Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

Watu wanabisha ila mtoa post upo right haya mambo bwana kwa watu kama wasanii ambao wana followers wa kila aina ni ya kuwa nayo makini sana...huwez jua pengine mashabiki zake wengi ni wapinzan je?...sema watu wanajifanya hawaon
 

Sasa mashabiki zake wapenda maendeleo hawajapendezwa na hilo... na wameamua kujitoaa kutomsopport..
Maana haiwezekani awatukane mashabiki zake ikiwa anajua kila mtu now ni UKAWA
 
Wakati anampigia kampeni Lowassa mbona hamkuongea!!!

Diamond hajawahi kumpigia kampeni lowasa

Aliitwa kutumbuiza akatumbuiza akasepa

Tusibishane sana...Muda ni jibu la kila kitu

Vijana ndio sisi...Na wengine hapa tumekuwa mashabiki wake wakubwa hata humu jukwaani inajulikana

Sasa tutaona....lwts wait and see....Ninyi wa CCM mtaendelea kum support hadi huko kwenye nominations zake
 
Eti wale wanaojiita timu walinzi wa tembo leo hii wanajitwisha siasa na kujifanya kumtishia, DIAMOND si mtu anayeteteleka na madongo tokea anaanza muziki ni mtu wakurushiwa madongo hadi hapo alipo.
 


kwahio ukiwa mwanamuziki unapoteza haki yako ya kuchagua chama ukitakacho?? tafuta kazi ya kufanya achana na maamuzi binafsi ya mtu.
 

Umesema he is a business man..sidhani kama business man mjanja ana take side's. .otherwise biashara yake itaporomoka maana the other side will opt for not buying his products! ..thank you mkuu!
 
Sasa hapo ndio ugundue kuwa siasa is a game kisa diamond ametumbuiza CCM chadema hawawez kumchukua kutumbuiza kwenye mikutano yao....lengo la diamond ko uwa pale ni kutumbuiza na si kumuomba mtu aichague CCM au UKAWA
 
Wapumbavu mpo wengi kweli humu ndani kwa taarifa yako 2010 diamond alitunga wimbo wakumsifu jk kama huna taarifa kaa kimyaa...na alizunguka nchi nzima kumnadi jk na mwaka huu atafanya hivyo kwa jpm pia..
 
Nimepoteza imani na diamond.nilikuwa nampigia sana kura kwenye vipengele vyote alikuwa anashindanishwa lakini kwa kuwa ameonyesha dhahiri siyo impartial simwamini tena

Yaani ulitaka afuate kile unachokiamini wewe? Acha nae afanye maamuzi Yake Mimi ni ukawa na kura nitampigia za kutosha.
 

Diamond ni Mtanzania kama watanzania wengine ana HAKI ya kufanya anachokipenda.....

Kama umeona amekosea na umekasirika KASAGE CHUPA UNYWE......
 

Pelekeni upuuzi wenu huko
 
Hivi MALo Yuko wapi angejifunza kupitia hapo tunataka muziki siyo siasa
 
Hivi MALo Yuko wapi angejifunza kupitia hapo tunataka muziki siyo siasa

Mr nice,dudubaya,bwana misosi,sister p,zed b,z anto wako wapi leo hii na je walikuwa ccm? Dimond toka 2010 yupo na ccm mpaka leo mbona amezidi kuwa juu tu kwani jana wasanii wangapi walikuwepo pale mpaka aonekane dimond? Mnajipa presha tu za bure
 
😂😂😂😂😂😂😂 nafahamu haki yangu ya msng haishurutishi maamuz ya mwingne. Naipenda ukawa lakn sio lowassa na huo ni uchaguz wangu mwenyewe na zaidi diamond kaz zake nazikubali sana lakn cpend chama chake full stop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…