Kwa hiki kilichotokea; Watumishi wa umma bora wafe tu

Kwa hiki kilichotokea; Watumishi wa umma bora wafe tu

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema watumishi wa umma wasipoweza kuondoa viongozi dhalimu bora wafe tu.

Nakubaliana na Mwalimu Nyerere ila najiuliza kama watumishi wa umma ni waoga na wameshindwa kuondoa viongozi dhalimu na kumwachia Rais kazi hiyo peke yake! Kweli tupo tayari kuwanenea kifo?

Tukumbuke watumishi wa umma ni wadogo zetu, wakubwa zetu, wazazi wetu na ndugu zetu. Tunakubali wameongeza unafiki na wanastahili kufa ila kama Taifa tupo tayari kuhimili majonzi yatakayotokea?

Wakifa sisi ambao siyo watumishi wa umma tutaweza kuwaondoa viongozi dhalimu? Kama tunaamini tunaweza kwanini tusianze sasa ambapo ndugu zetu watumishi wa umma wapo hai ili wajifunze?
 
Haa Yaani Wafe Mkuu
Siyo Jambo Rahisi Watanzania Ni Wengi
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema watumishi wa umma wasipoweza kuondoa viongozi dhalimu bora wafe tu.

Nakubaliana na Mwalimu Nyerere ila najiuliza kama watumishi wa umma ni waoga na wameshindwa kuondoa viongozi dhalimu na kumwachia Rais kazi hiyo peke yake! Kweli tupo tayari kuwanenea kifo?

Tukumbuke watumishi wa umma ni wadogo zetu, wakubwa zetu, wazazi wetu na ndugu zetu. Tunakubali wameongeza unafiki na wanastahili kufa ila kama Taifa tupo tayari kuhimili majonzi yatakayotokea?

Wakifa sisi ambao siyo watumishi wa umma tutaweza kuwaondoa viongozi dhalimu? Kama tunaamini tunaweza kwanini tusianze sasa ambapo ndugu zetu watumishi wa umma wapo hai ili wajifunze?
Yaani unamuondoa Rais miongoni mwa viongozi dhalimu na unataka sisi tuwaondoe kwamba huyo Kiongozi mkuu dhalimu akiwa amekaa wapi? Are serious???
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema watumishi wa umma wasipoweza kuondoa viongozi dhalimu bora wafe tu.

Nakubaliana na Mwalimu Nyerere ila najiuliza kama watumishi wa umma ni waoga na wameshindwa kuondoa viongozi dhalimu na kumwachia Rais kazi hiyo peke yake! Kweli tupo tayari kuwanenea kifo?

Tukumbuke watumishi wa umma ni wadogo zetu, wakubwa zetu, wazazi wetu na ndugu zetu. Tunakubali wameongeza unafiki na wanastahili kufa ila kama Taifa tupo tayari kuhimili majonzi yatakayotokea?

Wakifa sisi ambao siyo watumishi wa umma tutaweza kuwaondoa viongozi dhalimu? Kama tunaamini tunaweza kwanini tusianze sasa ambapo ndugu zetu watumishi wa umma wapo hai ili wajifunze?
Watanzania bwana. Elimu ni tatizo sana. Rais ni mkuu wa nchi na kwa katiba ya nchi yetu, ana nguvu kubwa. Ndiye anayetakiwa kuhakikisha watumishi wa umma siyo dhalimu na kama kuna madhalimu awaondoe(kulingana na mada yako). Kuhusu ''kufa'' huo ni msemo, na inaweza isiwe inamaanisha kifo ulichokiwaza wewe. Hivi inaingilia akilini mwako kuwa watumishi wa umma wote wanaweza kufa wote kwa sababu wameshindwa kuondoa udhalimu? Siku hizi hawafundishi fasihi shuleni?
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema watumishi wa umma wasipoweza kuondoa viongozi dhalimu bora wafe tu.

Nakubaliana na Mwalimu Nyerere ila najiuliza kama watumishi wa umma ni waoga na wameshindwa kuondoa viongozi dhalimu na kumwachia Rais kazi hiyo peke yake! Kweli tupo tayari kuwanenea kifo?

