Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Kutufananisha sisi Yanga na Wanawake ni akili za kipumbavu. Anaposema Orlando Pirates waje wao wanaume watawakuta huku huku maana yake sisi Yanga ni Wanawake? Huyu niliwaambia bado ana Usimba. Huwa anajifanya kama kuwaponda Simba ilhali anatuponda sisi Yanga.
Uongozi uangalie suala hili. Mwanaume huwezi waita wengine kuwa "Njooni huku nyie wanaume" sisi "wananchi" mtatukuta huku huku. Kwa hiyo Yanga ndo tutakuwa tunasema "Simba msiniumizie”?
Huu ni upumbavu. Huyo mtuwenu mchukueni. Arudishwe Antonio. Jamaaa alikuwa na Yanga wakati wa hard times. Leo anakuja mtu mwingine ambaye kafukuzwa na Mikia kuja kutuchamba.
Siwezi msamehe Haji kwa kutuita sisi gongowazi na kauli yake kuwa wenye akili Yanga ni baba yake tu na Kikwete, wengine madishi yameyumba. Hayo maneno ni ngumu kwangu kuyasahau. Siwezi.
Anaenda mbali zaidi anapowakaribisha Orlando na kuwaita Wanaume. Kwahiyo sisi wanawake?
Uongozi uangalie suala hili. Mwanaume huwezi waita wengine kuwa "Njooni huku nyie wanaume" sisi "wananchi" mtatukuta huku huku. Kwa hiyo Yanga ndo tutakuwa tunasema "Simba msiniumizie”?
Huu ni upumbavu. Huyo mtuwenu mchukueni. Arudishwe Antonio. Jamaaa alikuwa na Yanga wakati wa hard times. Leo anakuja mtu mwingine ambaye kafukuzwa na Mikia kuja kutuchamba.
Siwezi msamehe Haji kwa kutuita sisi gongowazi na kauli yake kuwa wenye akili Yanga ni baba yake tu na Kikwete, wengine madishi yameyumba. Hayo maneno ni ngumu kwangu kuyasahau. Siwezi.
Anaenda mbali zaidi anapowakaribisha Orlando na kuwaita Wanaume. Kwahiyo sisi wanawake?