Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
Huko kuwashwa sio fungus?Ukiskiliza wewe inatosha usitulazimishe
Mwanaume mzima niskilize eti "nawashwa nipakie vumbi la mkongo"
Kweli wanaume tumeisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko kuwashwa sio fungus?Ukiskiliza wewe inatosha usitulazimishe
Mwanaume mzima niskilize eti "nawashwa nipakie vumbi la mkongo"
Kweli wanaume tumeisha
Hebu tumuulize shoga yake huyu innocent dependent labda anajuaHuko kuwashwa sio fungus?
Sasa udangaji wa Mobeto sisi unatuhusu nini?Ww nawe utopolo. Haya mtadanga pamoja. Kuna mwanamke alokua hataki ndoa? Kama hataki manaake ni mdangaji.
Kamsaidie kudanga kama unaona anafaidi. Hopeless!!!Sasa udangaji wa Mobeto sisi unatuhusu nini?
Eti atakuwa haolewi, unajuaje anataka kuolewa?
Kama una hakika anataka ndoa nenda basi muombe akuoe!
Hamisa baada ya kukataliwa na Mama Diamond anatafuta kiki ya kutoka. Huyu si msanii ni mdangaji tu.Yaani mtu anasema anawashwa, halafu tena anamwambia bwana wake apake vumbi la Kongo.
Ina maana wasanii wetu upeo wao ni kwenye ngono tu, hawawezi kuimba kitu chengine. Mashairi kama ya kina Darasa, au kina Ferouz au kina Profesa Jay ndo yamepotea kabisa.
Na ww Hamisa tunajua ni mdangaji ila kwa wimbo huu ndo usahau tena suala la ndoa.
Anataka sana kuolewa ila na Diamond tu bahati mbaya Mama yake domo kamtolea makavu live kuwa ukoo wao umejaa na yeye kama Mama hataki mwanawe aoe au aishi na changu.Sasa udangaji wa Mobeto sisi unatuhusu nini?
Eti atakuwa haolewi, unajuaje anataka kuolewa?
Kama una hakika anataka ndoa nenda basi muombe akuoe!
Safi sana. Popote ulipo agiza soda baridi ntalipaAnataka sana kuolewa ila na Diamond tu bahati mbaya Mama yake domo kamtolea makavu live kuwa ukoo wao umejaa na yeye kama Mama hataki mwanawe aoe au aishi na changu.
yna2 mziki una maana kwake ndio maana anaufanya labda useme mziki umpendi japo yeye anaupenda kwamaana Hana kipaji Cha mziki hapa nitakuelewa.
Acha waimbe tu maana wanahamasishwa na yule bwana wa ccm anayewauliza wanawake wapanuliwe wapiYaani mtu anasema anawashwa, halafu tena anamwambia bwana wake apake vumbi la Kongo.
Ina maana wasanii wetu upeo wao ni kwenye ngono tu, hawawezi kuimba kitu chengine. Mashairi kama ya kina Darasa, au kina Ferouz au kina Profesa Jay ndo yamepotea kabisa.