Kwa hili bata la leo Dar ni kweli maisha magumu Tanzania?

Kwa hili bata la leo Dar ni kweli maisha magumu Tanzania?

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Ukiingia Mitandao leo ni full bata Dar karibu yote..
Waliokusanyika bar za nje uwanja wa Taifa
Na maeneo mbali mbali leo kusherehekea Simba day ..beer zimeanza asubuhi..
Na Vijana mostly under 30 wamejaza bar karibu zote leo Dar wakitazama kwa TV
Na kuanza kunywa beer kuanzia asubuhi ..

Hizi bar za uwanja wa Taifa ni hatari Zaidi..
Hata mshabiki mmoja alihojiwa akasema
Hiii Simba day imekuwa kubwa kuliko
Simba yenyewe labda itafutiwe jina lingine...

Kumbuka kuna mashabiki wa Yanga pia Tele leo huko uwanjani na kwenye ma bar Wana subiri ikitokea Simba kafungwa wanataniana na wenzao.. ingawa wote kuanzia asubuhi wanakunywa pamoja
Vijana wa nchi jirani kama kenya au Uganda au Zambia wanatazama haya na kujiuliza huko Tz maisha yatakuwa matamu sana..

Hawaelewi kabisa nikiwaambia Tz kuna maisha magumu ..
Hata hivyo hebu tuulizane ukweli
Kwa starehe hizi kwa majority ya vijana
Kila mara..mara Simba day mara Yanga week..mara fiesta mara wasafi festival.

Ni kweli maisha magumu Tz hasa hapa Dar?au tunakariri Tu hizo kauli?..mbona watu wa nchi zingine wanatutazama tofauti kabisa?
 
Ukiingia Mitandao leo ni full bata Dar karibu yote..
Waliokusanyika bar za nje uwanja wa Taifa
Na maeneo mbali mbali leo kusherehekea Simba day ..beer zimeanza asubuhi..
Na Vijana mostly under 30 wamejaza bar karibu zote leo Dar wakitazama kwa TV
Na kuanza kunywa beer kuanzia asubuhi ..

Hizi bar za uwanja wa Taifa ni hatari Zaidi..
Hata mshabiki mmoja alihojiwa akasema
Hiii Simba day imekuwa kubwa kuliko
Simba yenyewe labda itafutiwe jina lingine...

Kumbuka kuna mashabiki wa Yanga pia Tele leo huko uwanjani na kwenye ma bar Wana subiri ikitokea Simba kafungwa wanataniana na wenzao.. ingawa wote kuanzia asubuhi wanakunywa pamoja
Vijana wa nchi jirani kama kenya au Uganda au Zambia wanatazama haya na kujiuliza huko Tz maisha yatakuwa matamu sana..

Hawaelewi kabisa nikiwaambia Tz kuna maisha magumu ..
Hata hivyo hebu tuulizane ukweli
Kwa starehe hizi kwa majority ya vijana
Kila mara..mara Simba day mara Yanga week..mara fiesta mara wasafi festival.

Ni kweli maisha magumu Tz hasa hapa Dar?au tunakariri Tu hizo kauli?..mbona watu wa nchi zingine wanatutazama tofauti kabisa?
My only worry is Covid spread
 
Ukiingia Mitandao leo ni full bata Dar karibu yote..
Waliokusanyika bar za nje uwanja wa Taifa
Na maeneo mbali mbali leo kusherehekea Simba day ..beer zimeanza asubuhi..
Na Vijana mostly under 30 wamejaza bar karibu zote leo Dar wakitazama kwa TV
Na kuanza kunywa beer kuanzia asubuhi ..

Hizi bar za uwanja wa Taifa ni hatari Zaidi..
Hata mshabiki mmoja alihojiwa akasema
Hiii Simba day imekuwa kubwa kuliko
Simba yenyewe labda itafutiwe jina lingine...

