Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

Wewe tu Dina na roho yako na maisha yako,safari njema huko uendako na sie Blood and Iron Fans bado tupo na tutalisongesha kama kawaidaa!!mumewangu nyumbani tumetofautiana vyama lakini hatuwezi kuvunja ndoa kisa Lowasa na Magufuri labda tuwe vichaaa!!
Acha uzembe na fanya kazi kwa bidii maisha yatakunyookea ewe kijana wa kitanzania,Lowasa hatokupa pesa mkononi wala kukupangia nyanya sokoni na wala hatokuwekea material kichwani!

Diamond ana maamuzi na sababu zake!na wala hajalazimisha mtu afate anachotaka yeye!Kila mtu yuko huru kupenda anachokiamini yeye

Kuacha kwako kumshabikia Diamond hakutoleta madhara yeyote yale kwa Team Diamond na Diamond mwenyewe ndio kwanzaa Nanga Inapaa!

Bye byeeee Dinaaaa!

hujanielewaaa ipo siku utanielewa na stegemei ccm inipe hela yaan kwa kifupi hujanielewa,kwa heri pia
 
Tatizo watanzania wengi akili tumewakabidhi wanasiasa.

Ni upumbavu kumchagulia mtu chama cha kushabikia, tena vyama vya Tanzania visivyo na tofauti kipi upinzani kipi chama Tawala.

Yaani utadhani neno la Diamond ni sheria?wacha wasepe zao kimpango wao,wanakumbuka shuka wakati tayari kumekuchaa ahahahaha
 
Ni hivi swala sio MONDI KUFUATA WAKIPENDACHO MASHABIKI ILA ILITAKIWA ABAKI NALO MOYONI HILO ANALOLIPENDA HADI OCTOBER-25TH AKAWAPE KURA YAKE NA SIO ALIVYOFANYA MAANA KWA TAFSIRI RAHISI ALICHOFANYA NI KUSHAWISHI WATU HASA FOLLOWERS WAKE JUU YA KUMCHAGUA MAGUFULI...ALAFU KWANINI IWE MARA BAADA YA HAFLA YA M.CITY NDO AFANYE HAYO KAMA SIO KUNUNULIWA KWA MLUNGULA AU AHADI FEKI ILI WAWASHAWISHI WATZ???..MAANA WASANII WANA USHAWISHI MKUBWA KWA JAMII INAYOWAZUNGUKA.

nashukuru kwa kunielewa asante sana
 
Yan simpigii tena kura huko kwenye Awards!!!!!!!!! Bora angekua netral kuliko kujionyesha waz waz wakat anajua mashabik wake wako vyama tofaut tofaut

Na HILI NDILO NILOKUWA NASISITIZA MIE KUWA "TATIZO SIYO YEYE KUWA CCM BALI KUJIEXPOSE WAKATI KWA KAZI YAKE YA MUZIKI ANAPATA SUPPORT KUTOKA KWA MASHABIKI WENYE ITIKADI TOFAUTI ZA KISIASA"...HIVYO ALITAKIWA KUBAKI NALO MOYONI HADI OCTOBER-25TH AKAWAPE KURA YAKE THEN MCHEZO UISHE MAANA KWA ALICHOFANYA AMEWAGAWA FANS.
 
Na HILI NDILO NILOKUWA NASISITIZA MIE KUWA "TATIZO SIYO YEYE KUWA CCM BALI KUJIEXPOSE WAKATI KWA KAZI YAKE YA MUZIKI ANAPATA SUPPORT KUTOKA KWA MASHABIKI WENYE ITIKADI TOFAUTI ZA KISIASA"...HIVYO ALITAKIWA KUBAKI NALO MOYONI HADI OCTOBER-25TH AKAWAPE KURA YAKE THEN MCHEZO UISHE MAANA KWA ALICHOFANYA AMEWAGAWA FANS.

Ni kwel mkuu swala la yeye kuwa ccm sio tatzo ni hak yake ki msingi lakin kutokana na kaz yake hajafanya vizur kuonyesha upande aliopo hapo kabugi mi cjui ka jamaa ana washaur wake kwa kwel!
 
huwa inafikia extent,mtu unapata mtazamo juu ya baadhi ya hawa waitwao celebritz wa bongo,wengne washakuwa kama jingaz hadi kufikia hatua ya kupost sura za wagombea kutoka upande was manjaro bila kujua ni kwajinsi wanaupotosha uma unaohitaji mabadiliko...?!

ni kweli mkuu wanaupotosha uma kwa maslahi yao binafsi na ahadi feki,bila kujali kuwa wananguvu kubwa sana ya ushawishi katika jamii inayowazunguka kupitia kazi zao za muziki...hivyo kwa kitendo cha kumpost magufuli vile amewabadilisha baadhi ya watu mawazo yao!
 
