Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,227
Ikumbukwe kuwa diamond is a businessman and biashara yake kubwa kabisa inayomuingizia pesa ni muziki sasa kama alipewa kazi na CCM unataka asiifanye kisa nini kumbuka biashara yake haichagui nani wa kumuhudumia he is like the whole seller na sio Niche businessman
Kuna limit katika kuyafanya hayo
Asikudanganye mtu....Anavyoanza kutazamwa na watu ni tofauti na mwanzo
Binafsi i will never vote for him again kwenye tuzo yoyote...Wampigie vote wana CCM wenzake