Kumbuka kuna mashabiki wa Yanga pia Tele leo huko uwanjani na kwenye ma bar Wana subiri ikitokea Simba kafungwa wanataniana na wenzao.. ingawa wote kuanzia asubuhi wanakunywa pamoja
Vijana wa nchi jirani kama kenya au Uganda au Zambia wanatazama haya na kujiuliza huko Tz maisha yatakuwa matamu sana..

Hawaelewi kabisa nikiwaambia Tz kuna maisha magumu ..
Hata hivyo hebu tuulizane ukweli
Kwa starehe hizi kwa majority ya vijana
Kila mara..mara Simba day mara Yanga week..mara fiesta mara wasafi festival.

Ni kweli maisha magumu Tz hasa hapa Dar?au tunakariri Tu hizo kauli?..mbona watu wa nchi zingine wanatutazama tofauti kabisa?
Mkuu kuna muda wakati fulani nishasema sana

Kuwa mbona siku hizi matamasha mengi

Mara wasaf nn,nndy fstvl etc

Ukisikiliza vipindi vya radio na TV mada kubwa

Ni kuhusu mziki,umbea,matamasha

Nilichogundua naona kuna watu fulani kama

Wanataka kusahulishwa vitu fulani

Ova
 
Mkuu kuna muda wakati fulani nishasema sana

Kuwa mbona siku hizi matamasha mengi

Mara wasaf nn,nndy fstvl etc

Ukisikiliza vipindi vya radio na TV mada kubwa

Ni kuhusu mziki,umbea,matamasha

Nilichogundua naona kuna watu fulani kama

Wanataka kusahulishwa vitu fulani

Ova


I wish niweke video
Au kama kuna mtu taifa hizi bar za nje akutumie picha hatari sana
 
Shamrashamra za Yanga na Simba ni uthibitisho wa Watanzania wengi hususani vijana kukata tamaa ya maisha na kuamua kupotezea stress zao katika furaha za muda mfupi kama michezo!
Mtu mwenye akili nzuri pekee ndo anaweza kuiona hiyo trend!
Ukiwa na elfu hamsini mfukoni utatandaza chupa za bia 25 na utajirekodi na kutipia hiyo picha kwenye mitandao na watu wenye upeo mdogo wataona kweli unakula bata!
Ukweli unabaki kuwa umepanga chumba na sebule huku watoto ulionao washavunja ungo na kubalehe! Lishe yako nyumbani ni duni mno! Watoto wako wanasoma Shule za Yeboyebo ( Mwalimu 1 kwa wanafunzi 200 darasani)!
Hizo ndo kula bata kwa Watanzania wengi walio wengi! Umaskini mtupu!
 
Ukiingia Mitandao leo ni full bata Dar karibu yote..
Waliokusanyika bar za nje uwanja wa Taifa
Na maeneo mbali mbali leo kusherehekea Simba day ..beer zimeanza asubuhi..
Na Vijana mostly under 30 wamejaza bar karibu zote leo Dar wakitazama kwa TV
Na kuanza kunywa beer kuanzia asubuhi ..

Hizi bar za uwanja wa Taifa ni hatari Zaidi..
Hata mshabiki mmoja alihojiwa akasema
Hiii Simba day imekuwa kubwa kuliko
Simba yenyewe labda itafutiwe jina lingine...

Kumbuka kuna mashabiki wa Yanga pia Tele leo huko uwanjani na kwenye ma bar Wana subiri ikitokea Simba kafungwa wanataniana na wenzao.. ingawa wote kuanzia asubuhi wanakunywa pamoja
Vijana wa nchi jirani kama kenya au Uganda au Zambia wanatazama haya na kujiuliza huko Tz maisha yatakuwa matamu sana..

Hawaelewi kabisa nikiwaambia Tz kuna maisha magumu ..
Hata hivyo hebu tuulizane ukweli
Kwa starehe hizi kwa majority ya vijana
Kila mara..mara Simba day mara Yanga week..mara fiesta mara wasafi festival.

Ni kweli maisha magumu Tz hasa hapa Dar?au tunakariri Tu hizo kauli?..mbona watu wa nchi zingine wanatutazama tofauti kabisa?
Hadithi za team legacy na machadema utaziweza?
 
Back
Top Bottom