Wasanii wetu kadri wanavyopata nafasi ya kutoboa ndivyo wanavyozidi kujisahau na kuamini walipanda wenyewe kule juu ivi manejementi zao zina kazi gani ivi Chibu hana PRO kwenye timu yake ili awe ana manage page zake kwenye social networks analeta uswahili wa ajabu wakati anajua ana mashabiki wenye mitazamo tofauti anaweza kuchukulia poa ametibu njaa ya wiki moja kwa mpunga wa ccm akaja kulala njaa mwaka mzima naamini angevunga akatumia haki kwenye sanduku la kura isingemgharimu kitu alafu the way anawasilisha habari ni kishogaaaaaa kama muimba taarabu ngoja achezee makopo siku ikifika duh yeye na yule gulubembe lake akili zao sawa kabisa nimeamini wasanii wa Bongo ni cheap kuliko cheap yenyewe na jamaa wanawajulia haswaa kuwarubuni.
 
Kuanzia Leo Mimi sio shabiki wa Daimond najivua gamba navaa gwanda..

Diamond sio mama yangu wala Baba yangu, amepata pesa kawa na kiburi kasahau alipotoka anajifanya hajui CCM ilivyotunyoosha na inavyoendelea kutunyoosha ye anaishabikia na kuweka sababu za kipuuzi.. Zari kajifungulia hospital nzuri aje aangalie huku hospital za kawaida watu wanavyohangaika, hakuna huduma,hakuna madawa, vifaa hakuna, hakuna ajira, maskini tunakandamizwa kwa kulipa kodi, vijana wanasoma lakin ajira hazipo.

Kuitwa Ikulu, Kula Dina sijui wamepewa na nini wamevimbiwa, wanahamasisha tuchague CCM kasahau alivyokua anauza mitumba, CCM ingekua nzuri angesomeshwa bure, elimu ya sekondari ingekua bure nae angeipata.

Yote hiyo ni tunalaumu CCM kwani ndio iliyoshikilia madaraka, na wengine mkome kusema Lowassa ana uchu wa madaraka anaizidi CCM? Mbona nayo haitaki kutoka?

Tunataka mabadiliko kama Baba yako ni Kinana shabikia CCM, kama mama yako ni Tibaijuka shabikia CCM.

CCM tumewachoka!

Cc heaven on desert, TeamLowassa

Shukrani sana la Aziz, mi luv mingi mingi sana kwako
 
huyo domo atajutia uamuzi wake time hii.......mimi pia nimejivua ushabiki....siwezi kushabikia mtu anayesaliti mamilioni ya watanzania maskini kisa yeye kapewa chai ya maziwa
 
Mkuu unachosema ni kweli na hamna mtu aliyepinga na kumnyang'anya haki yake kikatiba isipokuwa alitakiwa abaki nayo moyoni mwake mwenyewe kama ilivyo kwa wengine..ukizingatia na nature ya kazi yake ni MUZIKI na sio siasa...mfano:mondi angebaki na CCM moyoni mwake hadi OCTOBER akawape kura yake...yote haya yangetoka wapi? na pia mfano:nikikuuliza MSANII JUX yupo chama gani utanambiaje?..na kama yupo kimya katika hilo ni kwamba AMENYIMWA na AMENYANG'ANYWA haki yake kikatiba au???

Kwan ni vibaya kujionyesha kwa watoto kama yeye ni Ukawa au Ccm? Kwan kitaathili nini mtoto kuchagua kile akitakacho? Mbona munaleta bla bla bla za kitoto?

Prof J mbona mpaka anagombea ubunge lwa tiketi ya chadema hamsemi? Yeye mashabiki wake ni ukawa tu katika kazi zake za mziki?

Watanzania nani kawaloga? Mbona munakuwa wanafiki kiasi hiki? J

Roma, Prof J, Sugu, Rose Muhando wote hawa sijawahi ona munaanzishia uzi eti kisa wako ukawa kuwa kazi zao hazita huzika kisa wanaunga mkono UKAWA na Prof J ajaanza leo na ikiwa serikali ya CCM hii ila kaathirika wap? Nani kamnanga?

