wangu..... Mwanasimba mmoja anaimba hii ngoma pembeni yangu.
 
Wanashangilia kombe la mbuzi huko barabarani kelele tupu sijui wamelogwa na nani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…