WORLD WAR 5
JF-Expert Member
- Aug 28, 2021
- 508
- 970
SEMAAA!!! WEWE ULITAKA WAFANYE NN......./
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi upo?Kwa tafsiri yako kunywa bia za matukio ndo mafanikio .kwan bia shilingi ngapi?
Maisha siku zote yako vilevile, tatizo migogoro ndo inachanganya watu. mara hooo ugaidi, Mara kesi feki, kutekana, na mengine mengi ya kipuuzi.Ukiingia Mitandao leo ni full bata Dar karibu yote..
Waliokusanyika bar za nje uwanja wa Taifa
Na maeneo mbali mbali leo kusherehekea Simba day ..beer zimeanza asubuhi..
Na Vijana mostly under 30 wamejaza bar karibu zote leo Dar wakitazama kwa TV
Na kuanza kunywa beer kuanzia asubuhi ..
Hizi bar za uwanja wa Taifa ni hatari Zaidi..
Hata mshabiki mmoja alihojiwa akasema
Hiii Simba day imekuwa kubwa kuliko
Simba yenyewe labda itafutiwe jina lingine...
Kumbuka kuna mashabiki wa Yanga pia Tele leo huko uwanjani na kwenye ma bar Wana subiri ikitokea Simba kafungwa wanataniana na wenzao.. ingawa wote kuanzia asubuhi wanakunywa pamoja
Vijana wa nchi jirani kama kenya au Uganda au Zambia wanatazama haya na kujiuliza huko Tz maisha yatakuwa matamu sana..
Hawaelewi kabisa nikiwaambia Tz kuna maisha magumu ..
Hata hivyo hebu tuulizane ukweli
Kwa starehe hizi kwa majority ya vijana
Kila mara..mara Simba day mara Yanga week..mara fiesta mara wasafi festival.
Ni kweli maisha magumu Tz hasa hapa Dar?au tunakariri Tu hizo kauli?..mbona watu wa nchi zingine wanatutazama tofauti kabisa?
Matamasha yenyewe Ni mara moja tu kwa mwaka, kwanini mtu usiiinjoi?!Ukiingia Mitandao leo ni full bata Dar karibu yote..
Waliokusanyika bar za nje uwanja wa Taifa
Na maeneo mbali mbali leo kusherehekea Simba day ..beer zimeanza asubuhi..
Na Vijana mostly under 30 wamejaza bar karibu zote leo Dar wakitazama kwa TV
Na kuanza kunywa beer kuanzia asubuhi ..
Hizi bar za uwanja wa Taifa ni hatari Zaidi..
Hata mshabiki mmoja alihojiwa akasema
Hiii Simba day imekuwa kubwa kuliko
Simba yenyewe labda itafutiwe jina lingine...
Kumbuka kuna mashabiki wa Yanga pia Tele leo huko uwanjani na kwenye ma bar Wana subiri ikitokea Simba kafungwa wanataniana na wenzao.. ingawa wote kuanzia asubuhi wanakunywa pamoja
Vijana wa nchi jirani kama kenya au Uganda au Zambia wanatazama haya na kujiuliza huko Tz maisha yatakuwa matamu sana..
Hawaelewi kabisa nikiwaambia Tz kuna maisha magumu ..
Hata hivyo hebu tuulizane ukweli
Kwa starehe hizi kwa majority ya vijana
Kila mara..mara Simba day mara Yanga week..mara fiesta mara wasafi festival.
Ni kweli maisha magumu Tz hasa hapa Dar?au tunakariri Tu hizo kauli?..mbona watu wa nchi zingine wanatutazama tofauti kabisa?
Ukiingia Mitandao leo ni full bata Dar karibu yote..
Waliokusanyika bar za nje uwanja wa Taifa
Na maeneo mbali mbali leo kusherehekea Simba day ..beer zimeanza asubuhi..
Na Vijana mostly under 30 wamejaza bar karibu zote leo Dar wakitazama kwa TV
Na kuanza kunywa beer kuanzia asubuhi ..
Hizi bar za uwanja wa Taifa ni hatari Zaidi..
Hata mshabiki mmoja alihojiwa akasema
Hiii Simba day imekuwa kubwa kuliko
Simba yenyewe labda itafutiwe jina lingine...
Kumbuka kuna mashabiki wa Yanga pia Tele leo huko uwanjani na kwenye ma bar Wana subiri ikitokea Simba kafungwa wanataniana na wenzao.. ingawa wote kuanzia asubuhi wanakunywa pamoja
Vijana wa nchi jirani kama kenya au Uganda au Zambia wanatazama haya na kujiuliza huko Tz maisha yatakuwa matamu sana..