Ndorobooooooo nyie……!!!!!!
 
mambo mengine kuyaelewA hajaitaji nguvu sana ni swala la kujiongeza,sema hawa celebs wetu pumbaz..?!

Ni kweli mkuu yani wanaegemea kwenye maslahi yao binafsi na sio maslahi mapana ya taifa kwa ujumla!
 
Ahahahaha yaani ndio nimeamini kweli 70% ya Watanzania hawana AKILI kabisaa!!Yaani eti lijitu linapanick kabisa kisa Diamond kumshabikia Magufuri khaaaa!

Yaani utampigia kura Magufuri eti kisa Diamond amemposti?!kweli mitaahira ni mingi kuliko nilivyodhania!!!yaani mijitu inaakili za kushikiwa tena sio kidogooo!

Bora sasa tumejua Kipi Purity na Kipi ni Impurity ahahahahaha!Plastic Fans wacha waende mumy mzurimie sisi mashabiki wa muziki na sio siasa tutabaki kama kawaaaa


Umenivunja mbavu wamekusomaaaaaaaa

ndio sasa watabidi wajue haswaaaaaa muziki ni kazi kama wafanyazo wao na kufanya maamuzi yao ya Diamond hawana aibu kujifanya wanaponda kumbe wanamkubaliiiiiiiiiiii hadi...... umenena yote hapo juuu

mbavu zangu

kweli sie na muziki haswaaaaaaaaaaaaaaaaaa


Diamond oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Umenivunja mbavu wamekusomaaaaaaaa

ndio sasa watabidi wajue haswaaaaaa muziki ni kazi kama wafanyazo wao na kufanya maamuzi yao ya Diamond hawana aibu kujifanya wanaponda kumbe wanamkubaliiiiiiiiiiii hadi...... umenena yote hapo juuu

mbavu zangu

kweli sie na muziki haswaaaaaaaaaaaaaaaaaa


Diamond oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Yaani wameniongezea hasira za kuvote kwa Chibu wangu!!na vote kama sina akili nzuri yaani,kila nikipata kiupenyo mi navote tuuu kwenye tuzo zote za DIAMOND

Walionuna waendelee kununa kama Dkt W.Slaa wakiwa tayari kujumuika na sisi watatukuta mbele ya safari.Kivyao yaani muda wa kubembeleza hakuna,ni kuvote tu
 
huyo domo atajutia uamuzi wake time hii.......mimi pia nimejivua ushabiki....siwezi kushabikia mtu anayesaliti mamilioni ya watanzania maskini kisa yeye kapewa chai ya maziwa

ahahaha!mie na moyo wangu wa chuma wala sijatingishika hata ukucha!nina kadi yangu ya kupigia kura na nina maamuzi yangu tayari kichwani na ninajua nani nimpe kura yangu nani nimnyime!siwezi kushawishiwa na Diamond kwa sababu najiamini na mgombea wangu!!

