Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Ukiskiliza wewe inatosha usitulazimisheKazi ya mwenzako unasemaje Ni takataka mbona ya kwako ijaitwa takataka hiv kwanini mzee baba una lugha chafu Sana?
Atakwambia ametundikwa mimba tatu na simba zikachoropokaMpaka nimeona aibu kusikiliza huu wimbo , hamisa hajui kuimba akazane na Urembo, Tatizo hamisa ana tabia ya kupenda vitu visivyompenda
Wimbo wake kidogo ninaoukubali ni ule wa SAWA pale alikua anakuja kuja, ila had sasa ni utopolo akazane tu kumsifia Diamond ndo kipaji chake
Mkuu nimemtukana nani?Kitu ambacho kinachonishanganza mtoa mada anaomba ngoma ya Hamisa ifungiwe kwasababu ina matusi alafu yeye pia Ni mtukanaji mzuri Sana humu jamvini kwanini nawewe usiombe mod wawe wanakufungia ukitoa matusi
Kwake hauna maana ..kanapiga tu kelele🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kwahiyo mziki sio Jambo la maana?
Kwani aliwahi kusema ana dream ya kupata ndoa?Yaani mtu anasema anawashwa, halafu tena anamwambia bwana wake apake vumbi la Kongo.
Ina maana wasanii wetu upeo wao ni kwenye ngono tu, hawawezi kuimba kitu chengine. Mashairi kama ya kina Darasa, au kina Ferouz au kina Profesa Jay ndo yamepotea kabisa.
Na ww Hamisa tunajua ni mdangaji ila kwa wimbo huu ndo usahau tena suala la ndoa.
Lazima fyuz kchwani itakuwa imelegea mkuuUnasikilizaje mtu ka hiyo!??
Ww nawe utopolo. Haya mtadanga pamoja. Kuna mwanamke alokua hataki ndoa? Kama hataki manaake ni mdangaji.Kwani aliwahi kusema ana dream ya kupata ndoa?
yna2 mziki una maana kwake ndio maana anaufanya labda useme mziki umpendi japo yeye anaupenda kwamaana Hana kipaji Cha mziki hapa nitakuelewa.Kwake hauna maana ..kanapiga tu kelele
pancho boy Ila ile ya acha nizame ya Nandy na Harmonize dio unaisikiliza? au ya maua sama iokote "anakwambia nikikuona baby napandwa na haja"Ukiskiliza wewe inatosha usitulazimishe
Mwanaume mzima niskilize eti "nawashwa nipakie vumbi la mkongo"
Kweli wanaume tumeisha
Kwani BASATA wamesema hauna maadili? Kama hauna maadili kwa nini umetuhabarisha?Wimbo hauna maadili kabisa, yaani utopolo mtupu. Siwezi kuweka hapa
Lini nilisema nimeskiliza?pancho boy Ila ile ya acha nizame ya Nandy na Harmonize dio unaisikiliza? au ya maua sama iokote "anakwambia nikikuona baby napandwa na haja"
Vip GUSANISHA ya G nako na Maua Sama, ifungiwe?Yaani mtu anasema anawashwa, halafu tena anamwambia bwana wake apake vumbi la Kongo.
Ina maana wasanii wetu upeo wao ni kwenye ngono tu, hawawezi kuimba kitu chengine. Mashairi kama ya kina Darasa, au kina Ferouz au kina Profesa Jay ndo yamepotea kabisa.
Na ww Hamisa tunajua ni mdangaji ila kwa wimbo huu ndo usahau tena suala la ndoa.
Kura ni siri ya mpiga kura, hakuna ulazimaa kila mtu ampigie LissuHuyo msanii kichwa chake kimejaa ccm tupu...kura kwa Lissu!
🤣🤣🤣🤣 Akikujibu nitagVip GUSANISHA ya G nako na Maua Sama, ifungiwe?
Kwasasa sikuambii kitu bahati nzuri wewe unatabia ya kujitoa ufahamu au kusahau unachokiamini au ulichowahi kucomment hivyo nimeifadhi vizuri nitakukamata muda si mrefu so uwe careful kwenye kutoa hoja zako humu jamiiforum kuanzia sasa soon ukiteleza mafaili yako yatakuwa openLini nilisema nimeskiliza?
Kangekuwa na Pesa sidhani kama kangeomba kukunwa.Haka katoto kangewekeza tu pesa zake Kwenye mambo ya maana.
Jibu ni kwamba huna ushahidi ..Mimi sio takataka kama wanawake wenzio hao wadangaji wanaojiita wanamuziki..Kwasasa sikuambii kitu bahati nzuri wewe unatabia ya kujitoa ufahamu au kusahau unachokiamini au ulichowahi kucomment hivyo nimeifadhi vizuri nitakukamata muda si mrefu so uwe careful kwenye kutoa hoja zako humu jamiiforum kuanzia sasa soon ukiteleza mafaili yako yatakuwa open