Tukumbuke watumishi wa umma ni wadogo zetu, wakubwa zetu, wazazi wetu na ndugu zetu. Tunakubali wameongeza unafiki na wanastahili kufa ila kama Taifa tupo tayari kuhimili majonzi yatakayotokea?

Wakifa sisi ambao siyo watumishi wa umma tutaweza kuwaondoa viongozi dhalimu? Kama tunaamini tunaweza kwanini tusianze sasa ambapo ndugu zetu watumishi wa umma wapo hai ili wajifunze?
Ungetulia na kueleza kumetokea nini na sidhani kama watumishi wa umma wana mamlaka hayo na sijui kwenye ngazi ipi? Fafanua ulichoandika ili watu wachangie mada kwa ufasaha.
 
Sijakuelewa mfano mimi ni mtumishi muhasibu wa ttcl mkoa wa songea enhe naanzaje kumuondoa kiongozi dhalimu au unamaanisha nini fafanua yaani nife tu ndo unachotaka
Nenda YouTube msikilize Mwalimu Nyerere utaelewa

Unaogopa kufa kwani wewe ni dhalimu?
 
Ungetulia na kueleza kumetokea nini na sidhani kama watumishi wa umma wana mamlaka hayo na sijui kwenye ngazi ipi? Fafanua ulichoandika ili watu wachangie mada kwa ufasaha.
Msome Mwalimu Nyerere acha kupuyanga! Hata post ujasoma inalenga nini
 
Watanzania bwana. Elimu ni tatizo sana. Rais ni mkuu wa nchi na kwa katiba ya nchi yetu, ana nguvu kubwa. Ndiye anayetakiwa kuhakikisha watumishi wa umma siyo dhalimu na kama kuna madhalimu awaondoe(kulingana na mada yako). Kuhusu ''kufa'' huo ni msemo, na inaweza isiwe inamaanisha kifo ulichokiwaza wewe. Hivi inaingilia akilini mwako kuwa watumishi wa umma wote wanaweza kufa wote kwa sababu wameshindwa kuondoa udhalimu? Siku hizi hawafundishi fasihi shuleni?
Siyo mimi ni Mwalimu Nyerere
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema watumishi wa umma wasipoweza kuondoa viongozi dhalimu bora wafe tu.

Nakubaliana na Mwalimu Nyerere ila najiuliza kama watumishi wa umma ni waoga na wameshindwa kuondoa viongozi dhalimu na kumwachia Rais kazi hiyo peke yake! Kweli tupo tayari kuwanenea kifo?

Tukumbuke watumishi wa umma ni wadogo zetu, wakubwa zetu, wazazi wetu na ndugu zetu. Tunakubali wameongeza unafiki na wanastahili kufa ila kama Taifa tupo tayari kuhimili majonzi yatakayotokea?

Wakifa sisi ambao siyo watumishi wa umma tutaweza kuwaondoa viongozi dhalimu? Kama tunaamini tunaweza kwanini tusianze sasa ambapo ndugu zetu watumishi wa umma wapo hai ili wajifunze?
imani potofu dhidi ya watumishi wa umma, ni dhana yenye sura ya kitumwa na ni mzigo mzito sana, unaochochewa na wivu, uvivu, tamaa na pengine hasira za kukosa ajira baada ya kutokidhi vigezo vya kutoajiriwa 🐒

watumishi wa umma Tanzania wanatekeleza wajibu na majukumu yao muhimu sana kwa bidii na weledi makubwa, kwa kuzingatia sheria, kanuni, na taratibu zilizo wekwa kwa mujibu wa katiba 🐒

Habari ya kufa na kuishi zawadi, Neema na Baraka za Mungu 🌹

not somebody wish 🐒
 
Nenda YouTube msikilize Mwalimu Nyerere utaelewa

Unaogopa kufa kwani wewe ni dhalimu?
Unaonaje ukaanza kufa kwanza wewe kabla ya hao watumishi wa umma?

Kwani hiyo Mwalimu Nyerere ni mungu mpaka kila anachosema kitekelezwe?

Kwa nini wewe kama wewe usiunde kikundi cha waasi ili kuuondoa huo udhalimu, mpaka uamue kujificha kwenye kichaka cha watumishi wa umma?
 
Back
Top Bottom