Kumchukia diamond sijawahi na bado hajanikeraaaa ndio kwanzaaa kunakuchaaaa
 

Attachments

  • 1440104380517.jpg
    1440104380517.jpg
    44.2 KB · Views: 132
Watanzania wanapaswa kufahamu kwamba kila jambo ambalo mtu anafanya hulifanya kwa maslahi yake na mara nyingi ubinafsi huwekwa mbele, ila ndugu mleta mada ningekushauri fanya haya nimeyatoa hukooo jukwaa la biashara....
LISTI YA FURSA ZA BIASHARA NA MIRADI -
Karibuni
1. Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha.
2. Kununua Mashine za kukata vyuma na kuzikodisha.
3. Kutengeneza na kuuza tofali
4. Ufundi, Website updating/Database: Katika
Halmashauri, Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya na
Makampuni mbalimbali.
5. ** Kuanzisha kituo cha redio na televisheni
6. Kufunga na kutengeneza vifaa mbalimbali vya
electroniki na mawasiliano mfano; compyuta na
vifaa vya compyuta na mawasiliano.
7. ** Kuuza software; mfano Antivirus, Operating
Systems, Pastel, Tally, Myob, n.k
8. Kushona na kuuza nguo.
9. Kufungua Duka la kuuza nguo mpya; suit, socks,
batiki, nguo za asili, Mashuka, Mashati, Suruali,
10. Ufugaji wa mifugo mbalimbali mfano Kondoo, Mbuzi,
Ng’ombe, Kuku, Bata, na wengine.
11. Kufungua stationery, kuuza (supply) vitabu na vifaa
mbalimbali ktk mashule na vyuo.
12. ** Kutoa ushauri mbalimbali wa Kitaalamu.
13. Kuuza viazi, mahindi, mihogo, kutengeneza popcorn
na kuziuza.
14. Kusajili namba za simu na kuuza vocha
15. Kuwa na mradi wa Pikipiki zisizotumia mafuta na
zinazotumia mafuta
16. ** Kilimo cha mazao mbalimbali kulingana na hali
ya hewa ya sehemu husika.
17. Kuuza Mitumba
18. ** Kusimamia miradi mbalimbali
19. Kufungua duka la kuuza mitambo mbalimbali
20. Kufungua banda la chakula na chips
21. Kukodisha turubai viti na meza
22. Kufungua Supermarket
23. Kufungua Saluni
24. Kufungua Bucha
25. Video Shooting & Editing.
26. ** Kufungua Internet cafe
27. Duka la kuuza matunda
28. Kufungua duka la kuuza vifaa vya simu za mkononi
na landline.
29. Kufungua duka la vifaa vya ujenzi; cement, vifaa
vya umeme, duka la mabati
30. Kutengeneza michoro mbalimbali ya majumba na
miradi ya ICT
31. Kuchapa vitabu, bronchures, n.k
32. Kuanzisha kampuni ya ujenzi (Building contractor)
33. Kuuza Vifaa vya umeme wa nishati ya jua
(solar) ,battery, inverter na vifaa vingine vya solar n.k
34. ** Kuuza maji kwa jumla na rejaleja.
35. Kutengeneza na kuuza Unga wa lishe bora.
36. Kukodisha Music
37. Kuanzisha Mradi wa Taxi
38. ** Kuanzisha mradi wa Daladala
39. Kuuza vifaa vya Kompyuta, laptops, converters,
HDDs, Monitors, Softwares, CD Copiers na vifaa
vingine.
40. ** Kununua magenerator na kukodisha
41. Kufungua kampuni ya kutoa huduma za simu
42. ** Kufungua kampuni ya kutoa huduma za internet
(ISP)
43. Kuuza mabati na vigae
44. Kujenga apartments
45. ** Kufungua Kisima cha mafuta ya taa au mafuta
ya aina zote
46. Kufungua Duka la samaki
47. Kufungua Duka la nafaka
48. ** · Kufungua Shule za Awali, Shule za Msingi,
Sekondari na Vyuo.
49. Kujenga hostel
50. Kuuza vocha na ving’amuzi vya DStv, Zuku,
Startimes, Easy TV, TNG, Digitech, Continental.
51. ** · Kujenga mtambo wa kuzalisha umeme na kuuza
katika viwanda na wananchi.
52. Ufundi simu
53. Kufungua Hospitali, Zahanati.
54. Maabara ya Macho, Meno
55. ** Kuchimba/Kuuza Madini
56. ** Kufungua ofisi ya kutoa huduma ya simu na fax
57. Kuuza miti na mbao
58. Kufungua Grocery, bar
59. Kufungua studio ya kupiga na kusafisha picha
60. ** Kucharge simu/battery
61. Duka la TV na vifaa vingine
62. Kuanzisha biashara ya kuuza vyakula katika sherehe
na tamasha mbalimbali (catering).
63. ** Banda la kupigisha simu
64. Kuuza na kushona Uniform za shule
