Kwa hiki alichoimba Hamisa Mobetto, nitashangaa kama BASATA watamuacha hivihivi

Kwa hiki alichoimba Hamisa Mobetto, nitashangaa kama BASATA watamuacha hivihivi

Mpaka nimeona aibu kusikiliza huu wimbo , hamisa hajui kuimba akazane na Urembo, Tatizo hamisa ana tabia ya kupenda vitu visivyompenda

Wimbo wake kidogo ninaoukubali ni ule wa SAWA pale alikua anakuja kuja, ila had sasa ni utopolo akazane tu kumsifia Diamond ndo kipaji chake
Atakwambia ametundikwa mimba tatu na simba zikachoropoka
 
Kitu ambacho kinachonishanganza mtoa mada anaomba ngoma ya Hamisa ifungiwe kwasababu ina matusi alafu yeye pia Ni mtukanaji mzuri Sana humu jamvini kwanini nawewe usiombe mod wawe wanakufungia ukitoa matusi
Mkuu nimemtukana nani?
 
Yaani mtu anasema anawashwa, halafu tena anamwambia bwana wake apake vumbi la Kongo.

Ina maana wasanii wetu upeo wao ni kwenye ngono tu, hawawezi kuimba kitu chengine. Mashairi kama ya kina Darasa, au kina Ferouz au kina Profesa Jay ndo yamepotea kabisa.

Na ww Hamisa tunajua ni mdangaji ila kwa wimbo huu ndo usahau tena suala la ndoa.
Kwani aliwahi kusema ana dream ya kupata ndoa?
 
Ukiskiliza wewe inatosha usitulazimishe
Mwanaume mzima niskilize eti "nawashwa nipakie vumbi la mkongo"

Kweli wanaume tumeisha
pancho boy Ila ile ya acha nizame ya Nandy na Harmonize dio unaisikiliza? au ya maua sama iokote "anakwambia nikikuona baby napandwa na haja"
 
Yaani mtu anasema anawashwa, halafu tena anamwambia bwana wake apake vumbi la Kongo.

Ina maana wasanii wetu upeo wao ni kwenye ngono tu, hawawezi kuimba kitu chengine. Mashairi kama ya kina Darasa, au kina Ferouz au kina Profesa Jay ndo yamepotea kabisa.

Na ww Hamisa tunajua ni mdangaji ila kwa wimbo huu ndo usahau tena suala la ndoa.
Vip GUSANISHA ya G nako na Maua Sama, ifungiwe?
 
Lini nilisema nimeskiliza?
Kwasasa sikuambii kitu bahati nzuri wewe unatabia ya kujitoa ufahamu au kusahau unachokiamini au ulichowahi kucomment hivyo nimeifadhi vizuri nitakukamata muda si mrefu so uwe careful kwenye kutoa hoja zako humu jamiiforum kuanzia sasa soon ukiteleza mafaili yako yatakuwa open
 
Kwasasa sikuambii kitu bahati nzuri wewe unatabia ya kujitoa ufahamu au kusahau unachokiamini au ulichowahi kucomment hivyo nimeifadhi vizuri nitakukamata muda si mrefu so uwe careful kwenye kutoa hoja zako humu jamiiforum kuanzia sasa soon ukiteleza mafaili yako yatakuwa open
Jibu ni kwamba huna ushahidi ..Mimi sio takataka kama wanawake wenzio hao wadangaji wanaojiita wanamuziki..

Mimi ni mwanaume mwenye msimamo usinilazimishe kusikiliza takataka nyenzio
 
Back
Top Bottom