Kwa hili GSM wamefanikiwa

Kwa hili GSM wamefanikiwa

frenk julius

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2019
Posts
377
Reaction score
242
Habar jf,

Niwapongeze gsm kwa kufanikiwa kumnyofoa aliyekuwa ceo wa simba hongeleni sana. Lakini pia mmefanikiwa kuzima maswali yote ya uongo wenu kuhusu kuwadanya mashabiki kwamba mmewasajili wachezaji tengemeo wote kama nahoha Papy Shishimbi na Bernard Morrison.

Mmefanikiwa sana kucheza na akili na mashabiki wenu maana tofauti na hapo kwa jinsi wananch walivyo na hasira wagewababa makofi yasiyo na idadi.

Hongeleni na sasa hakuna mwanancg atakayehoji mkataba wa shishimbi wala Morrison.senzo kafunika mambo meng sana hamjuw kwamba huyu niwakawaida sana pale msimbaz, alikuja simba akakuta mafanikio lukuki kama kutinga robo fainaly club bingwa.
Matumaini makubwa kutoka kwa senzo kwa wananch nikwamba ataenda kutoa siri za simba kwa yanga kitu ambacho hata yeye anajua ni hatar kwa maisha yake.

Hongeleni Gsm, karbu senzo kwa Wananchi. Umekuja simba ikiwa bingwa umeiacha ikiwa bingwa
 
Siri gani wakati mpira unachezwa uwanjani, saivi hatuwazi kushindana na Utopolo tunawazia Tp mazembe & M sundown.

CEO watu wapo wengi sana watapatikana
 
Siri gani wakati mpira unachezwa uwanjani, saivi hatuwazi kushindana na Utopolo tunawazia Tp mazembe & M sundown.

CEO watu wapo wengi sana watapatikana
Ila tuache utani, Simba ya sasa kuanza kuingia kwenye malumbano na Yanga ni kujishushia hadhi sana.

Simba inatakiwa iwaze mafanikio barani Afrika, sio kurushana roho na timu kama ya Yanga.

Ifike mahali tuanze kuwaondoa wasemaji ambao wamekosa weledi kama Manara. Mtu kama Zaka za Kazi anaonekana anajitambua sana.

Hivi kwa vile vibweka alivyokuwa anavifanya Manara kwa Morisson tuna msemaji wa timu au shabiki maandazi?
 
Ila tuache utani, Simba ya sasa kuanza kuingia kwenye malumbano na Yanga ni kujishushia hadhi sana.

Simba inatakiwa iwaze mafanikio barani Afrika, sio kurushana roho na timu kama ya Yanga...
Hivi aliyekwambia kuwa kumsajili mchezaji kutoka timu pinzani ili kuimarisha kikosi chako ni kurushana roho ni nani?
Luis Figo alitoka Barcelona akaenda Madrid.

Van Persie alitoka Arsenal akaenda Man United. Ashley Cole alitoka Arsenal akaenda Chelsea.
Kaseja kacheza Simba na yanga mara mbili kila moja.

Okwi kacheza Simba..Yanga..Simba

Ngasa je?

It's business... don't take it personally...Yanga kumchukua Senzo ni kwasababu wanamuhitaji ili wafike wanapohitaji kufika.
 
Hivi aliyekwambia kuwa kumsajili mchezaji kutoka timu pinzani ili kuimarisha kikosi chako ni kurushana roho ni nani?
Luis Figo alitoka Barcelona akaenda Madrid...
Uhamisho wote ulioutaja ulikuwa wa kiweledi, timu zinakaa na zinakubaliana kuuziana wachezaji sio mipasho hii inayotokea kwa Simba.

Hujajibu hoja, jaribu tena.
 
Yanga ni Taasisi kubwa Nafasi ya Katibu Mkuu wa Timu inapaswa kutangazwa ili kila mwenye Sifa Stahiki aombe, afanyiwe Usajili, afanye Kazi kwa Weledi kulingana na kile walicho kubaliana ili akifanikiwa wajisifu na asipo fanikiwa aondolewe kihalali!
 
Siri gani wakati mpira unachezwa uwanjani, saivi hatuwazi kushindana na Utopolo tunawazia Tp mazembe & M sundown.

CEO watu wapo wengi sana watapatikana

Hapo ndio wanashindwa kuelewa. Huyu Senso picha ataielewa baada ya Yanga kufungwa na Simba tena.
 