65. Kuanzisha duka la kuuza vitu kwa jumla.
66. Kufungua gereji za kutengeneza bajaji, pikipiki na
magari
67. Kuuza vyuma, pembejeo, rake, jembe
68. Kuuza fanicha
69. Kufungua sehemu ya kuziba pancha za matairi ya
magari na mitambo.
70. Kujenga nyumba za kulala wageni (hotel)
71. Kuagiza na kuuza vifaa vya aluminium.
72. Kuuza vioo
73. Kushona na kukodisha nguo za harusi
74. ** Kufungua yard kwa ajili ya kuosha magari
75. Kuuza mashine za kuchomelea (welding machine).
76. Kuuza vifaa vya kuvaa Site (boots, helmets etc)
77. ** Kununua mabasi kwa ajili ya kusafirisha wanafunzi
78. Kufungua studio ya kutengeneza vipindi vya redio na
televisheni
79. ** Kuanzisha ofisi ya michezo ya televisheni (TV
Games)
80. ** Kufungua benki
81. Kuwa na malori ya kubeba kokoto na mchanga
82. Kuuza vifaa mfano TV, CCTV Camera, n.k
83. Kuwa dalali wa vitu mbalimbali
84. Kuanzisha mradi wa kukodisha fork lift na winchi
(crane)
85. Kuanzisha kiwanda cha kutengeneza viatu.
86. ** Kuanzisha viwanda mbalimbali
87. Duka la vifaa vya simu na gadgets mbalimbali
zinazoendana na mawasiliano ya Vodacom, TTCL,
AIRTEL, TIGO, ZANTEL, n.k.
88. ** Kujenga Ukumbi wa kukodisha kwa sherehe,
mikutano mbalimbali
89. Kununua matrekta, mitambo ya ujenzi wa barabara
na kukodisha
90. Kutengeneza antenna na kuuza
91. Kufungua mradi wa Machine za kusafisha, kutoboa
na kuchana mbao
92. ** Kufungua mradi wa kuuza vifaa vya Umeme wa
kutumia upepo
93. Biashara ya kuagiza magari
94. Kufanya biashara za Jukebox
95. ** Kukodisha matenki ya maji**
96. Kufungua duka la kuuza Asali
97. Kutengeneza Mikokoteni/ matoroli na kuikodisha
98. Kufungua Duka la vinyago, batiki
99. Kuanzisha huduma ya AIRTEL MONEY, MPESA,
TIGOPESA, EZY PESA
100. ** Kuanzisha sehemu ya kufanyia mazoezi (Gym).
101. Kununua na kuuza vifaa vya kupima ardhi.
102. Kufungua duka la kuuza dawa (pharmacy).
103. Kufungua Kampuni ya Ulinzi
104. Kufungua kampuni ya "Clearing and fowarding"
105. Kuchezesha vikaragosi
106. Kuuza spea za bajaji, magari na pikipiki
107. Kuuza baiskeli
108. Kuuza magodoro
109. Kuuza vyombo mbalimbali kwa ajili ya matumizi ya
nyumbani mfano bakuli, sahani, vikombe, vijiko,
110. Kuuza marumaru (limestones)
111. Kuuza kokoto
112. Kuuza mchanga
113. Kufundisha Tuisheni
114. Biashara za bima
115. ** Kampuni ya kusafirisha abiria kwa njia ya anga
(ndege)
116. Biashara za kitalii
117. Biashara za meli na maboti.
118. ** Kampuni ya kuchimba visima
119. Kufungua ofisi ya wakili/mawakili wa kujitegemea
120. Kuuza mkaa
121. Kutengeneza mashine za kutengeneza tofali
122. ** Kampuni ya kupima ardhi
123. Kampuni ya magazeti
124. Kuchapa (printing) magazeti
125. Kuuza magazeti
126. ** Kuchimba mafuta
127. Kiwanda cha kutengeneza mabati
128. Kiwanda cha kutengeneza fanicha
129. Kiwanda cha kutengeneza matairi
130. Kutengeneza vitanda vya chuma
131. ** Kununua nyumba katika Maghorofa (Apartments)
na kuzikodisha.
132. Kukodisha makapeti
133. Kupamba maharusi na kumbi za harusi/sherehe.
134. Mashine ya kusaga na kukoboa nafaka.
135. Kazi ya ususi na kusafisha kucha.
136. Kuuza Gypsum
137. Malori ya kubeba mafuta na Mizigo
138. Duka la kuuza mboga za majani
139. Duka la kuuza maua.
140. Kampuni ya kuzoa takataka
141. Kampuni ya kuuza magari
142. ** Kuuza viwanja
143. Uvuvi
144. Kutengeneza na kuuza nguzo za kujengea fensi
145. Uchoraji wa mabango.
146. Duka la kuuza silaha
147. Ukumbi wa kuonesha mpira
148. Biashara ya mlm (network marketing)
149. ** Yadi kwa ajili ya kupaki magari
150. Mradi wa trekta za kukodisha kwa ajili ya kilimo
KAMA YOTE HAYA UMESHINDWA KUPATA LA KUFANYA
WEWE UTAKUWA USHAPOTEA, ENDELEA NA UTARATIBU
WAKO WA KUILAUMU SERIKALI.
 
Back
Top Bottom