Hawaelewi kabisa nikiwaambia Tz kuna maisha magumu ..
Hata hivyo hebu tuulizane ukweli
Kwa starehe hizi kwa majority ya vijana
Kila mara..mara Simba day mara Yanga week..mara fiesta mara wasafi festival.
Ni kweli maisha magumu Tz hasa hapa Dar?au tunakariri Tu hizo kauli?..mbona watu wa nchi zingine wanatutazama tofauti kabisa?
Ndo uamini kuwa siasa sio kitu kizuriUkiingia Mitandao leo ni full bata Dar karibu yote..
Waliokusanyika bar za nje uwanja wa Taifa
Na maeneo mbali mbali leo kusherehekea Simba day ..beer zimeanza asubuhi..
Na Vijana mostly under 30 wamejaza bar karibu zote leo Dar wakitazama kwa TV
Na kuanza kunywa beer kuanzia asubuhi ..
Hizi bar za uwanja wa Taifa ni hatari Zaidi..
Hata mshabiki mmoja alihojiwa akasema
Hiii Simba day imekuwa kubwa kuliko
Simba yenyewe labda itafutiwe jina lingine...
Kumbuka kuna mashabiki wa Yanga pia Tele leo huko uwanjani na kwenye ma bar Wana subiri ikitokea Simba kafungwa wanataniana na wenzao.. ingawa wote kuanzia asubuhi wanakunywa pamoja
Vijana wa nchi jirani kama kenya au Uganda au Zambia wanatazama haya na kujiuliza huko Tz maisha yatakuwa matamu sana..
Hawaelewi kabisa nikiwaambia Tz kuna maisha magumu ..
Hata hivyo hebu tuulizane ukweli
Kwa starehe hizi kwa majority ya vijana
Kila mara..mara Simba day mara Yanga week..mara fiesta mara wasafi festival.
Ni kweli maisha magumu Tz hasa hapa Dar?au tunakariri Tu hizo kauli?..mbona watu wa nchi zingine wanatutazama tofauti kabisa?
Haya matamasha yameanza kabla covid haijaanza na yameendelea throughout kipindi chote cha covid. Hii inanifanya nifikiri sana kama kweli watanzania tuna haja ya kuchanjwa.My only worry is Covid spread
Mkuu unapiga zote 20 kwa wakati mmoja peke yako au?Serengeti lite 1,500 mtu akinywa 20 = 30,000 kiufupi mnaokunywa soda mnaonaga tunaokunywa kama tuna maisha mazuri sana, aisee[emoji119]
watu wanapiga kreti sembuse 20?Mkuu unapiga zote 20 kwa wakati mmoja peke yako au?
Mkuu unapiga zote 20 kwa wakati mmoja peke yako au?
Duuh!watu wanapiga kreti sembuse 20?
Hujambo mlevi mbwa....😁watu wanapiga kreti sembuse 20?
Nipo sana tu,sogea PmHivi upo?
kwani kreti lina bia ngapi?watu wanapiga kreti sembuse 20?
Huo ujumbe unapeleka meseji kule nje... hivyo tutegemee wimbi la vijana kutoka nchi Jirani kufurika na kuingia mijini TZ... very sad hatimae watazagazaga na kuwa wamoja wetu..Ukiingia Mitandao leo ni full bata Dar karibu yote..
Waliokusanyika bar za nje uwanja wa Taifa
Na maeneo mbali mbali leo kusherehekea Simba day ..beer zimeanza asubuhi..
Na Vijana mostly under 30 wamejaza bar karibu zote leo Dar wakitazama kwa TV
Na kuanza kunywa beer kuanzia asubuhi ..
Hizi bar za uwanja wa Taifa ni hatari Zaidi..
Hata mshabiki mmoja alihojiwa akasema
Hiii Simba day imekuwa kubwa kuliko
Simba yenyewe labda itafutiwe jina lingine...
Kumbuka kuna mashabiki wa Yanga pia Tele leo huko uwanjani na kwenye ma bar Wana subiri ikitokea Simba kafungwa wanataniana na wenzao.. ingawa wote kuanzia asubuhi wanakunywa pamoja
Vijana wa nchi jirani kama kenya au Uganda au Zambia wanatazama haya na kujiuliza huko Tz maisha yatakuwa matamu sana..
Hawaelewi kabisa nikiwaambia Tz kuna maisha magumu ..
Hata hivyo hebu tuulizane ukweli
Kwa starehe hizi kwa majority ya vijana
Kila mara..mara Simba day mara Yanga week..mara fiesta mara wasafi festival.
Ni kweli maisha magumu Tz hasa hapa Dar?au tunakariri Tu hizo kauli?..mbona watu wa nchi zingine wanatutazama tofauti kabisa?