Kwa Mpira wa Africa Tena Africa yenyewe Tanzania bora simba wamepata mtu ambae anaweza kuwapa ushindi na mashabiki wakafurani
 
Uhamisho wote ulioutaja ulikuwa wa kiweledi, timu zinakaa na zinakubaliana kuuziana wachezaji sio mipasho hii inayotokea kwa Simba.

Hujajibu hoja, jaribu tena.
Suala la kukubaliana ni kama mkataba upo baina ya Club na mchezaji...Kama hakuna mkataba makubaliano huwa kati ya mchezaji na Club inayomnunua.

Ili mkataba uwepo inabidi uwe halali (Valid Contract) kama hautakuwa valid kutokana na kukiuka elements za valid contract utahesabika kama haukuwahi kuwepo (Void abinitio) na kama umekiuka terms and conditions za mkataba mkataba husika utakua umevunjika na haupo tena..kuhusu elements za valid contract,do your homework.

Napenda kusisitiza tena...Usichanganye biashara na mambo yako binafsi.
 
Ila tuache utani, Simba ya sasa kuanza kuingia kwenye malumbano na Yanga ni kujishushia hadhi sana.

Simba inatakiwa iwaze mafanikio barani Afrika, sio kurushana roho na timu kama ya Yanga.

Ifike mahali tuanze kuwaondoa wasemaji ambao wamekosa weledi kama Manara. Mtu kama Zaka za Kazi anaonekana anajitambua sana.

Hivi kwa vile vibweka alivyokuwa anavifanya Manara kwa Morisson tuna msemaji wa timu au shabiki maandazi?
Manara ni mchekeshaji tu yule
 
Ila tuache utani, Simba ya sasa kuanza kuingia kwenye malumbano na Yanga ni kujishushia hadhi sana.

Simba inatakiwa iwaze mafanikio barani Afrika, sio kurushana roho na timu kama ya Yanga.

Ifike mahali tuanze kuwaondoa wasemaji ambao wamekosa weledi kama Manara. Mtu kama Zaka za Kazi anaonekana anajitambua sana.

Hivi kwa vile vibweka alivyokuwa anavifanya Manara kwa Morisson tuna msemaji wa timu au shabiki maandazi?
Unatakiwa ujue pia kua Simba ili icheze na hao TP mazembe lazima washindane na Yanga.
Tiketi pekee ya Simba kucheza kimataifa ni kumshinda Yanga kwanza kwenye VPL
 
Ila tuache utani, Simba ya sasa kuanza kuingia kwenye malumbano na Yanga ni kujishushia hadhi sana.

Simba inatakiwa iwaze mafanikio barani Afrika, sio kurushana roho na timu kama ya Yanga.

Ifike mahali tuanze kuwaondoa wasemaji ambao wamekosa weledi kama Manara. Mtu kama Zaka za Kazi anaonekana anajitambua sana.

Hivi kwa vile vibweka alivyokuwa anavifanya Manara kwa Morisson tuna msemaji wa timu au shabiki maandazi?

Shida simba na Yanga ni madui saivi, wangekuwa wamoja wangewaza wanafanyeje ili zile nafasi 4 za CAF zirudishwe Tanzania, ili waweze kushiriki timu 4, badala yake ni vita morison mara senzo, utadhani ndo wadhamini wa timu kumbe nao waganga njaa tu wanasaka ajira
 
Suala la kukubaliana ni kama mkataba upo baina ya Club na mchezaji...Kama hakuna mkataba makubaliano huwa kati ya mchezaji na Club inayomnunua.

Ili mkataba uwepo inabidi uwe halali (Valid Contract) kama hautakuwa valid kutokana na kukiuka elements za valid contract utahesabika kama haukuwahi kuwepo (Void abinitio)...na kama umekiuka terms and conditions za mkataba...mkataba husika utakua umevunjika na haupo tena..kuhusu elements za valid contract,do your homework.
Napenda kusisitiza tena...Usichanganye biashara na mambo yako binafsi.
Huu ni uswahili, suala lipo TFF watu wanaanza kufanya sherehe za usajili kwa mchezaji, huu sio weledi kabisa.
 
Mleta mada fanyia kazi mambo yafuatayo:
a) Andika kwa usahihi Jina lako i.e 'Frank' badala ya 'Frenk'. Kumbuka hilo sio jina la kibantu.

b) Jifunze kuandika ili hadhi yako isishuke honestly nimepatwa na kichefuchefu niliposoma bandiko lako ambalo pengine ulikuwa na ujumbe mzuri ila uandikaji umekugharimu. Kumbuka mtu asiyejua kuandika vizuri hana tofauti na mjinga.

NB: Elimu ni bahari!
 
Back
Top Bottom