Kwa hiki wanachokifanya DP WORLD bandarini, maadui zetu wakubwa ni viongozi wetu walioruhusu upuuzi kudumu muda mrefu

Nilishangaa sana kuona watanzania wanaagiza mizigo kupitia bandari ya Mombasa.Kiufupi Huo uwekezaji wa dp world ni wa kinyonyaji.
Miaka yote kabla ya dp world kuna wabongo wanaagiza mizigo through bandari ya mombasa
 

Kwni hayo mamtatizo Pale Bandarini yameanza leo na Jana?
 
Miaka yote kabla ya dp world kuna wabongo wanaagiza mizigo through bandari ya mombasa
Hii inaashiria kuwa bandari yetu siyo rafiki Kwa wafanyabiashara.Yaani anakodi lukuki
 
Uko sahihi. Yaani kwa huu uzembe na ufisadi fisadi wanapiga hela sana na umma kupitia serikali tunapata kiachi kidogo sana na hali halisi inayowezekana. Kwa kuwapa DPW fisadi bila shaka wamehongwa dola nyingi sana na pengine kwa kificho wako ubia na DPW. Mapato ya serikali yataongezeka ila kwa kiasi chini kabisa ya lengo kama tungekua na uadilifu wa watendaji. Isitoshe kama ulivyosema tunaonekana wajinga tu na njama za wajanja kuhujumu nchi yetu zinapata nguvu.
 
Kwani ilikuwa lazima kutoa bandari kwa mkataba wa milele ili kutatua matatizo yaliyokuwapo?

This is a logical fallacy, non sequitur.
 
Imeisha hiyo!
 

Attachments

  • 20240622_095239.jpg
    54.5 KB · Views: 5
Kusema kweli ni aibu sana sana kwa Nchi kushindwa kuendesha berths 10!
Wamekuja wageni (DP) kwa vifaa almost vilevile walivyokuwa navyo TPA tayari kazi zinakwenda barabara!
Shame!
 
Tumepaa kiuchumi..??

Au tupo pale pale?

Je presence yao inajustify umiliki wao wa bandari zetu?
 
Ni mjinga tu anayeweza kuamini kuwa watu wa nje ndio watakaoutuletea maendeleo tukiwa tumekaa na kupiga strahere tu.
 
Bwana Maulid wa Kitenge angefaa kujibu swali vyema kabisa.

By the way ulimuona siku ya Yanga day na "mishangingi" yake miwili akiwatambishia?
 
Sasa cha ajabu sana katika hayo uliyo eleza ni kipi hasa?

Ukisema uozo wa CCM na serikali yake, hapo nitakubaliana nawe moja kwa moja. Lakini umeishia kupapasa papasa tu juu juu kana kwamba unasubiri pesa ya Abdul ikufikie kwanza.
 
Ndoto za Bandari achana nazo! Fikiria mengine,Bandari ilishaenda!
Pale kila mfanyakazi alishapigiwa hesabu za mkono wa kwa heri na nauli ya kusafirisha mizigo mpaka kwao.
Asiyetaka kazi anachukua chake anaondoka zake.
 
Pendekezo lako hili ningeanzia pale juu kabisa kwa 'Chura Kiziw', awepo mChina hapo kuhakikisha huyo 'Chura Kiziwi' na wenzake wote wanafanya kazi za waTanzania kikamilifu.
 
Sasa cha ajabu sana katika hayo uliyo eleza ni kipi hasa?

Ukisema uozo wa CCM na serikali yake, hapo nitakubaliana nawe moja kwa moja. Lakini umeishia kupapasa papasa tu juu juu kana kwamba unasubiri pesa ya Abdul ikufikie kwanza.
CCM Chanzo Cha Matatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…