Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,104
yaani hadi nacheka maana sie mashabiki wa kweli tunajua burudani hao wengi ni vikorosho,
wa unfollow wana uwezo wa kuacha kupata hbari zake? tangu jana alipotangaza ndio kwanza instagram watu wameongezeka kwa maelfu nadhani kama elfu 6 hapo sasa....
watanyooka tu
Ahahahaha yaani ndio nimeamini kweli 70% ya Watanzania hawana AKILI kabisaa!!Yaani eti lijitu linapanick kabisa kisa Diamond kumshabikia Magufuri khaaaa!
Yaani utampigia kura Magufuri eti kisa Diamond amemposti?!kweli mitaahira ni mingi kuliko nilivyodhania!!!yaani mijitu inaakili za kushikiwa tena sio kidogooo!
Bora sasa tumejua Kipi Purity na Kipi ni Impurity ahahahahaha!Plastic Fans wacha waende mumy mzurimie sisi mashabiki wa muziki na sio siasa tutabaki kama kawaaaa
Last edited by a moderator: