Kwa hili alilofanya Maulid Kitenge naiomba TFF ichukue hatua kali haraka kwa Maulid Kitenge na EFM

Kwa hili alilofanya Maulid Kitenge naiomba TFF ichukue hatua kali haraka kwa Maulid Kitenge na EFM

Huyu jamaa nadhani TCRA, TFF na EFM wameishamlea kwa kiasi cha kutosha. Kinachotakiwa sasa ni wanaSimba kujichukulia sheria mkononi tumtie adabu hadi akili zimrudie huyu umbwa!
Adhabu ya Kinukudi aipatayo huko Finland, USA na UAE ( Dubai ) inatosha Mkuu.
 
Una Kicheko cha waliwa 'Nukudi' vipi nawe 'Unanukudiwa' labda?
Dogo acha dharau, kuwa na heshima sio kila mtu unamtukana.

Sija kujibu wala kukukoti popote pale inakuwaje unakoti kwangu.

Acha izo aisee
 
Dogo acha dharau, kuwa na heshima sio kila mtu unamtukana.

Sija kujibu wala kukukoti popote pale inakuwaje unakoti kwangu.

Acha izo aisee
Hebu nitokee hapa Mpuuzi na Mnafiki Mmoja Wewe sawa?
 
Kumbe sikukukosea Kukudharau awali.
Jiangalie mwezi wa 3 2023 unatimiza miaka 50 ,harafu bado unatuletea story za lubino huyo zann unamkuza bilasababu lete story za chama letu Simba ,je kocha wetu MGUNDA atatuvusha au ndobasi tena
 
TFF na Karia wenu hatamfanya nini Maulidi wa Kitenge.Manara bado ana mkataba na Yanga.hajafukuzwa.wanayanga hawataruhusu afukuzwe.
 
Jiangalie mwezi wa 3 2023 unatimiza miaka 50 ,harafu bado unatuletea story za lubino huyo zann unamkuza bilasababu lete story za chama letu Simba ,je kocha wetu MGUNDA atatuvusha au ndobasi tena
Rubbish.
 

Nauomba Uongozi wa Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF) haraka sana umchukulie hatua kali za kinidhamu mtangazaji wa hovyo wa michezo nchini Maulid Kitenge kwa kitendo chake cha kumpa 'Airtime' Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara tena akimtaja kabisa kuwa Msemaji wa Yanga SC aliye kifungoni.

Niliwahi kusema hapa hapa kuwa mtangazaji huyu wa hovyo na mwenye Uyanga uliopitiliza na anayetumika vibaya na matajiri wa Yanga SC, wadhamini wao GSM ipo siku atakuja kujikuta pabaya au hata pia kuigharimu kampuni yake yenye chombo hicho husika cha EFM.

Kwa kitendo 'very unprofessional' alichokifanya Mtangazaji Maulid Kitenge wa EFM cha kuweka hewani 'clip' ya Haji Manara (ambaye anajua yuko kifungoni sasa) na amekiri mwenyewe kwa kusema (Msemaji wa Yanga SC aliyekifungoni) ni kuidharau na kuikejeli TFF na pia ni kutaka kuiweka Media ya EFM anayoifanyia kazi kwa sasa.

Nauomba Uongozi wa TFF haraka sana umchukulie hatua kali Mtangazaji wa EFM Maulid Kitenge kwa hiki alichokifanya na sina shaka kuwa amekifanya makusudi kutokana na kutumika kwake vibaya na matajiri wa Yanga SC akina GSM, Uyanga wake na uswahiba wake mkubwa na mnafiki mwenzake (mwenzie) Haji Manara.

Alichokifanya Mtangazaji Maulid Kitenge ni kiburi, dharau na jeuri kwa mamlaka ya soka nchini Tanzania, hivyo achukuliwe hatua haraka ili iwe fundisho kwa watangazaji wengine wapuuzi na 'very Unprofessional' kama yeye na tasnia iheshimike.
Naunga mkono
 
Huyu jamaa nadhani TCRA, TFF na EFM wameishamlea kwa kiasi cha kutosha. Kinachotakiwa sasa ni wanaSimba kujichukulia sheria mkononi tumtie adabu hadi akili zimrudie huyu umbwa!
.
FB_IMG_1629179437509.jpg
 
Naunga mkono
Ningeshangaa Mtu Smart kama Wewe kutonielewa au kunipinga katika hili kama walivyofanya Majuha ( Fools ) waliochangia Kimhemko wa Ushabiki wa Yanga SC na siyo kuangalia kwa mapana Uhalisia wa Jambo.
 
Back
Top Bottom